Watanzania tujifunze kukubali kuna vitu hatuwezi, tunaposhindwa tukubali kusaidiwa au tukomae? Baada ya Bandari ni ATCL na SGR au Tusubirie?

Watanzania tujifunze kukubali kuna vitu hatuwezi, tunaposhindwa tukubali kusaidiwa au tukomae? Baada ya Bandari ni ATCL na SGR au Tusubirie?

Mi nafikir tuanze na Rais.ABINAFSISHWE.
Hana afanyalo tukajivunia ukiachilia mbali kudandia cheap popularity ya Yanga ili tujue yupo. Zaid ya hapo hana ajuacho zaid ya kukopa kopa tu na kuzidi kulitia taifa hili kwenye matatizo mazito ya madeni mbele ya safar.
Matatizo wanayopitia Kenya sasa hiv hayakuanza ghafla tuu, ni kwa style hii hii ya kopa hapa..kopa palee na mwisho wa siku pesa zinaliwa na wajinga wachache aliowachomeka kwenye idara za wizara mbali mbali ..na pia anawapa maelekezo kabisaa kwamba WALE KWA UREFU WA KAMBA ZAO kiasi kwamba leo hii mkurugenzi wa halmashauri ya Mkuranga mkoani pwani anawaamuru wafanyakazi woote chini ya halmashauri hiyo walipe 70,000 kwa ajili ya kugharamia send-off party yake
 
Wanabodi,
Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa.

Hii ndio makala ya leo

Watanzania Tujifunze Kujikubali kuwa Kuna Vitu Hauwezi, na Tunaposhindwa Tukubali Kusaidiwa au Tukomae?. Baada ya Bandari ni ATCL na SGR ua Tusubirie tushindwe ndio tuombe usaidizi?.

Inaendelea....
Paskali
Mkuu sana Pascal Mayalla hiki ulichokiandika kinawezekana sana na sababu kubwa ni inferiority complex ambayo ilipandikizwa na wazungu wakituaminisha kuwa nchi yetu ni masikini, na sisi uwezo wetu wa kufikiri ni mdogo. Hii dhana ni potofu kabisa. Nchi hii imejaa watalaamu wa kila aina. Yaani fikiria unampeleka Mbunge Msukuma kwenda kujifunza ili aje ashauri mkataba wa ubia badala ya kuchukua wasomi vyuoni wa aina zote.
 
Hatuwezi kukubali ya kwamba kuna Jambo hatuliwezi Karne ya 21 huo ni udhahifu mkubwa nchi yenye watu 67 milioni , kuhusu kusaidiwa hatukatai lakini iwe Kwa uwazi na muda mchache kisha tulisongeshe wenyewe , hao watawala hata wakodishe TRA Kwa mwekezaji Sisi powah tu Kwa maana Hata hiyo TPA faida yake iko wapi zaidi ya kuwa mzigo Kwa maendeleo ya Taifa na kichaka chao.
TAIFA LITAKUWA LA HOVYO HILI HII SIYO KARNE YA KUSHINDWA KILA JAMBO NI KUTHUBUTU TU.
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa.

Hii ndio makala ya leo swali la wito kwa Watanzania wenzangu, jee jjifunze kujikubali kuwa hatuwezi kila kitu!, hakuna nchi yoyote duniani wanaweza kila kitu wao wenyewe!. Kuna vitu sisi Watanzania wenyewe hatuwezi!, na inapptokea kuna vitu hatuwezi, tunapojaribu tukashindwa, lazima tujikubali hili tumeshindwa, hatuwezi!. Swali ni unaposhindwa kuna ubaya wowote kubali kusaidiwa au tuendelee tuu kujitutumua tukomae tuu mpaka tuweze?

Kiukweli kabisa uamuzi wa kulipa kampuni ya Dubai kutuendeshea Bandari yetu ya Dar es Salaam, Dar Port, ni uamuzi sahihi, na kwa maoni yangu, baada ya Bandari, hata ATCL peke yetu hatuwezi, lazima tongue ubia!. Tukija kwenye SGR ndio kabisa!

Kuna vitu Watanzania hatuwezi na tunashindwa sio kwasababu ni vilaza, au hatuna uwezo, tunashindwa kwasababu tuu hatujui kutazama mbali!

Mfano saa hizi tuko busy kujenga SGR, lakini hatuna mkakati wowote ua Tusubirie tushindwe ndio tuombe usaidizi?

Inaendelea....
Paskali
Mbona tusiweze? Siku wanasiasa wakiondolewa majukumu ya kuteua CEOs wa Taasisi na badala yake vetting system ikatumika tutaweza! We angalia utashi wa Rais unavyofanya disruption ya routes za Air Tanzania kila siku! Sasa sijui customers' satisfaction and loyalty itatoka wapi?
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa.

Hii ndio makala ya leo swali la wito kwa Watanzania wenzangu, jee jjifunze kujikubali kuwa hatuwezi kila kitu!, hakuna nchi yoyote duniani wanaweza kila kitu wao wenyewe!. Kuna vitu sisi Watanzania wenyewe hatuwezi!, na inapptokea kuna vitu hatuwezi, tunapojaribu tukashindwa, lazima tujikubali hili tumeshindwa, hatuwezi!. Swali ni unaposhindwa kuna ubaya wowote kubali kusaidiwa au tuendelee tuu kujitutumua tukomae tuu mpaka tuweze?

Kiukweli kabisa uamuzi wa kulipa kampuni ya Dubai kutuendeshea Bandari yetu ya Dar es Salaam, Dar Port, ni uamuzi sahihi, na kwa maoni yangu, baada ya Bandari, hata ATCL peke yetu hatuwezi, lazima tongue ubia!. Tukija kwenye SGR ndio kabisa!

Kuna vitu Watanzania hatuwezi na tunashindwa sio kwasababu ni vilaza, au hatuna uwezo, tunashindwa kwasababu tuu hatujui kutazama mbali!

Mfano saa hizi tuko busy kujenga SGR, lakini hatuna mkakati wowote ua Tusubirie tushindwe ndio tuombe usaidizi?

Inaendelea....
Paskali
Kama una copy ya huo mkataba tuwekee hapa tuone unasemaje kwanza.
Halafu ajabu nyingine ni hii akili ya kuamini kuwa Watanzania hawawezi ila Waarabu wanaweza!!!
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa.

Hii ndio makala ya leo swali la wito kwa Watanzania wenzangu, jee jjifunze kujikubali kuwa hatuwezi kila kitu!, hakuna nchi yoyote duniani wanaweza kila kitu wao wenyewe!. Kuna vitu sisi Watanzania wenyewe hatuwezi!, na inapptokea kuna vitu hatuwezi, tunapojaribu tukashindwa, lazima tujikubali hili tumeshindwa, hatuwezi!. Swali ni unaposhindwa kuna ubaya wowote kubali kusaidiwa au tuendelee tuu kujitutumua tukomae tuu mpaka tuweze?

Kiukweli kabisa uamuzi wa kulipa kampuni ya Dubai kutuendeshea Bandari yetu ya Dar es Salaam, Dar Port, ni uamuzi sahihi, na kwa maoni yangu, baada ya Bandari, hata ATCL peke yetu hatuwezi, lazima tongue ubia!. Tukija kwenye SGR ndio kabisa!

Kuna vitu Watanzania hatuwezi na tunashindwa sio kwasababu ni vilaza, au hatuna uwezo, tunashindwa kwasababu tuu hatujui kutazama mbali!

Mfano saa hizi tuko busy kujenga SGR, lakini hatuna mkakati wowote ua Tusubirie tushindwe ndio tuombe usaidizi?

Inaendelea....
Paskali
Kwa maana hiyo umeconclude kuwa kwa vile sisi hatuwezi pia kizazi chetu kwa miaka 100 ijayo nacho hakitaweza ....!!

Yah right. This is Tanzania .....!!
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa.

Hii ndio makala ya leo swali la wito kwa Watanzania wenzangu, jee jjifunze kujikubali kuwa hatuwezi kila kitu!, hakuna nchi yoyote duniani wanaweza kila kitu wao wenyewe!. Kuna vitu sisi Watanzania wenyewe hatuwezi!, na inapptokea kuna vitu hatuwezi, tunapojaribu tukashindwa, lazima tujikubali hili tumeshindwa, hatuwezi!. Swali ni unaposhindwa kuna ubaya wowote kubali kusaidiwa au tuendelee tuu kujitutumua tukomae tuu mpaka tuweze?

Kiukweli kabisa uamuzi wa kulipa kampuni ya Dubai kutuendeshea Bandari yetu ya Dar es Salaam, Dar Port, ni uamuzi sahihi, na kwa maoni yangu, baada ya Bandari, hata ATCL peke yetu hatuwezi, lazima tongue ubia!. Tukija kwenye SGR ndio kabisa!

Kuna vitu Watanzania hatuwezi na tunashindwa sio kwasababu ni vilaza, au hatuna uwezo, tunashindwa kwasababu tuu hatujui kutazama mbali!

Mfano saa hizi tuko busy kujenga SGR, lakini hatuna mkakati wowote ua Tusubirie tushindwe ndio tuombe usaidizi?

Inaendelea....
Paskali
Kaka kushindwa kwa serikali hiii wajiuzuru. Kwanini awamu ya Tano waweze awamu ya Sita wanashindwa. Watanzania tunaburuzwa si kwamba hatuwezi. Si kwamba wakiwekwa watu wengine Bandari haitaleta Tija. Ni kwamba wameshindwa waondoke.
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa.

Hii ndio makala ya leo swali la wito kwa Watanzania wenzangu, jee jjifunze kujikubali kuwa hatuwezi kila kitu!, hakuna nchi yoyote duniani wanaweza kila kitu wao wenyewe!. Kuna vitu sisi Watanzania wenyewe hatuwezi!, na inapptokea kuna vitu hatuwezi, tunapojaribu tukashindwa, lazima tujikubali hili tumeshindwa, hatuwezi!. Swali ni unaposhindwa kuna ubaya wowote kubali kusaidiwa au tuendelee tuu kujitutumua tukomae tuu mpaka tuweze?

Kiukweli kabisa uamuzi wa kulipa kampuni ya Dubai kutuendeshea Bandari yetu ya Dar es Salaam, Dar Port, ni uamuzi sahihi, na kwa maoni yangu, baada ya Bandari, hata ATCL peke yetu hatuwezi, lazima tongue ubia!. Tukija kwenye SGR ndio kabisa!

Kuna vitu Watanzania hatuwezi na tunashindwa sio kwasababu ni vilaza, au hatuna uwezo, tunashindwa kwasababu tuu hatujui kutazama mbali!

Mfano saa hizi tuko busy kujenga SGR, lakini hatuna mkakati wowote ua Tusubirie tushindwe ndio tuombe usaidizi?

Inaendelea....
Paskali
Mzee pascal Kwa nini hatusomeshi watu wetu kwenye hiyo Nyanja ?
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa.

Hii ndio makala ya leo swali la wito kwa Watanzania wenzangu, jee jjifunze kujikubali kuwa hatuwezi kila kitu!, hakuna nchi yoyote duniani wanaweza kila kitu wao wenyewe!. Kuna vitu sisi Watanzania wenyewe hatuwezi!, na inapptokea kuna vitu hatuwezi, tunapojaribu tukashindwa, lazima tujikubali hili tumeshindwa, hatuwezi!. Swali ni unaposhindwa kuna ubaya wowote kubali kusaidiwa au tuendelee tuu kujitutumua tukomae tuu mpaka tuweze?

Kiukweli kabisa uamuzi wa kulipa kampuni ya Dubai kutuendeshea Bandari yetu ya Dar es Salaam, Dar Port, ni uamuzi sahihi, na kwa maoni yangu, baada ya Bandari, hata ATCL peke yetu hatuwezi, lazima tongue ubia!. Tukija kwenye SGR ndio kabisa!

Kuna vitu Watanzania hatuwezi na tunashindwa sio kwasababu ni vilaza, au hatuna uwezo, tunashindwa kwasababu tuu hatujui kutazama mbali!

Mfano saa hizi tuko busy kujenga SGR, lakini hatuna mkakati wowote ua Tusubirie tushindwe ndio tuombe usaidizi?

Inaendelea....
Paskali
braza jifunze kujipambania mwenyewe na kutomtegemea mtu ipo siku utasaidiwa mpka kwa mkeo amini maneno yangu
 
Paskali.

Mimi naliona kwenye angle tofauti. Haya maamuzi mazito mno yafanywe na serikali ya Tanganyika kama ilivyo kwa Zanzibar.

Waziri na Rais ni Wazanzibar. Iko namna hili limgesubiri katiba mpya ili kuwe na serikali ya Tanganyika.

Zanzibar watajenga bandari kubwa. Please read between the lines if you understand what I am insinuating.
 
Back
Top Bottom