Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Status
Not open for further replies.
Kwahiyo bashe yupo kwenye hili kundi??? Nimemuona twita huko anabweka balaaa
Mataga ni kundi la vijana wajinga wajinga wanaofikiri kwa kutumia tumbo, wako tayari kulamba miguu hadi matako ya watawala ili wapate uteuzi.

Wao kwenye kila kitu huona kizuri tu na hata palipo na wizi, uporaji, unyasasaji, na uonevu wao mtesi huwa wanamwita mzalendo.

Kimsingi ni kundi la wajinga na wapumbavu.
 
Mungu msaidie rais wetu mpendwa jpm,wabaya wote washindwe kwa neno lako,na mabaya yote wanayomwombea yasimfike
 
Hizi siku chache watu wenye roho mbaya na chuki iliopitiliza wanajidhihirisha
Je kuna mtu ana roho mbaya na chuki iliyopitiliza kama huyo aliyepewa hongera hapo?
tapatalk_1571539390947.jpeg
 
Hizi siku chache watu wenye roho mbaya na chuki iliopitiliza wanajidhihirisha.
 
Hivi tetesi zote hizi Jiwe anavyojua kujimwambafay angesha toa neno.
Mwanaye mpendwa, TumainiEl Etwege Mgonjwa mtambuka kimyaaaaa
Tenda muujiza Baba Tenda Muujiza..... unaufahamu huu Wimbo???

Tuimbe sote.....
Nasema Mfalme wa Amani Uinuliwe.....Daudi kasema nilikuwa kijana sasa ni mzee sijawahi ona mwenye Haki akiachwa mimi wala watoto wake kuombaomba mikate barabarani.....
Live long TL
 
mara nyingi nakuaga pande wa upinzani. Lakini hata kama humpedi Magufuli kiasi gani huwezi ukachekelea kuumwa kwake hadharani. Hata kama moyoni kwako unataka iwe hivyo, sio kitu smart kuonyesha hisia hizo kwa umma, ni kosa moja kubwa sana kisiasa.
Ndio maana hata Tundu Lissu alipopigwa risasi Magufuli alitweet kumpa pole, japo naamini serikali yake inahusika, lakini alifanya kinachotakiwa kufanywa na mwanasiasa. Hutakiwi kushangilia ugonjwa wala kifo cha mpinzani wako hadharani.

Walichonishangaza zaidi hawa Wapinzani walikuwa wakichekelea wakati hata mtu mwenyewe haijulikani kama ana afya kweli ama mgonjwa, sasa ukishangilia halafu mtu akajitokeza mzima kabisa utajificha wapi?

Najua ni viongozi wachache wa Upinzani wamefanya hivi, lakini wapinzani wanapaswa kufundishana namna ya ku behave mbele ya public, samaki mmoja akioza watatangaza mmeoza wote, wanaangaliwa na watu wengi, na kila wanachoandika watu wanaki judge.

Hapa wanawafanya CCM kama akina Musiba hivi kuaminika zaidi kuwa Wapinzani wapo kwa ajili ya kumduru magufuli na wanashirikiana na mabeberu kufanya hivyo, yaani wanajipiga risasi ya mguuni kama sio kichwani kabisa.

Wamenisikitisha sana
Na kama ni habari ya kutungwa,itakuwa kashfa ndani ya jamii ya upinzani.
Lakini ikiwa ni kweli bado ni kashfa ya kukosa utu mbele ya jamii.
Usiombee ile kashkash au swaga itayofuata kama ni kwa makusudi.Chezea Mossad lo hatari tupu.
 
....."Ajuaye Bwana Mungu kwa mzima kuwa mfu, mgoniwa kuwa salamaa...wote tunawapa pole..!"

Nimeukumbuka sana huo wimbo.
 
ctaki kuamini penyee alipo hatuna member hata angalau wakuanzisha thread mbovu mbovu yenye captures mbili tatuu... [emoji6][emoji849]
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom