Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Status
Not open for further replies.
Kuna jamaa alikuwa anauliza "nani yule aliyetelekeza jimbo" anajifanya hamfahamu kwa jina wakati mwenzake amepoteza zaidi ya mwaka kitandani kutoka katika jaribio la kuuawa. Sio poa kwa kweli . Binafsi namuombea Heri Mr President. Vyovyote iwavyo naamini kuna la kujifunza kuhusu thamani ya UHAI.
nimependa comment yako mkuu
 
Ingekuwa very simple. Kwa vile Mhe Rais ni mzima wa afya, hata kama amepumzika baada ya safari ndefu, angepangiwa dakika kumi tu. Aende pale kanisani anaposali, waandishi wa habari wakiwepo. Apewe mic aongoze sala fupi kama anavyofanya maeneo mengine. Asalimie watu awaambie "Jamani wananizushia tu mimi ni mzima kabisa. Ila nimechoka kwa ziara ndefu niliyokuwa nayo
bila kupumzika. Nikaamua kuikatiza. Paroko naomba nikapumzike". Halafu aondoke. Nakwambia kanisa zima na Watanzania wote wangemshangilia na kumwombea Mungu amtie nguvu. Halafu vyombo vya dola ndio vianze kushughulika na hao waliotunga huo uongo na kumzushia rais wetu mpendwa kifo. Lakini kusema ni uongo bila kueleza ni kwa nini alikatisha ziara na yeye haonekani hadharani ndio uongozi wanazidi kuwatia watu hofu. Kama ni mgonjwa litolewe tamko. Kwani kuumwa si kawaida ya binadamu wote? Nyerere alipopelekwa St Thomas Uingereza si watu waliambiwa? Kikwete alipoenda kutibiwa Marekani si tuliambiwa? Kwani kama hayupo nchini kuna shida gani? Si kuna wasaidizi wake ambao wanatekeleza yale majukumu yake?
Nenda katafute taarifa zake kwa hao waliozusha ...siku akipanga kuonekana hadharani ataonekana lakini si kwa matakwa ya mitandao au mtu mmoja
 
Kuugua kwa binaadamu yeyote achilia mbali viumbe vingine ni kawaida na si hatari kwa taifa. Na ndiyo maana tuna katiba iliyo tambua uwepo wa ugonjwa katika majukumu ya Rais . Achilia mbali kuwa tunaye makamu wa Rais, ambaye wamepigiwa kura pamoja . Kwa hiyo hakuna hatari kwa taifa [emoji120]
Wala hilo halina shida....Sasa wewe unatafuta taarifa gani za Rais...nenda kwa hao wazushaji watakuambia undani wake....Serikali iko kazini Wala msilete hofu kwa wengine
 
Mleta uzi kaja hapa kuonesha panic na vitisho. Watu watanyamaza kwasababu mbili tu;
1. Wenye mamlaka wakikanusha hii habari
2. Bundle na chaji zikikata
SIO kwasababu eti wewe umesema
 
Only an African from Tanzania who migrated to USA will use that name, shame on you. BTW the majority of Tanzanians who migrated to USA are less qualified and failures in their lives when in Tanzania, that is why they are so bitter to see those who did well in Tanzania progress. They do not want fellow Tanzanians to see things which they can only dream about.

Unaona liganga hili?

Ganga la makopo kabisa!

Nani kakwambia as we speak nipo USA?

Na kwenda au kukaa USA ndio sina haki yangu ya Utanzania?

Mimi kutompenda huyo bwana wako ni haki yangu,na wewe kumpenda ni haki yako!

Na uganga wako wa kipumbavu wa kudhani wote walio US au diaspora ni wajinga ni upumbavu wenyewe!

Plus,kila mtu ana haki ya kua mjinga au mwerevu au bure jinsi anavyotaka wether yupo
TZ au US au popote pale!

Wewe kwa ubongo wako wa matope umeniona mimi ni mpumbavu ni sawa na mimi nakuona mavi kwa ubongo wangu binafsi,haki sawa!

Umeumia mimi kumchukia Jiwe!

Na namchukia,kasirika mpaka upasuke!

Ni haki yangu!

Na wewe kua TZ hakukufanyi wewe kua ni mwanadamu bora sana ya wanadamu wote sababu tu upo kwenye kipande cha ardhi kinaitwa TZ!

Na wewe kua TZ ambacho ni kipande cha ardhi kama vipande vingine vyovyote duniani vya ardhi hakusemi wewe una maendeleo sana,huna pesa,huna biashara yenye kubadili maisha ya wanadamu,huna pesa,hufanyi kazi kwenye mashirika serious duniani,huna elimu yenye maana,unakaa makazi duni kama wanadamu wengine,huna material wealth ya aina yoyote,most certainly huna moral wealth yoyote ile kwa jinsi unavyotukana na ku undervalue wanadamu wasiompenda mtu umpendae wewe binafsi!

Kudhibitisha mafanikio yako binafsi hapa,weka jina na details ya makampuni unayomiliki,material wealth zote unazomiliki,etc,tutaverify kweli wewe umepita kila mtu hasa uliowatukana walioko USA kwamba umewazidi kila kitu!

Hapo ndio utakua na moral authority ya kutukana watu kua umewapita kila kitu!

Otherwise,funga matako yako,endelea kutoa lip service to Jiwe’s dick!

Go on,suck it up!

Fvck outta here!
 
Ni siku ya tatu leo kumekuwa na taarifa zinazotolewa na baadhi ya watuamiaji wa mitandao ya kijamii kuhusu afya ya Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania alipokuwa ktk ziara mikoa ya kusini.

Na wengine kufika mbali kabisa kwa kuzusha kabisa taarifa za kifo kitu ambacho baadhi ya wapinzani wa kasi ya awamu ya tano wamekuwa wakifurahi na kushangilia katika mitandao na kuleta taharuki majumbani na mitaani kiasi watu wengi kuuliza Nini kinaendelea.

Taarifa hizi zimekuwa zikitolewa na watz ndani na nje ya nchi wakati Ikulu haijatoa taarifa yoyote kuhusu kuwa Rais ni mgonjwa.

Nadhani tuna sheria na kanuni kuhusu kutoa taarifa hasa zinazohusu usalama wa nchi Sasa hawa wanaotoa taarifa za kuzusha tu toka katika chanzo ambacho hakijulikani na kuleta taharuki wanatakiwa kufanywa Nini na mamlaka husika kisheria.

Nadhani mamlaka husika Kuna haja ya kutoa mtu mmoja kama mfano ili liwe fundisho kwa wengine wenye nia kama hii.

Ukisoma mitandao ya kijamii ndiyo utajua Nini kinasambazwa na kuleta maneno chini kwa chini na taharuki mpaka makanisani watumishi wameanza maombi ya kukemea kinachoendelea.

Kama huna taarifa acha kuzusha taarifa na kama una taarifa sahihi basi jitoe muhanga kwa kutoa taarifa kamili inayoeleweka sio kutoa taarifa za kuwachanganya watz.

Watz wengi wanaelewa sana nia mbaya za watu kwa serikali hi na kama ndiyo kutafuta mtaji wa kura ktk uchaguzi wa November basi hapo mmepata zero kabisa.

Watu wa Cyber happy mna kazi ya kufanya kuondoa uchafu kama huu katika nchi yetu.

Ni muhimu kuwa na taarifa za kweli kuliko uzushi.....tena wakome wote wenye nia mbovu na Serikali.
ahaha
 
Majizi na mafisadi yanajifariji mitandaoni kumwombea magu mabaya ni wakati Kwa serikali kuwashuguliki kikamilifu wapotezwe haraka sana
 
Rais wetu hawezi kufa kwasababu hata mungu anatambua kazi yake juu ya watu wake ukawa na yaliyomo yote ndo laana ya kifo itawarudia wao wapumbav hao... Na hawatakaa waingie ikulu maishaa wahuni Sana Hawa jamaa akiwemi zitto kabwe na kigogo wao Alie wafunga na kuwashika matako wote wakafuata.
 
Kuna taarifa kuwa Raisi Magufuli ni mzima hana tatizo la kutisha la kiafya. Lakini ni wazi kwamba Ikulu na Kurugenzi ya Habari walijua hili na waliona jinsi gani taarifa kuhusu afya ya raisi imekuwa ikienea kwa kasi kwa muda wa siku tatu. Matokeo ni kwamba kamouni yetu ambayo inafanya miamara mikubwa na nchi za nje imepata mamilioni ya hasara, kutokana na "speculation" kwamba afya ya Raisi Magufuli ingeleta mtafaruki nchini.

Sasa tulikuwa tukiwaambia watu wa nje tunasuburi taarifa rasmi za Ikulu, kumbe hawa jamaa saa zote wanakunywa chai Ikulu bila kujali athari za kibiashara kuhusu taarifa zisizothibitishwa kuhusu afya ya Raisi. Tumekasirika sana. Tunajiuliza Ikulu hawajui athari juu ya vitu kama hivi katika mambo ya biashara za mataifa? Kwa nini walikaa kimya makusudi? Hivi wanafikiri kila jambo ni kuwakomoa wanasiasa wa upinzani?

Bado tnasema, kama IKulu waliamua kutokanusha taarifa hizi kwa makusudi kabisa ili kuzidi kuchochea taarifa za uongo, basi Ikulu yetu na Kurugenzi ya Habari vinakaliwa na watu wa ajabu ambao hawajawahi kutokea dunia hiii, hawana uwezo wa kufikiri mambo nje ya wigo wa siasa za upinzani. Pathetic.
 
Ukijifanya una Akili sana na mwenye ' Kiherehere ' mbele ya Watu ( Wenzako ) kwa kuwekeza mno harakati zako za Kimaisha kuna wenye Akili kukuzidi Wewe ambao wanaweza Kujipanga vyema na ' Kiutaalam ' zaidi ili Kukumaliza na wala siyo ama Kukudhuru au Kukua bali ni kwa Akili ndogo tu ila yenye ' Ufundi ' mwingi.

Watapandikizwa tu Watu kisha wajifanye wapo ' Jikoni ' halafu wataomba Urafiki nawe kisha watajitambulisha Kwako ama moja kwa moja au hata kwa Ishara tu kuwa wanatokea kule ambako Wewe hukupendi na unakuchukia sana kila mara wanakuwa wanakupa taarifa za Uwongo na Wewe kwa ' Upumbavu ' wako unaruka nazo hivyo hivyo wakati kumbe wanakuwa wameshakusanifu tu na kukudanganya kwa kila Kitu.

Mpaka ukija Kuwashtukia unajikuta ' Twitani, Istangramuni na Facebukuni ' umebaki peke yako tu na Aibu kubwa ikikushika na kukuandama kila mara. Kuna Mtanzania leo amepigwa Ngumi Moja Kali ya ' TKO ' na Bondia Mtanzania aishiye Geita Guma katika Pambano lao Kali na la Kusisimua lililoanza ' Kupromotiwa ' tokea Majuzi na leo mida ya Alasiri Kuelekea Jioni Bondia huyo wa Geita ameibuka Mshindi huku Mpinzani wake Bondia Gogoki.

Ama hakika huyu Bondia Guma ' ametuumbua ' Mashabiki amba tulikuwa tukimpenda na wapo wengine ambao walienda mbele hadi kutoka Bondia Gogoki amuue kabisa Bondia Guma Ulingoni lakini akakuta Mwenyezi Mungu anampenda na anamlinda mno Bondia Guma hivyo hakuna alichoambulia japo alijifanya anajua sana Kupigana.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom