Watanzania tujiulize: Ikiwa sisi ndiyo wenye mali, nini kinatukimbiza nje kutafuta wa kuja kuzila (eti kuwekeza)?

Watanzania tujiulize: Ikiwa sisi ndiyo wenye mali, nini kinatukimbiza nje kutafuta wa kuja kuzila (eti kuwekeza)?

Watanzania wenzangu, kuna kitu hakiko sawa!

Tutachanganyiwa lugha zote kuwa tunafungua nchi kumbe kuna hila ndani yake.

Sikubaliani kabisa viongozi kuzunguka dunia nzima kuomba pesa na uwekezaji.
Tunajidhalilisha!

Tuna bunge, Mawaziri, Wasomi, Wanasiasa, Wafanyabiashara maarufu nk,tumeshindwa kutulia na kukipanga hata iwe miaka 100 ijayo tukaijenga nchi yetu wenyewe? Hiyo haraka ni ya nini?

Wazee wetu kina Warioba, Msekwa, Malecela, Msuya nk niwaulize, mmekubali wajukuu zenu na elimu zao kuwa manamba wa Wazungu? Ndivyo hivyo Mwl. Nyerere aliwausia? Vijana,wajukuu zenu serikali iliwasomesha hadi vyuo vikuu ili wawe ombaomba duniani? Au waendesha bodaboda tuu na siyo kusimamia rasilimali zetu?

Ni kwa nini kila Rais aingiapo tunaruhusu alete mambo yake mapya na siyo kuendeleza ya mtangulizi au yaliyoasisiwa na nyie wazee wetu?

Mwl. Nyerere alituachia rasilimali tuzitumie kujiletea maendeleo au kuzinadia duniani?

Tujitizame.
Acha kulala kama mtoto wa kike
 
Fikra mfu za mtu aliye kufa! Tulikua tumeingizwa chaka sana na ‘uzalendo’ huu wa kijinga! Kama tunajiweza, Kwanini na Sisi tusipishane na hao wawekezaji, tukawekeze kwao, badala ya kuendesha Bodaboda?!
Mlitaka kuturudisha kwenye ujima, kisa tu chuki zenu kwa wazungu?! Uwekezaji bado, subiri mtawekezwa mpaka mkome terrorism ya watali nyinyi
 
Haiwezekani rais akamsikiliza kila mtu, litakuwa ni soko kama la Kariakoo. Kila mjuaji akiwa anasikilizwa hiyo sio nchi tena.
Nani kasema kila mtu ?

Nimeongelea wadau na wataalamu lazima nchi iwe ina Dira long term ambapo watu walishakaa na ku-propose ni wapi na vipi tunakwenda kinachobaki ni kurekebisha na kufanya fine-tuning huku kila kinachofanyika upande wa Mikataba kiende Bungeni ili kichujwe (kuepuka watu kutupiga au kujinufaisha) After all Rais ni Binadamu na sio Malaika (She / He can be Corruptible) checks and balances are needed
 
Nani kasema kila mtu ?

Nimeongelea wadau na wataalamu lazima nchi iwe ina Dira long term ambapo watu walishakaa na ku-propose ni wapi na vipi tunakwenda kinachobaki ni kurekebisha na kufanya fine-tuning huku kila kinachofanyika upande wa Mikataba kiende Bungeni ili kichujwe (kuepuka watu kutupiga au kujinufaisha) After all Rais ni Binadamu na sio Malaika (She / He can be Corruptible) checks and balances are needed
Hiyo ni dira ndio inafanyiwa kazi na serikali. Hao watu wapo na ndio washauri wa masuala ya uchumi. Hizo checks and balances zipo.

Tatizo ni mindset ya kudhani tunaibiwa kila idara. Tunakuwa so inferior kwenye kila kitu.
 
Hiyo ni dira ndio inafanyiwa kazi na serikali. Hao watu wapo na ndio washauri wa masuala ya uchumi. Hizo checks and balances zipo.

Tatizo ni mindset ya kudhani tunaibiwa kila idara. Tunakuwa so inferior kwenye kila kitu.
Once Bitten twice Shy....

Fool me Once Shame on You.., Fool me Twice Shame on Me.....

Kuepuka hayo we Need Transparency.... (bila transparency, Tuliibiwa, Tunaibiwa na tutaendele Kuibiwa)
 
Hizi ndio akili za waafrika, anaamini hawezi kuwekaza na wala hawa hawezi pata mtaji, hivi akili wao walitoa wapi hao wazungu mnaoenda kuomba,? Kama ni technology hawakuiokota, walisoma, maanake elimu Bora ndio umewasaidia kupata technology, nyie elimu yenu ikoje? Yani huwa hatuwezi kuona mambo zaidi ya urefu wa pua.

Basi someni historia ya nchi zingine waliwezaje? Singapore waliwezaje na ni kisiwa? Ndio nchi yenye watu wenye IQ kubwa duniani,
Umeshasema kuwa ni watu wenye IQ kubwa duniani, lakini bado unajiuliza wao waliwezaje! Akili za ccm hizi
 
Once Bitten twice Shy....

Fool me Once Shame on You.., Fool me Twice Shame on Me.....

Kuepuka hayo we Need Transparency.... (bila transparency, Tuliibiwa, Tunaibiwa na tutaendele Kuibiwa)
Wasilisha hoja yako kupitia mwakilishi wa jimbo lako bungeni ili ifanyiwe kazi. Vinginevyo ni mazungumzo baada ya habari.
 
Tz tunazalisha Tanzanite,makaa ya mawe,gas,Dhahabu,Alumas,Rubi na madini yakutengenezea jipsum marumaru na makighafi za miti huku Iringa zote hizi zinaenda nje kama hujuwi.Enzi za awamu ya nne zilikopa hela zatengenezea kiwanda cha mbolea Lindi kila kikawa tayari hela zikaliwa na kiwanda hamna hadi leo.JPM aliwahi kulisema hili kwenye hutuba zake.hakuna uwekezaji hapo wanatafuta watu wajusimamia mambo yao na biashara zao kwa kivuli za uwekezaji.Mkapa na kikwete waliimba na kuzunguka uwekezaji hakuna impact yoyote tuliona.Bora JPM aliyejimbanunua kwa dhana yakujitegemea na tuliona impact kwa nchi alifanya mambo mengi mazuri.
Jiwe alikuwa mwizi na muuaji. Kalitia Taifa hasara sana. Una mawazo mgando kama Jiwe mwenyewe.
 
Unaeza kuta hapo unaomba proposals upate funds za biashara .Anyway Rasilimali zipo mikataba mibovu hatunufaiki! Hayati alikopa zake kimyakimya, kuendesha nchi ni ngumu achana na stori za vijiweni
 
Wasilisha hoja yako kupitia mwakilishi wa jimbo lako bungeni ili ifanyiwe kazi. Vinginevyo ni mazungumzo baada ya habari.
You mean wale Cheerleaders wanaosifu na kukubali kila kinachofanyika Au Bunge ambalo ni Rubber Stamp ya Serikali ?

Huko ndio tutapata transparency ?, Tatizo linaendelea mpaka hapa kwenye mjadala badala ya kuangalia wapi tumekosea tunajitahidi kutetea hata ambavyo havipo sawa
 
You mean wale Cheerleaders wanaosifu na kukubali kila kinachofanyika Au Bunge ambalo ni Rubber Stamp ya Serikali ?

Huko ndio tutapata transparency ?, Tatizo linaendelea mpaka hapa kwenye mjadala badala ya kuangalia wapi tumekosea tunajitahidi kutetea hata ambavyo havipo sawa
Mkuu hao hao cheerleaders ndio wenye kubadili sheria, usipowaamini ni kama unapaka rangi upepo, unakuwa unalalamika tu humu jukwaani.
 
Mkuu hao hao cheerleaders ndio wenye kubadili sheria, usipowaamini ni kama unapaka rangi upepo, unakuwa unalalamika tu humu jukwaani.
Utaamini watu wasioaminika wala wasiopewa chance ya kujinafasi..., Ukijaribu kwenda tofauti yanakukuta yaliyomkuta Ndugai...

Hapo utaniambia tuna Bunge ? Je ni bora kujua uhalisia au kujipa Hope kwamba things are Okay wakati ni Otherwise ?
 
Kwani Nyerere yeye ndo nani mpaka ionekane eti alituusia sijui alituachia Rasilimali...Nyerere ndo chanzo hasa cha shida nyingi tulonazo
Una akili na mawazo kama sukuma gang
 
Watanzania wenzangu, kuna kitu hakiko sawa!

Tutachanganyiwa lugha zote kuwa tunafungua nchi kumbe kuna hila ndani yake.

Sikubaliani kabisa viongozi kuzunguka dunia nzima kuomba pesa na uwekezaji.
Tunajidhalilisha!

Tuna bunge, Mawaziri, Wasomi, Wanasiasa, Wafanyabiashara maarufu nk,tumeshindwa kutulia na kukipanga hata iwe miaka 100 ijayo tukaijenga nchi yetu wenyewe? Hiyo haraka ni ya nini?

Wazee wetu kina Warioba, Msekwa, Malecela, Msuya nk niwaulize, mmekubali wajukuu zenu na elimu zao kuwa manamba wa Wazungu? Ndivyo hivyo Mwl. Nyerere aliwausia? Vijana,wajukuu zenu serikali iliwasomesha hadi vyuo vikuu ili wawe ombaomba duniani? Au waendesha bodaboda tuu na siyo kusimamia rasilimali zetu?

Ni kwa nini kila Rais aingiapo tunaruhusu alete mambo yake mapya na siyo kuendeleza ya mtangulizi au yaliyoasisiwa na nyie wazee wetu?

Mwl. Nyerere alituachia rasilimali tuzitumie kujiletea maendeleo au kuzinadia duniani?

Tujitizame.
Hiyo mali sasa kwan ukonayo pekee yako ?
 
Tafuta clip za hotuba za JPM utasikia juu ya kiwanda cha mbolea lindi na hela zililiwa na kiwanda hamba.malighafi za mbolea tunazo za kutosha na tunauza nje.soko la ndani lipo kubwa sana hata majirani tungewauuzia mbolea.nchi za Africa nyingi zinategemea kilimo zaidi
Tofauti na kilimo unadhani wana option gabi nyingine?
 
Utaamini watu wasioaminika wala wasiopewa chance ya kujinafasi..., Ukijaribu kwenda tofauti yanakukuta yaliyomkuta Ndugai...

Hapo utaniambia tuna Bunge ? Je ni bora kujua uhalisia au kujipa Hope kwamba things are Okay wakati ni Otherwise ?
Ndugai alileta uhasama na dharau kwa jinsia ya Rais wa sasa. Akajisahau badala ya kuongelea Bar akaongea mbele ya kadamnasi na kila mtu akamsikia.

Tunataka maendeleo, yawe yanaletwa na wazalendo ni sawa, yawe yanakuja kwa ushirikiano wa watu wa ndani na wa nje yote sawa tu.
 
Naomba wewe ubatafuta kubishani bila sababu JPM alikuwa jikoni na file zote alikuwa analala nazo sasa unaniuliza mimi ushahidi hizo document nitapata wapi? Mlala hoi kama mimi? Bac na mimi naomba ushahidi kunidhibitishia kuwa kauli ya JPM sio reliable
Hivi kumbe kuna watu walikuwa wanaamini yale maneno ya Jiwe
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
 
Umeshasema kuwa ni watu wenye IQ kubwa duniani, lakini bado unajiuliza wao waliwezaje! Akili za ccm hizi
U'll always understand things out of context mpaka utafuniwe I guess, so ulitegemea nianze kusema Singapore ilikuwa nchi masikini sana duniani kama Tanzania, mpaka walitaka kuiuza nchi yao kwa Malaysia, ilikuwa nchi ambayo haikuwa hata 100 ya nchi zenye watu wenye IQ kubwa baadae....ndio ulikuwa unataka ni tiririke kuondoa ignorance yako,? Sina huo mda, kama hauwezi elewa mambo contextually that ain't my problem.
 
Back
Top Bottom