Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Status
Not open for further replies.
Kwani ibada ni lazima kanisani? Mimi mbona huku nilipo hakuna kanisa langu la ELCT,lakini huu ni mwaka wa 3 sasa nasali zangu ndani,nina app ya tv za bongo,nafuatilia na kushiriki ibada kwenye tv yangu safi kabisa.
Kesho Mh. anaweza kuamua kujisalia zake home tu,na hakuna haja ya kuhoji ni kwa nini.
 
Utabiri sio ishu maana yawezatokea ama laa.

Codes inakuja hivi upo nyumbani halafu mkutano unawakilishwa wew umeenda kuchunga au unaumwa!!.

Ngoja usiku wa manani ufike tuchungulie kitaalam.
 
Shubamiti anavyowadhalilisha watu tena hadharani na kuwafukuzisha kazi hajui kama wanafamilia na watoto ebu lile tukio la kumtukana Enjinia famila yake imejisikiaje .
Kwa maana hii laana juju za waathirika wa Amri zake ndivyo vimemnasa mtukufu?
 
Kumbe typo dhehebu moja
 
Hawa wa sasa hawako sawa kusherekea tetesi, na unaowatetea nao hawako sawa hata kidogo kwa kuwaumiza nafsi wenzao kwa muda mrefu. Unapoamua kuwafungulia viongozi wote wa chama kesi za kubambikiza unajengea roho gani kwa wafuasi wao ?!. Unapoamua kufanya siasa wewe na chama chako huku wapinzani wako hawatakiwi kukusanyika hata watu watatu unajenga roho gani kwa wafuasi wa upande wa pili ?!.

Tuwe wakweli haya yameletwa na watawala zaidi kuliko wapinzani wao
 
Mimi nimeelewa FULANI FULANI FULANI FULANI
Mwaka Fulani
Kiongozi Fulani
Mkoa Fulani
Kikao Filani.
Ajali Fulani.
 
Hizi nyuzi zimekuwa nyingi na kwa bahati mbaya kwa kiasi kikubwa ni pumba zinazosababishwa na ushabiki.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…