Chikwangara
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 685
- 939
Ujifunze kuhubiri haki, umoja na upendo kwa watu wote, badala ya kuendeleza chuki na uonevu kwa watu ambao hawajakufanya chochote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisa kapigwa za uso hatari Sana
Vizuri ujumbe ameupata, sina hakika kama ataendelea kuwaamini ninyi wachumia tumbo.Ficha ujinga wako, watanzania tulikuwa busy tunasali, wewe na wanafiki wenzako msiozidi 10 na ID fake kibao mlikuwa mnajitekenya
Shangwe kutoka wapi?Kuna la kujifunza mbona shangwe zilikuwa ni nyingi kuliko majonzi?? Tafakari chukua hatua.
Diwani Athumani anairudisha Tiss ya Kina Apson na Dr Mahiga
Tena huyo alikubali kumuacha kumuhudumia mumewe kitandani akawa anaongoza jaramba!Cc ewe mnafiki Sky Eclat
Maelfu kwa Takwimu zipi?Yaani haters wa Magufuli walewale wa kila siku unataka kusema maelfu?Pitia huko Tweeter uone jamaa yako anavyotukanwa na uone watu walivyoshangilia kumuona JPM mzima.Hivi hamjajifunza kwamba kuna tatizo? Iweje maelfu ya watanzania waoneshe kufurahia hicho "KIFO" badala ya huzuni? Tafakari.
Unaongelea kupitia tundu lipi? La juu ama huko chini?Ficha ujinga wako, watanzania tulikuwa busy tunasali, wewe na wanafiki wenzako msiozidi 10 na ID fake kibao mlikuwa mnajitekenya
Ina maana huyu nyalandu pia aliingizwa chaka!Diwani Athumani anairudisha Tiss ya Kina Apson na Dr Mahiga
Kuelekea kwenye Uchaguzi kuna Uongo Mwingi huwa unazushwa so ilikuwa ni Muhimu kutengeneza Tango pori la kiwango kile ili next time hata wakipata habari ya kweli wawe wanajiuliza Mara mbili mbili ku post na hata wakipost lazima tuwatilie Mashaka
Lazaro Nyalandu alipost mpaka Mishumaa
Watanzania wa wapi hao?Msitake kugeneralize kilichopo mioyoni mwenu as if ndio kila mtu anawaza hivyo.Kikundi kidogo cha wahuni, wakurupukaji na wazushi ndio unaita watanzania.Hebu omba radhi kwa kuwafananisha watanzania na vitu vya ajabuHivi hamjajifunza kwamba kuna tatizo? Iweje maelfu ya watanzania waoneshe kufurahia hicho "KIFO" badala ya huzuni? Tafakari.
hakikisha mmeo anapata unyumba leoUkijifanya una Akili sana na mwenye ' Kiherehere ' mbele ya Watu ( Wenzako ) kwa kuwekeza mno harakati zako za Kimaisha kuna wenye Akili kukuzidi Wewe ambao wanaweza Kujipanga vyema na ' Kiutaalam ' zaidi ili Kukumaliza na wala siyo ama Kukudhuru au Kukua bali ni kwa Akili ndogo tu ila yenye ' Ufundi ' mwingi.
Watapandikizwa tu Watu kisha wajifanye wapo ' Jikoni ' halafu wataomba Urafiki nawe kisha watajitambulisha Kwako ama moja kwa moja au hata kwa Ishara tu kuwa wanatokea kule ambako Wewe hukupendi na unakuchukia sana kila mara wanakuwa wanakupa taarifa za Uwongo na Wewe kwa ' Upumbavu ' wako unaruka nazo hivyo hivyo wakati kumbe wanakuwa wameshakusanifu tu na kukudanganya kwa kila Kitu.
Mpaka ukija Kuwashtukia unajikuta ' Twitani, Istangramuni na Facebukuni ' umebaki peke yako tu na Aibu kubwa ikikushika na kukuandama kila mara. Kuna Mtanzania leo amepigwa Ngumi Moja Kali ya ' TKO ' na Bondia Mtanzania aishiye Geita Guma katika Pambano lao Kali na la Kusisimua lililoanza ' Kupromotiwa ' tokea Majuzi na leo mida ya Alasiri Kuelekea Jioni Bondia huyo wa Geita ameibuka Mshindi huku Mpinzani wake Bondia Gogoki.
Ama hakika huyu Bondia Guma ' ametuumbua ' Mashabiki amba tulikuwa tukimpenda na wapo wengine ambao walienda mbele hadi kutoka Bondia Gogoki amuue kabisa Bondia Guma Ulingoni lakini akakuta Mwenyezi Mungu anampenda na anamlinda mno Bondia Guma hivyo hakuna alichoambulia japo alijifanya anajua sana Kupigana.
Ameshapata funzo, ninyi wachumia tumbo hatowapatia kipaumbele sana.Maelfu kwa Takwimu zipi?Yaani haters wa Magufuli walewale wa kila siku unataka kusema maelfu?Pitia huko Tweeter uone jamaa yako anavyotukanwa na uone watu walivyoshangilia kumuona JPM mzima.
Uzuri ameshapata funzo, ninyi wachumia tumbo hatowapatia kipaumbele tena.Watanzania wa wapi hao?Msitake kugeneralize kilichopo mioyoni mwenu as if ndio kila mtu anawaza hivyo.Kikundi kidogo cha wahuni, wakurupukaji na wazushi ndio unaita watanzania.Hebu omba radhi kwa kuwafananisha watanzania na vitu vya ajabu