wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 25,190
- 27,434
Wee utapendaje jiwe usilokuwa na kazi nalo ..Daa jiwe hapendwi jamani
Jiww linalopendwa ni lile la kusugulia miguu tuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee utapendaje jiwe usilokuwa na kazi nalo ..Daa jiwe hapendwi jamani
Bado..kwani wewe umeshaolewa?
itakuwa ni wale 800 wa kanda ya ziwa walotaka kumroga atakayeonesha nia kumpinga MWAMBA.Kwakweli nchi inahitaji maombi makubwa sana wachawi wameanza kuroga watu mchana kweupe mbuzi anakula majani bila aibu,ramli zinapigwa kweupe bila aibu,
Jamani wachawi hawa wakiachiwa na ulozi wao wanaweza kuuwa watu au kudhuru kweupe.
Ni vyema kila mmoja kwa dini yake akaongeza maombi kulishinda hili kundi hatari la wachawi!
Nice view from Mlimani city
Sasa hivi hali ikojeWalianza pale waliposema atakayechukua fomu kugombea urais watamuua. Kisha upuuzi mwingine ukafuata.
Yupo mbona na leo kafanya uteuzi
.Jamani semeni ukweli, mficha ukweli aibu humuumbua.
Ni vyema sana kuyajua haya, hata kama yanakumbukwa kwa nadra wakati shida za aina hiyo zinapowapata wanaodhani wao wako juu ya masaibu kama hayo wakati yakiwatokea wengine, na hata pengine wao ndio kuwa wasababishaji kwa wengine.Acha uchuro we mganga.
Kwani nani hataugua maisha yale yote?
Kwani nani ataishi milele na hatakufa?
Kwani vpMapicha picha
Mkuu taharuki gani Mkuu?Naona mnzaidi kuongeza taharuki nchini eehhhh....!!??
Wamekosea sio yeye ni ma SuluHii sasa inaitwa moja + moja ni 11View attachment 1238704
Mshana upo kimya sana mkuu. Tupigie hata ramli basi tupate confirmation .
Tusubiri hiyo tarehe 21Hii sasa inaitwa moja + moja ni 11View attachment 1238704
Dah..! Hizi comments nacheka sana aisee!!!Off topic.....Vyakula vya misibani sijui kwanini huwa vina ladha..pilau la msibani jamani ni tamu kweli kweli!
Bdw nimemis tu pilau..