Sasa hivi zinapatikana laini chache na tunapigwa kimya kimya mimi sina ujuzi wowote wa hayo maujanja natumia zangu kihalali na hapa nilipo natafuta connection ya kunipush.Mkuu nipe maujanja unafanyaje, na mimi natumia halotel kwenye mambo ya data.
3.Kupanda kwa bidhaa hilo halikwepeki ila kwa swala la vifurushi mwaka huu imevunja rekodi haijavuka miezi mitatu toka gharama zipande mara ya mwisho na kabla yake zilipanda tena mwaka huu na kutimiza idadi mara tatu mpaka sasa kwa hesabu ndogo . Swala la kupanda halikwepeki ila tunazingatia zinapandaje na kwa kiwango na muda gani ?1) hakuna vpn inaotoa free internet
2) Japokua vifurushi vimepanda ndio ila ukilinganisha na nchi zingine bado ni miongoni kwa nchi ambazo vifurushi vyake viko chini sana ukilinganisha na nchi zingine
3) Sijui kama ulikua unategemea vifurushi bei ziwe zile zile miaka yote ama ulikua unategemea ziendelee kupungua?
hali ya maisha imebadilika na pia ulitakiwa uwe unajua kwamba vitu sku zote vinapanda bei havipungui bei, as long ni biashara tunabadilisha pesa na huduma kwahio na wao wanaangalia upande wao,
4) Siasa za ujamaa zishapitwa miaka mingi, we are in capitalism (SURVIVAL FOR THE FITTEST). endapo utaona vitu vinapanda bei ujue tu ndo maaana halisi ya capitalism
5) Ya mwisho na ya muhimu sana, huduma ya internet ni biashara, elimu, burudani na mambo mengine mengi, huduma hii inaweza kukupunguzia makali ya maisha kama utaamua kuitumia vizuri! na pia gone are the days za kutumbishwa na uchumi wa nchi moja, hakikisha unafanya investment sehem nyingi duniani mfano masoko ya mitaji (STOCK MARKET) hata apa tanzania kuna DAR ES SALAAM stock exchange, my point ni kwamba endapo uchumi wa tanzania uko vibaya basi inakua haina makali sna kwako
Hivi hii lugha ni kwel ina benefits au ni kupigana kamba tuu.. kama ingekua na benefits kihivyo bas elim ya sekondar na chuo kikuu ingekua kwa lugha hyo. Mikataba ya kaz pia.. tusidanganyane bana nyie walimu wa kiswahilChangamoto sana ila ndio time ya survival for fittest.
SoC02 - Kiswahili ni Afrika Mashariki, Kiswahili ni Tanzania, Kiswahili ni Amani na Upendo
HISTORIA YA KISWAHILI. Kuna nadharia mbalimbali kuhusiana na historia ya lugha ya Kiswahili. Wapo wanaodai chimbuko la Kiswahili kuwa ni pwani ya Afrika mashariki, wataalamu kama Nae Freeman Granville (1959) kupitia kitabu chake kiitwacho (the medieval of Kiswahili language) anakuja na hoja...www.jamiiforums.com
kiswahili ni Afrika Mashariki, Kiswahili ni Tanzania, Kiswahili ni Amani na Upendo.
3.Kupanda kwa bidhaa hilo halikwepeki ila kwa swala la vifurushi mwaka huu imevunja rekodi haijavuka miezi mitatu toka gharama zipande mara ya mwisho na kabla yake zilipanda tena mwaka huu na kutimiza idadi mara tatu mpaka sasa kwa hesabu ndogo . Swala la kupanda halikwepeki ila tunazingatia zinapandaje na kwa kiwango na muda gani ?
1.Vpn zipo watu wametumia sana tena humu Jf kulikuwa na jukwaa wajuba walijichimbia kupeana dili hizo mpaka watu wakawa wanatoa sadaka kwa wanajitolea kutoa madini cheki ushahidi hapo chiniView attachment 2311923
Cheki wajuba walivyokuwa wanaserereka kama wametia bando la mwezi halafu unajiamini kusema hamna Vpn unawajua MaPirate wewe ?View attachment 2311924
View attachment 2311927
Lakini bado mserereko unapatikana mfano bando la jero Mb250 kwa kuwatch matangazo na kutuma link unapata hata GB7 hakikwami mahali popote na hazina kikomo ..- hakuna vpn ya free internet amini nachokwambia, VPN kazi yake ni kuficha utambulizi wako mtandaoni, VPN maana yake virtual private network maaana yake unatengenezewa pings private kwenye connection yako, mfano ukiandika facebook.com, hii request inabadilishwa inakua address ya vpn, mfano akam vpn yako inaitwa jamii forum, then ukiandika facebook.com, hio request inakua forged inakua jamiiforum.com?returnpacket=facebook.com
- kwahio voda yeye ataona tu request inasema jamiiforum.com! jamiiforum atachukua hio request ataprocess kwenye computer zake atarudisha tena mfano jamiiforum.com?returnpacket=flani liked your picture!
- ukiangalia kwa kutumia mitandao ya simu utaona tu client anaongea na jamii forum one to one kumbe kuna exchange kubwa ya data!
- Connection ya internet ni ngumu sana na complex lazima uwe na hardware za kufanya connection mfano minara, satelite hizo vpn wanaokwambia wana free internet hakuna kitu kama icho na haiwezi kutokea hakuna connection ya vpn na free internet but privacy tu! na hata ukiwa na vpn u will still be charged kwenye bundle lako kawaida
Line yangu ya voda nilianza itumia 2007 haijawahi badilika chchte mpaka Sasa means Lila niliempa namba mwaka wowote kwanzia 2007 bado akipiga no zile zile atanipata tofauti na watu wengne ila mwaka 2020 niliacha hio line rasmi imebaki na itumia wasap tu vocha haiwekwi mwaka wa pili Sasa .nikaamia rasmi halotel...na wenyewe karibia watanipoteza imagine kwa mwezi Wana 30k yangu bado watu wengne afu wanaleta tamaaYani wamekata dk 50 nzima halafu kimya kimya, na bado hiyo 1Gb kuanza kuipunguza.
Lakini bado mserereko unapatikana mfano bando la jero Mb250 kwa kuwatch matangazo na kutuma link unapata hata GB7 hakikwami mahali popote na hazina kikomo ..
Endelea kubisha- hakuna vpn ya free internet amini nachokwambia, VPN kazi yake ni kuficha utambulizi wako mtandaoni, VPN maana yake virtual private network maaana yake unatengenezewa pings private kwenye connection yako, mfano ukiandika facebook.com, hii request inabadilishwa inakua address ya vpn, mfano akam vpn yako inaitwa jamii forum, then ukiandika facebook.com, hio request inakua forged inakua jamiiforum.com?returnpacket=facebook.com
- kwahio voda yeye ataona tu request inasema jamiiforum.com! jamiiforum atachukua hio request ataprocess kwenye computer zake atarudisha tena mfano jamiiforum.com?returnpacket=flani liked your picture!
- ukiangalia kwa kutumia mitandao ya simu utaona tu client anaongea na jamii forum one to one kumbe kuna exchange kubwa ya data!
- Connection ya internet ni ngumu sana na complex lazima uwe na hardware za kufanya connection mfano minara, satelite hizo vpn wanaokwambia wana free internet hakuna kitu kama icho na haiwezi kutokea hakuna connection ya vpn na free internet but privacy tu! na hata ukiwa na vpn u will still be charged kwenye bundle lako kawaida
π€£ π€£ π€£ basi katumie hio vpn yenye free internetEndelea kubisha
Umepewa na ushahidi bado hutaki watu wametumia sana hizo nawajua sijawahi tumia sababu sijawahi kosa hela ya bando na nilikuwa sitaki jifunza kutumia hata mpaka badae zikajulikana na kuanza fungiwaπ€£ π€£ π€£ basi katumie hio vpn yenye free internet binti
View attachment 2311991
vpn na internet wap wap nyie mabinti?
We ni mpumbavu sana...umepewa na ushahdi bado hutaki watu wametumia sana hizo nawajua sijawah tumia sababu sijawahi kosa hela ya bando na nilikuwa sitaki jifunza kutumia hata mpaka badae zikajulikana na kuanza fungiwa
Kuanzia mwezi wa 9 vifurushi vitakuwa bomba sana kwa upande wa TTCL.Nina lines nyingi ila naelekea huko maana
Enzi za NIGHT PACK hadi tumesahau tunatamani warudishe ilikuwa kitonga unawasha unalala unakutana na mizigo asubuhi
Voda MBs zinaenda vizuri pole pole ila gharama
Tigo MBs zinaisha haraka mno hawafai
Airtel Sio kama zamani ni chwaaaap MBs zimeenda
Halotel Hawa ndiyo wapuuzi kabisa walipokuja walikuja na speed kali Kwa sasa utopolo mtupu na kulazimisha watu wajiunge na huduma zao kwa kublock lines zipokee simu na SMS bila kutoa .Lines zao za chuo uchafu hazina maana.
Hamia TTCL mkuu, hautojutianilikuwa natumia 1500 kwa week ila sasa hivi natumia 6000 kwa week sina hamu