Watanzania tumekosea wapi? Nilidhani masihara kuwa gharama za vifurushi zimeendelea kupanda

Ndugu wananchi vita yaUkraine na mlipuko wa uviko-19 umeathiri uchumi wa Dunia, nimezoea kusikia hivyo.
 
Ndugu wananchi vita yaUkraine na mlipuko wa uviko-19 umeathiri uchumi wa Dunia, nimezoea kusikia hivyo.
Putin alaumiwe kwa kweli..
 
Aisee sasa hivi uzi unakaa siku nzima na comments sita halafu unakuta zinamhusu mkuu wetu.

Daah.
 
Na ssi tupewe mipango Kaz jins ya kufanya niweze kupat free vpn niachane na bando la nape na samia
Maujanja yapo watu wanapiga kimya kimya sababu kuna kuna maujanja yalivuma sana kipindi cha ilikuwa unateleza kama umeweka bando tena kwa spidi ya juu bila kukwama kwama mahali popote .

Sasa kuna watu ulimbukeni wakawafuata Tigo kwenye social media kuwatambia na kuvimba na wengine wakajiita wazalendo wakaenda kuchoma makao makuu kuwa kuna watu wanawanyonya kwa kuperuzi bure hapo likapita panga kali wakafyeka Vpn zinasapoti spidi kubwa zote.

Baada ya hapo mabaharia wakakubaliana kwenye vikao vyao ngoma ichezwe kimya kimya na ndiyo hali sasa ilivyo.
 
Ukiona umeshindwa amia Burundi
 
Aisee sasa hivi uzi unakaa siku nzima na comments sita halafu unakuta zinamhusu mkuu wetu.

Daah.
Raia sasa wamesusia serikali sio kama zamani hata machawa wamesusia mechi ,kuna uzi juzi wa teuzi live nilicheka sana kuona haujavuka hata page moja wakati zamani siku 100 za mwanzo kulikuwa na mafuriko na mapambio mengi
 
Nape amesema unahitajika muujiza ili kuweza kuzuia bei za vifurushi zisipande, ni lazima zipande na huo ndio ukweli mchungu
Inabidi tuzoee tu hakuna namna 😢😢😢
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…