Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Status
Not open for further replies.
Ujifunze kuhubiri haki, umoja na upendo kwa watu wote, badala ya kuendeleza chuki na uonevu kwa watu ambao hawajakufanya chochote.
 
Imani ya watu kwake itapungua maana alichopost in the last 3 days ni matango hasa
 
Kweli kabisa kapigwa za uso hatari Sana

Na hii Ngumi inayoitwa ' 408 Jab ' ya Bondia Guma ilimuingia vilivyo Bondia Gogoki ambaye tokea Majuzi hadi leo alikuwa akitamba sana kuwa atashinda na Watu wengi tulimuamini na hasa pale aliposema kuwa ana uhakika kuwa lazima Bondia Guma atakufa lakini kaja ' Kupigwa ' Yeye na hata sasa hivi haamini kuwa imekuwaje. Na asivyo na Aibu ( Uso wa Haya ) najua pamoja na kwamba ana Majeraha ya ' 408 Jab ' ya Bondia Guma bado tu ataendelea ' Kujitutumua ' kwa Mashabiki wake ambao bahati mbaya nasi tumejaa ' Upumbavu ' wa Kutosha tu na ' atatuokota ' tena kama kawaida yake.
 
Diwani Athumani anairudisha Tiss ya Kina Apson na Dr Mahiga

Kuelekea kwenye Uchaguzi kuna Uongo Mwingi huwa unazushwa so ilikuwa ni Muhimu kutengeneza Tango pori la kiwango kile ili next time hata wakipata habari ya kweli wawe wanajiuliza Mara mbili mbili ku post na hata wakipost lazima tuwatilie Mashaka

Dola lilitaka ku test mfumo wake wa Siri kama upo timamu na kweli imedhihiri upo timamu kiasi kwamba Ikiamriwa Rais asijulikane alipo basi mpaka Mawaziri wenyewe wanasikilizia habari kwenye Wasap na Instagram

Lazaro Nyalandu alipost mpaka Mishumaa
 
Ficha ujinga wako, watanzania tulikuwa busy tunasali, wewe na wanafiki wenzako msiozidi 10 na ID fake kibao mlikuwa mnajitekenya
Vizuri ujumbe ameupata, sina hakika kama ataendelea kuwaamini ninyi wachumia tumbo.
 
Walianza na story AMEKUFA, Leo nkaanza kuona habari oooh yuko Ujerumani. Ni mtu mwenye AKILI TIMAMU tu angeweza kuhoji mmesema AMEKUFA, Leo tena yuko Germany inawezekanaje?Taarifa za AMEKUFA walizitoa wapi?Taarifa za yuko Germany walitoa wapi?Ila kwakua kuna watu ni NYUMBU huwa haiwahitaji TAFAKURI yyt zaidi ya kushangilia kile wanachopenda kusikia. Naamini NYUMBU huwa haelimishiki, atakuja na uongo mwingine watanasa tu.Mimi binafsi alipoona ni mtu wa kuhoji sana akaniblock, So utaona jamaa ana followers wa aina gani.
 
Mkuu hakuna system hai ya kupanga mbinu hii kumfedhehesha mkuu ili kumkomoa whistle blower kama Kigogo. Japo katika maisha kila jambo kwa sisi wa kiroho lina sababu yake njema.
 
Hivi hamjajifunza kwamba kuna tatizo? Iweje maelfu ya watanzania waoneshe kufurahia hicho "KIFO" badala ya huzuni? Tafakari.
Maelfu kwa Takwimu zipi?Yaani haters wa Magufuli walewale wa kila siku unataka kusema maelfu?Pitia huko Tweeter uone jamaa yako anavyotukanwa na uone watu walivyoshangilia kumuona JPM mzima.
 
Diwani Athumani anairudisha Tiss ya Kina Apson na Dr Mahiga

Kuelekea kwenye Uchaguzi kuna Uongo Mwingi huwa unazushwa so ilikuwa ni Muhimu kutengeneza Tango pori la kiwango kile ili next time hata wakipata habari ya kweli wawe wanajiuliza Mara mbili mbili ku post na hata wakipost lazima tuwatilie Mashaka

Lazaro Nyalandu alipost mpaka Mishumaa
Ina maana huyu nyalandu pia aliingizwa chaka!
 
Hivi hamjajifunza kwamba kuna tatizo? Iweje maelfu ya watanzania waoneshe kufurahia hicho "KIFO" badala ya huzuni? Tafakari.
Watanzania wa wapi hao?Msitake kugeneralize kilichopo mioyoni mwenu as if ndio kila mtu anawaza hivyo.Kikundi kidogo cha wahuni, wakurupukaji na wazushi ndio unaita watanzania.Hebu omba radhi kwa kuwafananisha watanzania na vitu vya ajabu
 
Ukijifanya una Akili sana na mwenye ' Kiherehere ' mbele ya Watu ( Wenzako ) kwa kuwekeza mno harakati zako za Kimaisha kuna wenye Akili kukuzidi Wewe ambao wanaweza Kujipanga vyema na ' Kiutaalam ' zaidi ili Kukumaliza na wala siyo ama Kukudhuru au Kukua bali ni kwa Akili ndogo tu ila yenye ' Ufundi ' mwingi.

Watapandikizwa tu Watu kisha wajifanye wapo ' Jikoni ' halafu wataomba Urafiki nawe kisha watajitambulisha Kwako ama moja kwa moja au hata kwa Ishara tu kuwa wanatokea kule ambako Wewe hukupendi na unakuchukia sana kila mara wanakuwa wanakupa taarifa za Uwongo na Wewe kwa ' Upumbavu ' wako unaruka nazo hivyo hivyo wakati kumbe wanakuwa wameshakusanifu tu na kukudanganya kwa kila Kitu.

Mpaka ukija Kuwashtukia unajikuta ' Twitani, Istangramuni na Facebukuni ' umebaki peke yako tu na Aibu kubwa ikikushika na kukuandama kila mara. Kuna Mtanzania leo amepigwa Ngumi Moja Kali ya ' TKO ' na Bondia Mtanzania aishiye Geita Guma katika Pambano lao Kali na la Kusisimua lililoanza ' Kupromotiwa ' tokea Majuzi na leo mida ya Alasiri Kuelekea Jioni Bondia huyo wa Geita ameibuka Mshindi huku Mpinzani wake Bondia Gogoki.

Ama hakika huyu Bondia Guma ' ametuumbua ' Mashabiki amba tulikuwa tukimpenda na wapo wengine ambao walienda mbele hadi kutoka Bondia Gogoki amuue kabisa Bondia Guma Ulingoni lakini akakuta Mwenyezi Mungu anampenda na anamlinda mno Bondia Guma hivyo hakuna alichoambulia japo alijifanya anajua sana Kupigana.
hakikisha mmeo anapata unyumba leo
 
Maelfu kwa Takwimu zipi?Yaani haters wa Magufuli walewale wa kila siku unataka kusema maelfu?Pitia huko Tweeter uone jamaa yako anavyotukanwa na uone watu walivyoshangilia kumuona JPM mzima.
Ameshapata funzo, ninyi wachumia tumbo hatowapatia kipaumbele sana.
 
Watanzania wa wapi hao?Msitake kugeneralize kilichopo mioyoni mwenu as if ndio kila mtu anawaza hivyo.Kikundi kidogo cha wahuni, wakurupukaji na wazushi ndio unaita watanzania.Hebu omba radhi kwa kuwafananisha watanzania na vitu vya ajabu
Uzuri ameshapata funzo, ninyi wachumia tumbo hatowapatia kipaumbele tena.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom