Ifike ubongoni n ktk uti wa mgongo kila kitu kioze ili madhila yapungue kwa Watanzania
Ilo ndiyo swali na mimi nauliza hayupo kwenye coma?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilo ndiyo swali na mimi nauliza hayupo kwenye coma?
nimependa comment yako mkuuKuna jamaa alikuwa anauliza "nani yule aliyetelekeza jimbo" anajifanya hamfahamu kwa jina wakati mwenzake amepoteza zaidi ya mwaka kitandani kutoka katika jaribio la kuuawa. Sio poa kwa kweli . Binafsi namuombea Heri Mr President. Vyovyote iwavyo naamini kuna la kujifunza kuhusu thamani ya UHAI.
Nenda katafute taarifa zake kwa hao waliozusha ...siku akipanga kuonekana hadharani ataonekana lakini si kwa matakwa ya mitandao au mtu mmojaIngekuwa very simple. Kwa vile Mhe Rais ni mzima wa afya, hata kama amepumzika baada ya safari ndefu, angepangiwa dakika kumi tu. Aende pale kanisani anaposali, waandishi wa habari wakiwepo. Apewe mic aongoze sala fupi kama anavyofanya maeneo mengine. Asalimie watu awaambie "Jamani wananizushia tu mimi ni mzima kabisa. Ila nimechoka kwa ziara ndefu niliyokuwa nayo
bila kupumzika. Nikaamua kuikatiza. Paroko naomba nikapumzike". Halafu aondoke. Nakwambia kanisa zima na Watanzania wote wangemshangilia na kumwombea Mungu amtie nguvu. Halafu vyombo vya dola ndio vianze kushughulika na hao waliotunga huo uongo na kumzushia rais wetu mpendwa kifo. Lakini kusema ni uongo bila kueleza ni kwa nini alikatisha ziara na yeye haonekani hadharani ndio uongozi wanazidi kuwatia watu hofu. Kama ni mgonjwa litolewe tamko. Kwani kuumwa si kawaida ya binadamu wote? Nyerere alipopelekwa St Thomas Uingereza si watu waliambiwa? Kikwete alipoenda kutibiwa Marekani si tuliambiwa? Kwani kama hayupo nchini kuna shida gani? Si kuna wasaidizi wake ambao wanatekeleza yale majukumu yake?
Wala hilo halina shida....Sasa wewe unatafuta taarifa gani za Rais...nenda kwa hao wazushaji watakuambia undani wake....Serikali iko kazini Wala msilete hofu kwa wengineKuugua kwa binaadamu yeyote achilia mbali viumbe vingine ni kawaida na si hatari kwa taifa. Na ndiyo maana tuna katiba iliyo tambua uwepo wa ugonjwa katika majukumu ya Rais . Achilia mbali kuwa tunaye makamu wa Rais, ambaye wamepigiwa kura pamoja . Kwa hiyo hakuna hatari kwa taifa [emoji120]
Kunyanyasa wapinzani. Mawazo hayapigwi nyundo-JMKBaya lipi?kuwafunga mafisadi au kupunguza mianya ya rushwa?
Only an African from Tanzania who migrated to USA will use that name, shame on you. BTW the majority of Tanzanians who migrated to USA are less qualified and failures in their lives when in Tanzania, that is why they are so bitter to see those who did well in Tanzania progress. They do not want fellow Tanzanians to see things which they can only dream about.
ahahaNi siku ya tatu leo kumekuwa na taarifa zinazotolewa na baadhi ya watuamiaji wa mitandao ya kijamii kuhusu afya ya Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania alipokuwa ktk ziara mikoa ya kusini.
Na wengine kufika mbali kabisa kwa kuzusha kabisa taarifa za kifo kitu ambacho baadhi ya wapinzani wa kasi ya awamu ya tano wamekuwa wakifurahi na kushangilia katika mitandao na kuleta taharuki majumbani na mitaani kiasi watu wengi kuuliza Nini kinaendelea.
Taarifa hizi zimekuwa zikitolewa na watz ndani na nje ya nchi wakati Ikulu haijatoa taarifa yoyote kuhusu kuwa Rais ni mgonjwa.
Nadhani tuna sheria na kanuni kuhusu kutoa taarifa hasa zinazohusu usalama wa nchi Sasa hawa wanaotoa taarifa za kuzusha tu toka katika chanzo ambacho hakijulikani na kuleta taharuki wanatakiwa kufanywa Nini na mamlaka husika kisheria.
Nadhani mamlaka husika Kuna haja ya kutoa mtu mmoja kama mfano ili liwe fundisho kwa wengine wenye nia kama hii.
Ukisoma mitandao ya kijamii ndiyo utajua Nini kinasambazwa na kuleta maneno chini kwa chini na taharuki mpaka makanisani watumishi wameanza maombi ya kukemea kinachoendelea.
Kama huna taarifa acha kuzusha taarifa na kama una taarifa sahihi basi jitoe muhanga kwa kutoa taarifa kamili inayoeleweka sio kutoa taarifa za kuwachanganya watz.
Watz wengi wanaelewa sana nia mbaya za watu kwa serikali hi na kama ndiyo kutafuta mtaji wa kura ktk uchaguzi wa November basi hapo mmepata zero kabisa.
Watu wa Cyber happy mna kazi ya kufanya kuondoa uchafu kama huu katika nchi yetu.
Ni muhimu kuwa na taarifa za kweli kuliko uzushi.....tena wakome wote wenye nia mbovu na Serikali.
ukiwa na maana Mungu apende au hasipendeKuna majinga hayampendi Rais wetu mpendwa na kwa taarifa yao JPM ataongoza hadi 2035
Ratiba yake wewe haikuhusu.