Watanzania Tujitokeze Kulaani na Kukemea Vikali kauli Chafu za Mdude Nyagali kwa Rais Wetu

Taja hizo kauli ambazo alizitamka huyu mpambania haki za wtz ambazo zimekukera ili tuzipime kama ni kweli kuwa ni kauli chafu
 
nashauri Jeshi imara la polisi kuchukua hatua kwa uhaini huu wa huyo kijana japo inafahamika ana matatizo ya afya ya akili kutokana na ubwiaji madawa ya kulevya 🐒
Nilisema hata jana kuwa huyu mtu inatakiwa afunguliwe kesi ya uhaini .
 
Madude mnamuonea tu jamaa ana matatizo ya akili(PTSD) Apewe msaada haraka.
 
Kwan mara ya kwanza nimekutana na mtu wa ovyo na mjinga ndani ya jf..

Bora ungekaa kimya kuficha upumbavu wako,,tuache kukemea tabia za uchawa sabb mnakiuka law of work "mnavuna msichopanda sabb ya uchawa wenu" unataka tumkemeee mdude shujaa anaepambania wanyonge na kuwaambia viongoz udhaifu wao wazwaz..

Mdude yule hata mumuue Sina shaka hana hofu kabisa akilin mwake anakumbuka hata Yesu Masih alishasema "msiwaogope hao wauao mwili kisha baada ya hapo hakuna wanachoweza kufanya..."

Mdude endeelea kupambanua haki za watanzania dhidi ya hao dhulmati..
 
Luca kesi ya uhaini sio kirahisi kam unavyowaza mtu afunguliwe kama hivyo. Kasome tena nini maana ya uhaini.
Naifahamu vyema sana sheria hiyo na ndio maana nikasema kwa kauli zake za jana anapaswa kufunguliwa kesi ya uhaini.maana ametishia maisha ya Rais wetu mpendwa.
 
Ninyi endeleeni kumjaza ujinga wenu hapa. Tambua tu ya kuwa jinai anayoendelea kuitenda haikubaliki hata kidogo na muda utafika wa yeye kuwajibika kisheria
 
Utamfanyeje mkuu??ila huyu jamaa binafsi kutoka moyoni namchukia kuliko mavi ila tu simjui na sijawahi kumuona shoga huyu sijui atakua na muonekano gani maandiko yake yanatia kinyaa mno
Ushauri wangu wa bure ni kuwa ungekunywa sumu UFE kabisa na kutoweka hapa Duniani,maana huna faida yoyote ile na hakuna atakaye sikitika ukifa.
 

Niliwahi kukwambia, wewe na Mdude hamna tofaut yoyote

Inapofikia hatua ya kuona ugali wenu unawekwa mchanga

Kila mmoja anakuja mbio kutetea anachokiona ni sawa

Mdude anatetea ugali wake because viongozi wake wote wako jela sasa hivi, so ndio maana anaongea ambayo anaongea

Na wewe anatetea ugali wako because viongozi wako wameongelewa vibaya na Mdude

I think mnatakiwa kuheshimiana ili kila mtu ale ugali wake vizuri na apate posho yake vizuri kabisa bila tabu
 
Usinifananishe na Mdude Nyagali.huko ni kunidhalilisha mimi.
 
Panic mode, issue ya GenZ wa Kenya imefanya viongozi wengi wa Africa kuwa kwenye panic mode.

Ulaya, America, Asia nk ambako kuna maisha mazuri na matumaini ya watu kuishi bado kuna UPINZANI.
Siasa za upinzani zimeikuta CCM Iko offguard.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…