Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Status
Not open for further replies.
Huyu Mzee kumbe watu wengi hawampendi! Yaani wanaombea achomoke aiseee! Naye amezidi, wewe una betri kwenye moyo bado unajipa mapressure ya kijinga, shauri yake bwana!
Wamchukie Nyerere?
 
Ningekuwa moderator ninge delete hii post, ila ndo hivyo tena.... ngoja tuendelee kusoma akili za wabongo
 
Yaani kuna watu ni wapumbavu sana. Kwani kuna mtu ataishi milele? Siku za kuishi binadamu zinahesabika na hesabu yake ni ya tarakimu mbili tu. Awe Magufuli, uwe wewe zitto, na huyu pacha wako kigogo wote nyie ni tarakimu mbili tu. Kwanza wewe na pacha wako wote mnaishi kwa matumaini. Usitake tuongee hata kule unakochukulia vidonge. Acheni chuki za kijinga.
Mkuu funguka zaidi...
 
Alikuwa anatusumbua sana TBC...
kila saa live.. live .. yuko wapi sasa
Mti wenye matunda...kushabikia uvumi huu ni kukosa utu, mnashindwa kabisa kuyaona mema yake
IMG_20191016_042750_469.jpeg
 
Heko.Chukua kahawa na kashata hapo ulipo.pesa nakuja kulipa
Kuna muda inabidi ujilazimishe kupitia humu ili kuondoa msongo wa mawazo yaliyosababishwa na awamu hii.
Ila siku huu mkeka tunaocheza vichwani ukitiki tutalala nje sio kuomboleza ila kukenua.
 
Huyu Mzee kumbe watu wengi hawampendi! Yaani wanaombea achomoke aiseee! Naye amezidi, wewe una betri kwenye moyo bado unajipa mapressure ya kijinga, shauri yake bwana!
Hizo story za betri mlidanganywa na nani ?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom