Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Status
Not open for further replies.
Jiwe yuko salama na ni mzima anadunda.
Na kama anaumwa, basi anaumwa kama binadamu wengine wote wanavyoumwa, si ugonjwa wala tatizo la kutisha mpaka kupelekea mtanzuko kati yetu.
Akipona, kama ataiona komenti yangu hii, wale wote waliokuwa wanafurahia na kumuombea hali yake kuwa iwe mbaya zaidi, napendekeza afanye mpango wa kuwafungulia mashitaka ya uhaini (itapendeza zaidi ikiwa watatekwa).
 
Aminini barua ya Msigwa hizi ni propaganda tu
Nakuunga mkono
Rais.jpeg
Ikulu.jpeg
 
Tunamuombea Tundu Antipas Lissu aishi maisha marefu Amina.
Kama Bible isemavyo siku zao wasio haki zitafupishwa. Mungu si mwanadamu hata aseme uongo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom