DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,382
- 29,639
Kumbe hata DC Jokate ni mdau wa kahawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe hata DC Jokate ni mdau wa kahawa
Hakuna tatizo,watu wazushi kama kawaida yao.
Mmezoea maneno ya kuremba remba na kubembelezwa. Sasa mzee Magufuli anawachana makavu in a broad daylight mnaanza kulia lia.Chukua time wewe, tuache na Kigogo wetu, hata akitudanganya tunafarijika kuliko matusi na vichambo vya Jiwe.
Wewe mwenyewe kwanza nawe umeamini ndiyo maana una comment.
Mungu tends sawa sawa na ikupendezavyo.
Kumbe ndio maana alishindwa kuwepo pale Mlimani City leo kwenye Ile event. Badala yake akawakilishwa na Katibu Mkuu Kiongozi na sababu imetolewa kwamba mwenye nchi kabanwa na majukumu.Time will tell. I have a strong feeling that Mr president will make it. He will not die. He will live .
ibara ya 37(5) ya katibu yetu tukufu ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania.
haya anaejua hiyo maana ndo katupa fumbo jingine
Mungu ampe wepesi arudi katika hali yake ya kawaida Mr President
Hata mimi ningekuwa Rais nisingehamia Kijiji cha Dodoma. Labda iwe kwa sababu za usalama
vick, ukisema hivyo ina maana kigogo ni super kupata taarifa. These are very very secret info, sasa amazipataje?Heart attack,but this problem runs in their family. Nothing new. Everything is under control. Vital signs are OK.
Kumbe hata DC Jokate ni mdau wa kahawa
Ukienda dodoma kutokea lindi ni lazima upitie dar!Safari ya kuhamia Dodoma iliishia wapi ?
Mtasubiri sana. Hafi mtu.
Hizo ni kampeiniamepumzika kazunguka mikoa mingi , maybe kesho ataendelea
Ndo maana nikasema atende sawa sawa na impendavyo yeye usisome kipopomaKwa hiyo unampangia mungu kazi yake
Ule utabiri wa lema unataka kutimia??HEART ATTACK,but everything is under control.
No secrets pale. Kigogo unamfahamu in person ? Simfahamu ila pia huenda anafanya kazi ofisi zile zile.vick, ukisema hivyo ina maana kigogo ni super kupata taarifa. These are very very secret info, sasa amazipataje?