Lignocaine
JF-Expert Member
- Dec 12, 2018
- 290
- 738
DuuhMungu akusimamie
Hata Kama nakuchukia sijafika hatua ya kuwaza wengi wanayowaza
Kila mtu uugua hata we we siyo chuma ni binadamu wa kawaida mwenye nyama kama sisi,
View attachment 1238709
TL mjanja kakimbilia marekani kwa sababu kuna Watanzania wengi kule ambao wanamchangia pesa kwa sababu ufahamu wao uko chini sana, hathubutu kukanyaga nchi kama Wingereza ambako wapo Watanzania wabobezi na hawawezi kumchangia kibaka kama TL. Anakimbilia kwenye soft touch.
Wakina nani ?Tatizo wanaficha
Bado nukta haziunganishiki kwa upande wangu
Nawashangaa kwa kumuombea mabaya binadamu mwenzio,hata kama unamchukia kiasi gani,lakn inapofkia kumuombea kifo,hapo utu unakuwa umekutoka....u become an animal or something far than that!
Ndo mjitafakari km mnapendwa au mnalazimishwa kupendwa!!!???Kwakweli nchi inahitaji maombi makubwa sana wachawi wameanza kuroga watu mchana kweupe mbuzi anakula majani bila aibu,ramli zinapigwa kweupe bila aibu,
Jamani wachawi hawa wakiachiwa na ulozi wao wanaweza kuuwa watu au kudhuru kweupe.
Ni vyema kila mmoja kwa dini yake akaongeza maombi kulishinda hili kundi hatari la wachawi!
Wanaopaswa kufichuaWakina nani ?
Tunapeana fake hofu tu mkuuDaah! Nyuzi za Jf zinakuja kama mvumo wa radi kumbe kuna kitu kinaendelea chini ya carpet
Bashite kampa Siri zote Le mutuz ebu msakeni night club huko Dsm atawapa ukweli wote, akigoma kusema mtafutieni mwanamke huwa ni mdhaifu sana mbele ya wanawake atasema kila kitu.Tatizo wanaficha
Milele AminaTumsifu Yesu Kristu