Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
Uzushi tuSisi walipakodi ,tunaopipiga kura ,hatuambiwi wanaficha nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzushi tuSisi walipakodi ,tunaopipiga kura ,hatuambiwi wanaficha nini?
Kinachofanyika sio kitu sahihi ,jambo ili angefanyiwa mkurugenzi wenu mngefuta nyuzi zote.
Mh anapendwa na watanzania.
Mpendwa????!!!!Reli ya mtama - dar
!
!
Nasubiri Breaking News Tu Kwa Hamu
Sio lazimaBasi mkubali na siasa zake, ukipenda boga penda na ua lake.
[emoji32][emoji32][emoji32][emoji32][emoji32]Afe tu
Hilo ondoa hofu kabisaa. Ngoja tusosegeze kipaza sauti karibuTuwe na kautaratibu ka kukaribishana tujumuike pamoja ..tuimbe ule wimbo wa banjuka banjuka tuu[emoji6][emoji6]
Mwanga wa milele umwangazie na pumziko analostahili umpatie eeh Mwenyezi Mungu
[emoji23][emoji23][emoji23] haki n kichwa maji huyuNdio maana wewe siyo hata mod wa jf. Maana jf haiwezi kuwa na mkurugenzi kichwa maji kama wewe.
Mi naona ni story tu kama story zingine,,,,,,and trust me,,,,Rais ni mzima wa afya
Nipo mkuu, Ni haki yao kufurahi kwa nini waoneshe unafiki kwamba wasikitike huku moyoni wana furaha.Allah ampe shufaa huko aliko.Mama yangu umepotea Sana // wanasema mh anaumwa Sasa Kuna wanaofurahia Jambo ambalo sio sahihi
Rais Ni mtu mkubwa Sana na dhamana yake ni kubwa mno siwezi kumuombea mabaya hata kidogoNina imani kama yako mkuu,,,,watu wengi wanachukulia hili swala kimasihara masihara tu....
Time will tell
Haya mambo ya kuombeana mabaya tuache, Mungu ndiyo anayejua afya ya mtu, Mungu ndiyo anaetupa afya. Mambo ya kuzushiana mabaya tuache ni hekima na ni busara kuheshimu afya za binadamu wezentu kila mtu anaweza kuugua.Twende mbele turudi nyuma jpm amefanya Mambo mengi ambayo yameligawa taifa ila afya yake ni jambo muhimu Sana kwa ustawi wa taifa letu binafsi natumia nafasi hii kupingana na wote ambao wanamuombea mabaya sio heshima na sio ubinadamu hata kidogo Mimi sio mpenzi wa siasa za magufuli ila kwenye swala la afya yake jpm anageuka kuwa rais wangu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Kama kweli anaumwa namtakia apone haraka rais wangu!!
Nawashangaa sana hao akili ndogo...Si kweli kwamba kila anayemsema Magufuli vibaya ni fisadi.
Niko na Champaign hapa. Tuungane kwenye karamu hii pambeeNimeshaandaa majogoo mawili makubwa. Any time soon kisu kitapita shingoni.
huwa linapikiwa na maji ya kus.....Off topic.....Vyakula vya misibani sijui kwanini huwa vina ladha..pilau la msibani jamani ni tamu kweli kweli!
Bdw nimemis tu pilau..
Hahaha sawaSio lazima
Mko serious kweli?Leo nahisi kuna furaha nitaipata kabla sijalala