Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 29,909
- 32,414
Sure when I see this pic...and Karma is a bitch!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sure when I see this pic...and Karma is a bitch!!
Kweupe mbuzi anakula majani bila aibu wanafanya ulozi!
Acha kabisa kusemea Lissu usije ubadili mjadala huu kuwa wa madongo. Unajua Lissu amelala kitandani bila kuinuka kwa miezi mingapi? Tena kwa maumivu makali ya vidonda vya risasi, visu na mikasi? Na bado maumivu ya ofisi kugoma kumlipia matibabu? Lissu akaishia kunyang'anywa na kazi ili afe njaa bado unamsemea eti pamoja na kuumizwa haombei mabaya!Mkuu Mungu ndie anaejudge..mimi nilikua simsapoti ila sio kwa hizi comments humu..am sure hata Lissu pamoja na kuumizwa haombei mabaya hivi
Acha kuwapa Amri Usalama wa Taifa wafanye uovu kwa fikra zako za kishetaniIdara ya usalama wa taifa mmeteleza kwa kweli,
watu hawa;
maria sarungi, fatma karume, nkuna, suphian, hilda, tito, n.k ni wazi walitakiwa wapate adhabu ambayo ingekuwa fundisho dunia nzima
Haiwezekani kejeli, uongo kwa raisi ndio maisha yao ya kila siku.
nimeona tbc wamesema mgeni rasmi Samia. Na mwenyekiti au rais wa mkutano mahigaHii sasa inaitwa moja + moja ni 11View attachment 1238704
Sasa hivi hali ikoje
Nikienda Twitter nakutana na codes, nikirudi JF ni nyuzi za codes! Kuna muda nikaamua kulala nikaamka akili yangu bado haielewi kitu!
Nafikiri mnataka kunipotezea nisiwaze yale mahela yalolipwa juzi...
Ukweli utajulikana tu
Eti MATAGA ndio nini au nani?
Duuuu [emoji2960][emoji2960]Ndio wamebaki kuombana papuchi View attachment 1238457View attachment 1238458
Kweli najua watanzania wengi uelewa wetu mdogo na elimu hairidhishi sana, kilichonishtua zaidi ni wingi wa kundi la watu wenye roho mbaya.
Hii ni hatari kubwa kuliko wale maadui watatu aliowaainisha Baba wa Taifa (Ujinga, Umasikini na Maradhi).
Read between the lines... You have brains
Kwa hiyo wachawi wanahaki ya kuroga wenzao!Mungu hupokea maombi ya wenye haki