Planett
JF-Expert Member
- Mar 20, 2014
- 10,497
- 16,180
iliishia mkurangaSafari ya kuhamia Dodoma iliishia wapi ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
iliishia mkurangaSafari ya kuhamia Dodoma iliishia wapi ?
Zimekuwa overloaded nini? Fiat kupanda mlima ni Kazi nzito kama imebeba mzigo mkubwasidhani..... kigog usimwamini sana siku hizi..........pacemaker zimefail? [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
kweli bwana na huyu Ambiele naona yuko kazini. kakazana kujibu kila nikiandika! Mpaka naogopa.Ulikuwa hujui,ndio wenyewe hawa wako kazini humu!
Jidanganyeni.
dua la kuku hiloUtatangulia utamwacha anadunda tu.
Kuna mtu kanitonya kuwa wewe ni uko kazini humu JF ndiyo maana unajichanganya sana na kujibu! Naogopa...... TISSUli udamanile nai ?
Muongo huyo. Nijibu tu.Kuna mtu kanitonya kuwa wewe ni uko kazini humu JF ndiyo maana unajichanganya sana na kujibu! Naogopa...... TISS
Naogopa, naogopa!Muongo huyo. Nijibu tu.
Zero brain ndo nani ?Mkiona Zero Brain yupo poa anaendelea na routine zake, mjue hamna kitu ni uzushi tu. Lakini mkiona Zero Brain hasomeki au hata analia ovyo na mikamasi juu, mjue tayari.
Unaogopa nini sasa ?Naogopa, naogopa!
Alifanya nini ? Naomba unipe details ili nitoe maoni yangu.Sikutegemea kabisa mtu kama Zitto kushabikia vitu kama hivi. Kweli mtu anayefikiria hata kuwa Rais! Enzi zile kuna vitu tuliona labda ni ujana/utoto lakini sasa anazidi kututia shaka wengine.
Ku- interact na TISS mitandaoni, huwezi jua ya kesho 😁 😁 😁 😁 😁Unaogopa nini sasa ?
😫😫😫😪😪😪Ilembage.
Utamtafuta nani wewe?tutakutafuta wewe na huyo kaka yako... mnavujisha mambo ya system kwa ajili ya umbeya
KabisaaMtasubiri sana. Hafi mtu.