Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
Kauzi kanatembea sana ila kukachangia hadi uka switch id kwanza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
alichangia kuhusu kifungu hicho kama sisahau
Mkubwa ni Mungu!Mtu mkubwa sana uyo aliye changai hapo
Tunajulishana tuu
Swaleh tayar ashaandaliwa maisha
Ameshafeli kwenye mengi kayaongea mengi na hayajatimia.Isha kuwa kama umbea kigogo ana leta umama umama
Mh, mbona hueleweki sasaUtatangulia utamwacha anadunda tu.
Pia habari za kutumbuliwa kwa Kpilimba alizisema siku kabla na ikatokea. Hata hivyo kuna vingi anavisema havitokeo kama Mama Samia kukamatwa, hata hili nina wasiwasi nalo sana. Au inawezekana kweli ameumwa ila sio kwa kiasi hiki cha kukaribia kukata rohoSamahani mkuu, Kigogo alisema Ofisi ya DPP watu wameondoka na CPU na kweli leo Mambosasa na magazeti machache wameandika habari hiyo hivyo Kigogo hatungi habari bali anaziibua kwa wakati muafaka na jinsi inavyotakiwa kwani habari nyingi siku hizi zinachelewa au hazitoki kabisa kutokana na sheria zinazobana magazeti na kutokuwa huru hivyo usichukie watu kumsikiliza Kigogo zaidi kuliko Magazeti, Radio na TV zetu,
Hata kama simkubali katika mambo flani flani. Unataka nifurahi Mtanzania particulary msukuma mwenzagu kupatwa na majanga?Dudajaga chene.Mh, mbona hueleweki sasa
Hata kama simkubali katika mambo flani flani. Unataka nifurahi Mtanzania particulary msukuma mwenzagu kupatwa na majanga?Dudajaga chene.
Alisema Rc mbeya anatumbuliwa, badala yake akasifiwa, alisema pia gavana anapigwa chini, mwezi sasa! Ana matango pori sanaPia habari za kutumbuliwa kwa Kpilimba alizisema siku kabla na ikatokea. Hata hivyo kuna vingi anavisema havitokeo kama Mama Samia kukamatwa, hata hili nina wasiwasi nalo sana. Au inawezekana kweli ameumwa ila sio kwa kiasi hiki cha kukaribia kukata roho
Jidanganyeni.Yule ni mzinza sio msukuma mwenzanko. Kene Mayo.
Kwanini hili dua la kuku halimdhuru tu mwewe?Makonda kafukuzwa kazi
Yaani ni kama page ya udakuKumuamini kigogo na stori zake za kutunga tunga ni kujikosea heshima.
Watanzania amkeni. Sio kila mtu anastahili attention yenu. Hao wapuuzi type ya kigogo wamegundua vilaza wengi wanaotumia mitandao wanapenda story za umbea umbea na wao wanapita humo humo.
kumbe homeboy!
KisaraweKule tulikomzika MAALIM GURUMO?
Ama Wizarani?
Au hapa Hotel Bamaga?
Yule ni mzinza sio msukuma mwenzanko. Kene Mayo.
Jidanganyeni.
Mara mseme mrundi, mara mseme mtusi leo tena mumegeuka na kusema mzinza
Akianza kuteua mnageuka tena na kusema ni mkabila anapendelea wasukuma tu