Watanzania tujifunze kukubali kuna vitu hatuwezi, tunaposhindwa tukubali kusaidiwa au tukomae? Baada ya Bandari ni ATCL na SGR au Tusubirie?

Watanzania tujifunze kukubali kuna vitu hatuwezi, tunaposhindwa tukubali kusaidiwa au tukomae? Baada ya Bandari ni ATCL na SGR au Tusubirie?

H
Wanabodi,

Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa.

Hii ndio makala ya leo swali la wito kwa Watanzania wenzangu, jee jjifunze kujikubali kuwa hatuwezi kila kitu!, hakuna nchi yoyote duniani wanaweza kila kitu wao wenyewe!. Kuna vitu sisi Watanzania wenyewe hatuwezi!, na inapptokea kuna vitu hatuwezi, tunapojaribu tukashindwa, lazima tujikubali hili tumeshindwa, hatuwezi!. Swali ni unaposhindwa kuna ubaya wowote kubali kusaidiwa au tuendelee tuu kujitutumua tukomae tuu mpaka tuweze?

Kiukweli kabisa uamuzi wa kulipa kampuni ya Dubai kutuendeshea Bandari yetu ya Dar es Salaam, Dar Port, kwanza msiuamini upotoshaji wa miaka 100!, ni uzushi tuu!, lakini uamuzi huu ni uamuzi sahihi, na kwa maoni yangu, baada ya Bandari, hata ATCL peke yetu hatuwezi, lazima tongue ubia!. Tukija kwenye SGR ndio kabisa!

Kuna vitu Watanzania hatuwezi na tunashindwa sio kwasababu ni vilaza, au hatuna uwezo, tunashindwa kwasababu tuu hatujui kutazama mbali!

Mfano saa hizi tuko busy kujenga SGR, lakini hatuna mkakati wowote wa kujiandaa kwa mzigo wa kuendesha SGR kwa faida. Waona mbali hili tukaliona, tukashauri Reli ya SGR: Je, Tujifunze kwa wenzetu Kenya kuepusha SGR yetu kuwa ‘A White Elephant’? Wenzetu yameshawakuta..., sasa tusubirie SGR yetu ikamilike, tujaribu kuioparate tushindwe ndipo tutafute usaidizi?, au wakati ujenzi unaendelea, tutazame mbali kwa kujenga uwezo wa uendeshaji na maandalizi ya kutafuta mzigo wa kushiba wa kubebwa na SGR?.

Hivi tuu tuna reli ya TAZARA tumeshindwa kuiendesha!, Tunduma ndio the busiest border kwa mizigo ya Zambia inabebwa na malori, huku mabehewa ya Tazara yamelala bure!.

Reli ya kati tumeshindwa kuiendesha to it's full capacity!, nenda Bandari kavu ya Isaka!, ukiwa mzalendo mwenye machozi ya karibu, unaweza kutoa machozi!. Reli ya Tanga, Moshi, Arusha, almost zimetelekezwa!. Mtu aliyeshindwa kuendesha kidogo hiki uje umpe kukuendeshea li SGR!, nategemea nini?. Kuna ubaya kuwaita watu wenye uwezo wakuendeshee kwa kipindi fulani huku unajenga uwezo wa ndani kuendesha, ukiwa tayari ndipo uendeshe?.

ATCL, tushukuru Magufuli kwa kuwa bold kukimbilia kununua midege kwa cash kwa mtindo wa kupiga tanchi, bila kuwa na business plan!.

Tumenunua midege ya masafa marefu, long hauls, tunaizungusha Dar-Mwanza-Kia!, tunaichosha bure, wear and tear ni kubwa!, matokeo yake by now, tume ground midege 4 kwa uchovu wa engine, tutatengeneza kwa millions of dollars halafu tuje kuharibu tena!. Ukiangalia abiria wa Tanzania wanaokwenda Ulaya na America kwa ndege za mashirika mengine ni abiria wa kujaza a 7 day flights, lakini sisi wenyewe hatuwezi!, lazima tusaidiwe!.

Pale unaposhindwa kitu fulani, hakuna ubaya wowote kuomba msaada kwa wenye uwezo usaidiwe!.

Tuliwahi kujaribu kwa ATC, TTCL, Tanesco, Dawasco, tukaja kuvunja mikataba kwasababu tulikuwa kuzaliwa!. Ukitaka kula ni lazima uliwe!, hivyo hata huu mkataba wa Bandari, kwavile tunataka kula, ni lazima tuliwe!. You can't eat your cake and have it!.

Kuna vitu vingi tuu tunashindwa lakini hatusemi!. Juzi kati Tundu Lissu kashambuliwa kwa kupigwa risasi mchana kweupe, Ben Saanane wetu humu, kakosoa kitu, kayeyuka!. Azory Gwanda kaandika kitu, kafuatwa na Toyota Land cruiser ya mkonga, kapotezwa!.

Serikali yetu imeshindwa kufanya uchunguzi kwasababu hatuna uwezo huo wa.... Watu tumejitokeza humu tukasema tuna uwezo kusaidia, tunachotaka ni serikali ijitokeze tuu na kukiri imeshindwa, na kuomba msaada kwa wenye uwezo!. Tumewasaidia kupata pa kuanzia Taifa linahangaika na wasiojulikana waliomshambulia Tundu Lissu! Je, ni hawa?! Mhe. Mwigulu, IGP, anzieni hapa! bado wakashindwa!. Tumejitokeza tena live Mubashara kupitia kwenye TV, tukasema tunaweza kusaidia Serious Media inaweza kuwabaini "wasiojulikana" Deo Masakilija lakini wapi!.

Kuna watu wanadhani Scotland Yard, wanazaliwa na uwezo huo!, no!, Scotland Yard wanafanya scouting kuwapata watu wenye uwezo huo!, hapa Tanzania watu hao tunao lakini hatuwatumii!.

Niliwahi kuuliza WanaJF, je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi?.

My Take:
Rais Nyerere japo alitupatia uhuru, lakini kulikuwa na watu wengine wenye uwezo kuliko Rais Nyerere, wangeweza kutututawala vizuri zaidi na kutufikisha mbali zaidi, ila ni Nyerere ndiye aliyechaguliwa na Mungu kuwa rais wetu!. Vivyo hivyo kwa Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli na sasa Samia, haina maana kuwa ndio they are the best, but the chosen ones!, lakini the best wapo wanajijua wanaangalia tuu huku wamejinyamazia kwasababu hawajaombwa au kushirikishwa!.

Wito kwa serikali yetu Tukufu, mkishindwa jambo lolote, kabla hamjakimbilia huko nje kuomba msaada, exhaust the local remedies!. Serikali ijitokeze kwa uwazi kabisa very transparently iseme wazi kabisa kuwa hili limetushinda, kama kuna Mtanzania au kampuni ya Kitanzania inaweza kusaidia, na ina uwezo huo, ijitokeze isaidie.

Ikitokea hakuna hakuna Mtanzania au kampuni ya Kitanzania ina uwezo huo, ndipo tutafute wabia kwa kutangaza kwa uwazi kabisa, mabingwa wa uendeshaji wa Bandari ni Bandari kama ya Rotterdam wangejitokeza!.

Kuna kushindwa na kushindwa, kushindwa kungine ni aibu!. Sherehe zote za ndoa za kiasili na kidini, zilikuwa zinasherehekewa ndoa inapokuwa ndoa na sio ndoa inapofungwa!, ma bi harusi lazima awe sealed!. Sasa ikitokea ndoa imefungwa, ikakutikana ndugu ameshindwa kufungua seal ili sherehe iendelee!, ili kuepuka aibu, huyo ndugu anasaidiwa in a very closed guarded secret, kwa kaka mtu, and some tribes hata baba mtu!.

Hivyo Watanzania tunaposhindwa jambo fulani, tuanze kuomba msaada kwa Watanzania kwanza, tukikosa ndio twende kwa wageni kutafuta ms
Ni Bora kumlipa mshahara mrefu ceo WA kukodi au wataalamu wa kuongeza ufanisi kuliko kuikabidhi bandari Kwa waarabu.

Mali asili zote zitasombwa na kupelekwa kwao na ninyi mtabaki kuwa mbwa Kwa kupewa mifupa na minofu na vizawadi vya ist vitaimaliza nchi wapenzi muje muone.
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa.

Hii ndio makala ya leo swali la wito kwa Watanzania wenzangu, jee jjifunze kujikubali kuwa hatuwezi kila kitu!, hakuna nchi yoyote duniani wanaweza kila kitu wao wenyewe!. Kuna vitu sisi Watanzania wenyewe hatuwezi!, na inapptokea kuna vitu hatuwezi, tunapojaribu tukashindwa, lazima tujikubali hili tumeshindwa, hatuwezi!. Swali ni unaposhindwa kuna ubaya wowote kubali kusaidiwa au tuendelee tuu kujitutumua tukomae tuu mpaka tuweze?

Kiukweli kabisa uamuzi wa kulipa kampuni ya Dubai kutuendeshea Bandari yetu ya Dar es Salaam, Dar Port, kwanza msiuamini upotoshaji wa miaka 100!, ni uzushi tuu!, lakini uamuzi huu ni uamuzi sahihi, na kwa maoni yangu, baada ya Bandari, hata ATCL peke yetu hatuwezi, lazima tongue ubia!. Tukija kwenye SGR ndio kabisa!

Kuna vitu Watanzania hatuwezi na tunashindwa sio kwasababu ni vilaza, au hatuna uwezo, tunashindwa kwasababu tuu hatujui kutazama mbali!

Mfano saa hizi tuko busy kujenga SGR, lakini hatuna mkakati wowote wa kujiandaa kwa mzigo wa kuendesha SGR kwa faida. Waona mbali hili tukaliona, tukashauri Reli ya SGR: Je, Tujifunze kwa wenzetu Kenya kuepusha SGR yetu kuwa ‘A White Elephant’? Wenzetu yameshawakuta..., sasa tusubirie SGR yetu ikamilike, tujaribu kuioparate tushindwe ndipo tutafute usaidizi?, au wakati ujenzi unaendelea, tutazame mbali kwa kujenga uwezo wa uendeshaji na maandalizi ya kutafuta mzigo wa kushiba wa kubebwa na SGR?.

Hivi tuu tuna reli ya TAZARA tumeshindwa kuiendesha!, Tunduma ndio the busiest border kwa mizigo ya Zambia inabebwa na malori, huku mabehewa ya Tazara yamelala bure!.

Reli ya kati tumeshindwa kuiendesha to it's full capacity!, nenda Bandari kavu ya Isaka!, ukiwa mzalendo mwenye machozi ya karibu, unaweza kutoa machozi!. Reli ya Tanga, Moshi, Arusha, almost zimetelekezwa!. Mtu aliyeshindwa kuendesha kidogo hiki uje umpe kukuendeshea li SGR!, nategemea nini?. Kuna ubaya kuwaita watu wenye uwezo wakuendeshee kwa kipindi fulani huku unajenga uwezo wa ndani kuendesha, ukiwa tayari ndipo uendeshe?.

ATCL, tushukuru Magufuli kwa kuwa bold kukimbilia kununua midege kwa cash kwa mtindo wa kupiga tanchi, bila kuwa na business plan!.

Tumenunua midege ya masafa marefu, long hauls, tunaizungusha Dar-Mwanza-Kia!, tunaichosha bure, wear and tear ni kubwa!, matokeo yake by now, tume ground midege 4 kwa uchovu wa engine, tutatengeneza kwa millions of dollars halafu tuje kuharibu tena!. Ukiangalia abiria wa Tanzania wanaokwenda Ulaya na America kwa ndege za mashirika mengine ni abiria wa kujaza a 7 day flights, lakini sisi wenyewe hatuwezi!, lazima tusaidiwe!.

Pale unaposhindwa kitu fulani, hakuna ubaya wowote kuomba msaada kwa wenye uwezo usaidiwe!.

Tuliwahi kujaribu kwa ATC, TTCL, Tanesco, Dawasco, tukaja kuvunja mikataba kwasababu tulikuwa kuzaliwa!. Ukitaka kula ni lazima uliwe!, hivyo hata huu mkataba wa Bandari, kwavile tunataka kula, ni lazima tuliwe!. You can't eat your cake and have it!.

Kuna vitu vingi tuu tunashindwa lakini hatusemi!. Juzi kati Tundu Lissu kashambuliwa kwa kupigwa risasi mchana kweupe, Ben Saanane wetu humu, kakosoa kitu, kayeyuka!. Azory Gwanda kaandika kitu, kafuatwa na Toyota Land cruiser ya mkonga, kapotezwa!.

Serikali yetu imeshindwa kufanya uchunguzi kwasababu hatuna uwezo huo wa.... Watu tumejitokeza humu tukasema tuna uwezo kusaidia, tunachotaka ni serikali ijitokeze tuu na kukiri imeshindwa, na kuomba msaada kwa wenye uwezo!. Tumewasaidia kupata pa kuanzia Taifa linahangaika na wasiojulikana waliomshambulia Tundu Lissu! Je, ni hawa?! Mhe. Mwigulu, IGP, anzieni hapa! bado wakashindwa!. Tumejitokeza tena live Mubashara kupitia kwenye TV, tukasema tunaweza kusaidia Serious Media inaweza kuwabaini "wasiojulikana" Deo Masakilija lakini wapi!.

Kuna watu wanadhani Scotland Yard, wanazaliwa na uwezo huo!, no!, Scotland Yard wanafanya scouting kuwapata watu wenye uwezo huo!, hapa Tanzania watu hao tunao lakini hatuwatumii!.

Niliwahi kuuliza WanaJF, je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi?.

My Take:
Rais Nyerere japo alitupatia uhuru, lakini kulikuwa na watu wengine wenye uwezo kuliko Rais Nyerere, wangeweza kutututawala vizuri zaidi na kutufikisha mbali zaidi, ila ni Nyerere ndiye aliyechaguliwa na Mungu kuwa rais wetu!. Vivyo hivyo kwa Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli na sasa Samia, haina maana kuwa ndio they are the best, but the chosen ones!, lakini the best wapo wanajijua wanaangalia tuu huku wamejinyamazia kwasababu hawajaombwa au kushirikishwa!.

Wito kwa serikali yetu Tukufu, mkishindwa jambo lolote, kabla hamjakimbilia huko nje kuomba msaada, exhaust the local remedies!. Serikali ijitokeze kwa uwazi kabisa very transparently iseme wazi kabisa kuwa hili limetushinda, kama kuna Mtanzania au kampuni ya Kitanzania inaweza kusaidia, na ina uwezo huo, ijitokeze isaidie.

Ikitokea hakuna hakuna Mtanzania au kampuni ya Kitanzania ina uwezo huo, ndipo tutafute wabia kwa kutangaza kwa uwazi kabisa, mabingwa wa uendeshaji wa Bandari ni Bandari kama ya Rotterdam wangejitokeza!.

Kuna kushindwa na kushindwa, kushindwa kungine ni aibu!. Sherehe zote za ndoa za kiasili na kidini, zilikuwa zinasherehekewa ndoa inapokuwa ndoa na sio ndoa inapofungwa!, ma bi harusi lazima awe sealed!. Sasa ikitokea ndoa imefungwa, ikakutikana ndugu ameshindwa kufungua seal ili sherehe iendelee!, ili kuepuka aibu, huyo ndugu anasaidiwa in a very closed guarded secret, kwa kaka mtu, and some tribes hata baba mtu!.

Hivyo Watanzania tunaposhindwa jambo fulani, tuanze kuomba msaada kwa Watanzania kwanza, tukikosa ndio twende kwa wageni kutafuta msaada!.

Paskali
Bandiko safi sana Paskali,
Chanzo cha haya matatizo, ni mifumo.
1. Mifumo ya Elimu, haimwandai mwanafunzi kukabili matatizo yake, bali humwandaa aajiriwe.
Mifumo ya elimu erekebishwe iweze kuandaa watu wanaoweza kujitawala kutengeneza ajira.

Kama intake zote za madarasa kuanzia kipindi cha uhuru 1961 kinaandaa watu wa kuajiriwa na si wa kutengeneza ajira, unategemea nani atengeneze hizo ajira?

Na ndiyo maana hata mambo madogo kama bandari tunakosa pumzi ya kuiendesha, kwa sababu elimu yetu haikutuandaa kujiongoza, imetuandaa kuongozwa.

viongozi na serikali ni zao la elimu inayofundisha kuajiriwa, hivyo ni ngumu sana wao kuweza kuwa na ujuzi wa kuendesha mambo zaidi ya ku-opt kuendeshewa.
 
Laana ya wizi wa kura haiwezi kuiacha nchi salama hata kidogo. Siku tukipata utawala unaotokana na matakwa na ridhaa ya wananchi laana hii itaondoka. Watawala wetu wanapata kibri kwa vile wameshajiwekea mfumo ambao hata wakivurunda sisi wananchi hatuna cha kuwafanya. Watawala wanaotokana na kura(ridhaa) ya wananchi huwa wanajihadhari na matendo ya hovyo kwani wanajua kuwa wananchi wanayo fimbo ya kuwapigia yaani kuwakataa kwenye sanduku la kura,lakini CCM wameshajiwekea mfumo ambao sanduku la kura halina maana yoyote. Na hapa ndiyo umuhimu wa Katiba mpya na tume huru ya uchaguzi unaonekana.
JamiiForums-93732544.jpg
IMG-20230406-WA0001.jpg
 
Laana ya wizi wa kura haiwezi kuiacha nchi salama hata kidogo. Siku tukipata utawala unaotokana na matakwa na ridhaa ya wananchi laana hii itaondoka. Watawala wetu wanapata kibri kwa vile wameshajiwekea mfumo ambao hata wakivurunda sisi wananchi hatuna cha kuwafanya. Watawala wanaotokana na kura(ridhaa) ya wananchi huwa wanajihadhari na matendo ya hovyo kwani wanajua kuwa wananchi wanayo fimbo ya kuwapigia yaani kuwakataa kwenye sanduku la kura,lakini CCM wameshajiwekea mfumo ambao sanduku la kura halina maana yoyote. Na hapa ndiyo umuhimu wa Katiba mpya na tume huru ya uchaguzi unaonekana.View attachment 2649960View attachment 2649961
Ni wananchi wangapi wanaijua katiba iliyopo? idadi ya wenye uelewa wa katiba ikifikia idadi wa mashabiki wa Diamond na Zuchu, hapo itawezekana kufanya mabadiliko.

Tuhamasishane kuwa Serious na mambo ya msingi yanayohusu taifa, huu utakuwa mwanzo mzuri sana.
 
MASHIRIKA ya muhimu tumeyaua wenyewe,,, Sasa mbona Bandari mnaishikilia bango sana 😂😂😂.. Nayo iuzwe tu Wapiga Dili na Wapeana Ajira watafute Chaka lingine..
 
Sisi hatukatai kusaidiwa, yaani ubia wa tupate wote tukose wote. Yaani ni sawa na jamaa kundoka na bakuli zima la mboga, kuna kula ugali hapo ndugu zangu.
 
Ni wananchi wangapi wanaijua katiba iliyopo? idadi ya wenye uelewa wa katiba ikifikia idadi wa mashabiki wa Diamond na Zuchu, hapo itawezekana kufanya mabadiliko.

Tuhamasishane kuwa Serious na mambo ya msingi yanayohusu taifa, huu utakuwa mwanzo mzuri sana.
Operesheni +255 inaifanya kazi hii, tuunganishe nguvu katika hili vinginevyo watawala hawa wataendelea kutuchezea
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa.

Hii ndio makala ya leo swali la wito kwa Watanzania wenzangu, jee jjifunze kujikubali kuwa hatuwezi kila kitu!, hakuna nchi yoyote duniani wanaweza kila kitu wao wenyewe!. Kuna vitu sisi Watanzania wenyewe hatuwezi!, na inapptokea kuna vitu hatuwezi, tunapojaribu tukashindwa, lazima tujikubali hili tumeshindwa, hatuwezi!. Swali ni unaposhindwa kuna ubaya wowote kubali kusaidiwa au tuendelee tuu kujitutumua tukomae tuu mpaka tuweze?

Kiukweli kabisa uamuzi wa kulipa kampuni ya Dubai kutuendeshea Bandari yetu ya Dar es Salaam, Dar Port, kwanza msiuamini upotoshaji wa miaka 100!, ni uzushi tuu!, lakini uamuzi huu ni uamuzi sahihi, na kwa maoni yangu, baada ya Bandari, hata ATCL peke yetu hatuwezi, lazima tongue ubia!. Tukija kwenye SGR ndio kabisa!

Kuna vitu Watanzania hatuwezi na tunashindwa sio kwasababu ni vilaza, au hatuna uwezo, tunashindwa kwasababu tuu hatujui kutazama mbali!

Mfano saa hizi tuko busy kujenga SGR, lakini hatuna mkakati wowote wa kujiandaa kwa mzigo wa kuendesha SGR kwa faida. Waona mbali hili tukaliona, tukashauri Reli ya SGR: Je, Tujifunze kwa wenzetu Kenya kuepusha SGR yetu kuwa ‘A White Elephant’? Wenzetu yameshawakuta..., sasa tusubirie SGR yetu ikamilike, tujaribu kuioparate tushindwe ndipo tutafute usaidizi?, au wakati ujenzi unaendelea, tutazame mbali kwa kujenga uwezo wa uendeshaji na maandalizi ya kutafuta mzigo wa kushiba wa kubebwa na SGR?.

Hivi tuu tuna reli ya TAZARA tumeshindwa kuiendesha!, Tunduma ndio the busiest border kwa mizigo ya Zambia inabebwa na malori, huku mabehewa ya Tazara yamelala bure!.

Reli ya kati tumeshindwa kuiendesha to it's full capacity!, nenda Bandari kavu ya Isaka!, ukiwa mzalendo mwenye machozi ya karibu, unaweza kutoa machozi!. Reli ya Tanga, Moshi, Arusha, almost zimetelekezwa!. Mtu aliyeshindwa kuendesha kidogo hiki uje umpe kukuendeshea li SGR!, nategemea nini?. Kuna ubaya kuwaita watu wenye uwezo wakuendeshee kwa kipindi fulani huku unajenga uwezo wa ndani kuendesha, ukiwa tayari ndipo uendeshe?.

ATCL, tushukuru Magufuli kwa kuwa bold kukimbilia kununua midege kwa cash kwa mtindo wa kupiga tanchi, bila kuwa na business plan!.

Tumenunua midege ya masafa marefu, long hauls, tunaizungusha Dar-Mwanza-Kia!, tunaichosha bure, wear and tear ni kubwa!, matokeo yake by now, tume ground midege 4 kwa uchovu wa engine, tutatengeneza kwa millions of dollars halafu tuje kuharibu tena!. Ukiangalia abiria wa Tanzania wanaokwenda Ulaya na America kwa ndege za mashirika mengine ni abiria wa kujaza a 7 day flights, lakini sisi wenyewe hatuwezi!, lazima tusaidiwe!.

Pale unaposhindwa kitu fulani, hakuna ubaya wowote kuomba msaada kwa wenye uwezo usaidiwe!.

Tuliwahi kujaribu kwa ATC, TTCL, Tanesco, Dawasco, tukaja kuvunja mikataba kwasababu tulikuwa kuzaliwa!. Ukitaka kula ni lazima uliwe!, hivyo hata huu mkataba wa Bandari, kwavile tunataka kula, ni lazima tuliwe!. You can't eat your cake and have it!.

Kuna vitu vingi tuu tunashindwa lakini hatusemi!. Juzi kati Tundu Lissu kashambuliwa kwa kupigwa risasi mchana kweupe, Ben Saanane wetu humu, kakosoa kitu, kayeyuka!. Azory Gwanda kaandika kitu, kafuatwa na Toyota Land cruiser ya mkonga, kapotezwa!.

Serikali yetu imeshindwa kufanya uchunguzi kwasababu hatuna uwezo huo wa.... Watu tumejitokeza humu tukasema tuna uwezo kusaidia, tunachotaka ni serikali ijitokeze tuu na kukiri imeshindwa, na kuomba msaada kwa wenye uwezo!. Tumewasaidia kupata pa kuanzia Taifa linahangaika na wasiojulikana waliomshambulia Tundu Lissu! Je, ni hawa?! Mhe. Mwigulu, IGP, anzieni hapa! bado wakashindwa!. Tumejitokeza tena live Mubashara kupitia kwenye TV, tukasema tunaweza kusaidia Serious Media inaweza kuwabaini "wasiojulikana" Deo Masakilija lakini wapi!.

Kuna watu wanadhani Scotland Yard, wanazaliwa na uwezo huo!, no!, Scotland Yard wanafanya scouting kuwapata watu wenye uwezo huo!, hapa Tanzania watu hao tunao lakini hatuwatumii!.

Niliwahi kuuliza WanaJF, je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi?.

My Take:
Rais Nyerere japo alitupatia uhuru, lakini kulikuwa na watu wengine wenye uwezo kuliko Rais Nyerere, wangeweza kutututawala vizuri zaidi na kutufikisha mbali zaidi, ila ni Nyerere ndiye aliyechaguliwa na Mungu kuwa rais wetu!. Vivyo hivyo kwa Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli na sasa Samia, haina maana kuwa ndio they are the best, but the chosen ones!, lakini the best wapo wanajijua wanaangalia tuu huku wamejinyamazia kwasababu hawajaombwa au kushirikishwa!.

Wito kwa serikali yetu Tukufu, mkishindwa jambo lolote, kabla hamjakimbilia huko nje kuomba msaada, exhaust the local remedies!. Serikali ijitokeze kwa uwazi kabisa very transparently iseme wazi kabisa kuwa hili limetushinda, kama kuna Mtanzania au kampuni ya Kitanzania inaweza kusaidia, na ina uwezo huo, ijitokeze isaidie.

Ikitokea hakuna hakuna Mtanzania au kampuni ya Kitanzania ina uwezo huo, ndipo tutafute wabia kwa kutangaza kwa uwazi kabisa, mabingwa wa uendeshaji wa Bandari ni Bandari kama ya Rotterdam wangejitokeza!.

Kuna kushindwa na kushindwa, kushindwa kungine ni aibu!. Sherehe zote za ndoa za kiasili na kidini, zilikuwa zinasherehekewa ndoa inapokuwa ndoa na sio ndoa inapofungwa!, ma bi harusi lazima awe sealed!. Sasa ikitokea ndoa imefungwa, ikakutikana ndugu ameshindwa kufungua seal ili sherehe iendelee!, ili kuepuka aibu, huyo ndugu anasaidiwa in a very closed guarded secret, kwa kaka mtu, and some tribes hata baba mtu!.

Hivyo Watanzania tunaposhindwa jambo fulani, tusione aibu kusema tumeshindwa!, tuanze kuomba msaada kwa Watanzania kwanza, tukikosa ndio twende kwa wageni kutafuta msaada kwa uwazi na ushirikishwaji.

Paskali
Mjumbe Paskali una stayili ya mishmash, inachanganya mazuri na mabaya, chuya na pumba, kenge na nyoka, halafu unaweka conclusion moja. Azorygwanda aliuliwa na UAMSHO kwa kutumiwa na magazeti ya Kenya kupata breakingnews, Ben alitekwana kuuliwa na squad toka Mara wamesema Dr. Slaa na Dr. Mollel. Yale mengine ni sawa, kina Kabunda, Mwanahalisi, na ugaidi wa UAMSHO na wa Mbowe, hayo ni sawa.
 
Mradi wa mabus ya mwendokasi wamechelewa sana ilitakiwa hata Jana
 
Waarabu baada ya kuona hawawezi kuisimamia miradi Yao ya kiuchumi Kama waafrika wakaona ni afadhari wawaachie wazungu waendeshe shuguli za uchumi Leo wapo bandari
 
Wito kwa serikali yetu Tukufu, mkishindwa jambo lolote, kabla hamjakimbilia huko nje kuomba msaada, exhaust the local remedies!. Serikali ijitokeze kwa uwazi kabisa very transparently iseme wazi kabisa kuwa hili limetushinda, kama kuna Mtanzania au kampuni ya Kitanzania inaweza kusaidia, na ina uwezo huo, ijitokeze isaidie.
...Unauma na kupuliza....umeshauri sio vibaya kuomba msaada ukishindwa ila hujaafiki msaada wa nje kabla ya kuanzia ndani.....au nimekuelewa vibaya ?.…🤔🤔
 
Ni kweli watanganyika hatuwezi kumuua mtu mmoja tu anayetaka tuwe bandariless
 
Back
Top Bottom