Watanzania Tujitokeze Kulaani na Kukemea Vikali kauli Chafu za Mdude Nyagali kwa Rais Wetu

Watanzania au mazombie wa ccm? Yaani tutoke kutetea viongozi wanaoingia madarakani kwa wizi wa kura?
 
Unajua kabisa Rais na Msude ni kama bahari za sisimizi,haupo hapa kumtetea rais ,upo hapa kutafuta huruma ya rais
 
Chukuwachakomapema WAOGA SANA SANA!
Gen Z wanakuja kwa kasi. Hata mfanye nini reform is coming, even sooner than expected!
Imekwisha!
 



Yaani nchi hii watu wawe wanashida kujadili kauli za vijana ambao sio hata viongozi wa upinzani wakati kuna wabakaji, mikataba mibaya, treni haina umeme, wananchi wanahamihswa, migogoro !!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…