Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dangote aliionya serikali ya Magufuli kwenye mipango yake mibovu ya uwekezaji,what ever is your story,..
Bad investment policy,unstable political tensions in Tanzania has failed the foreign companies to invest in the country..May in the beginning the foreign companies has an intention to invent in Tanzania,but not anymore,mark my word..
Muweka uzi kaweka zaidi ya "FDI" tano ambazo zimewekeza Kenya,wewe umekuja na mfano wa kiwanda kimoja cha saruji cha Dangote ambacho hakifanyika kazi vizuri kinavyotakiwa...halafu unataka kuniambia kuwa Tanzania iko vizuri katika uwezekezaji wa kampuni kutoka nje(FDI)..
Unajikuna unajikesha,unainama unainuka....😀
Kwikwikwikwikwi. Kenya tunaijua is a most corrupt country in AfricaInformation uchwara. Tokwa povu buda.
idiot@ Tanzanian have better and tremendously English than you ass holeTanzania investors wataongea nanyi lugha ipi?Si mtapigwa chenga kwenye drafting contracts hohoho,manake kiingereza kimeshawapiga chenga,huku kenya tumejanjaruka kwa ukwasi wa kujua kila neno la kiingereza na pia tuna ujanja mwingi kupindukia!
Hivi wewe unajua hata maana ya FDI? Au hapa unaropoka tu na kutoa mapovu kama kichaa?Dangote aliionya serikali ya Magufuli kwenye mipango yake mibovu ya uwekezaji,what ever is your story,..
Bad investment policy,unstable political tensions in Tanzania has failed the foreign companies to invest in the country..May in the beginning the foreign companies has an intention to invent in Tanzania,but not anymore,mark my word..
Muweka uzi kaweka zaidi ya "FDI" tano ambazo zimewekeza Kenya,wewe umekuja na mfano wa kiwanda kimoja cha saruji cha Dangote ambacho hakifanyika kazi vizuri kinavyotakiwa...halafu unataka kuniambia kuwa Tanzania iko vizuri katika uwezekezaji wa kampuni kutoka nje(FDI)..
Unajikuna unajikesha,unainama unainuka....😀
Japo mimi ni muumini wa siasa za vyama vingi na demokrasia lakini sio za hawa jamaa.Hawa wenzetu wanatumiwa na adui wa nchi yetu. Wengine wanatumiwa bila kujua.
U idiot Tanzanian they have better and tremendously English than you ass hole
Uongo?Sema wallahi! 😀😀😀 Wewe mzee utakufa na stress bure. Don't worry, be happy!
Huyu poyoyo atuelimishe sisi. We are enlightened. acha kubwekaWaelimishe. Tuliwaeleza wanaona kama wivu.
1. Kiwanda cha Goodwill cha ceramic cha vigae. Largest ceramia factory in East Africa.Mkuu nimesoma hii link yako,hii ni habari kama habari nyengine yoyote,bado hujajibu swali langu,nimepe mfano mmoja wa FDI hapa Tanzania..!!
FDI za Kenya ndio hizo hapo tumeona vipi makampuni ya nchi yanavyowekeza Kenya kwa kufungua Viwanda vya "Asamble Plant",...
Serikali inaweza kuwa na bajet kubwa ya FDI lakini asije hata mwekezaji mmoja kuja kuwekeza,...weka mfano mmoja wa Foreign direct investment (FDI)ambayo imewapatia kazi watanzania na kuinufanisha Tanzania,achana na kampuni za madini
Acha porojo na kujifanya kuleta dharau mtu usiemjua,weka mfano FDI watanzania tupate kujua
Yaani siasa hazina hata mwelekeo, lengo ni kuharibu taifa letu. Hawana lolote na tumeshawashitukia we are dealing with them seriously.Japo mimi ni muumini wa siasa za vyama vingi na demokrasia lakini sio za hawa jamaa.
Kwa siasa za hawa jamaa washa declare kuwa ni maadui wa taifa hili
Huyu poyoyo atuelimishe sisi. We are enlightened. acha kubweka
DEFINITION YA KIWANDA TANZANIA NA KENYA NI TOFAUTI SANA.... huku nchi ya JIWE hata cherehani na blenda ya kukamulia juisi ukimiliki basi jua unamiliki kiwanda
Huwezi ukachungulia tundu la choo utegemee kupata harufu ya manukato. Huyo anatoa uozo, kichwa chake ni empty.Be attentive in class. Kuwa makini utoe ujinga.
Mkuu mimi kweli ni mjinga, lakini bado naona nakusikia,katika hizo link yako hizo zote "proposal" tu,kama unajua maana "proposal",kiwanda kinachofanya kazi ni kimoja tu cha Dangote nacho kina matatizo ya uendeshaji..mara gesi hivi mara gesi vileRafiki mwenzangu nakuona hujui chochote kitu. Vitu walivyoviweka hapo ni mipango rafiki. Hakuna kiwanda cha aina hiyo kilichopo huko Kenya. Hata sisi mipango ipo mingi tu.
Kwa maana hiyo mfano unaotaka kuutumia kwa kenya is nonsense maaana hakuna investment yoyote iliyofanyika hapo kenya. Ni makaratasi tu.
Pili: Nimekueleza usiwe unakurupuka kupiga kelele kwenye mitandao vitu usivyovijua.
Idadi ya investment ni kubwa mno na huwezi ukaweka orodha. Na kama hiyo habari huiamini sasa unataka uamini kitu gani yaani unataka nianze kukuwekea orodha hapa? Nikuwekee orodha ya kutengeneza magari?
Okay ngoja nikusaidie kitu kidogo tu:
Soma hapa viwanda vilivyopo pwani:
http://www.pwani.go.tz/storage/app/uploads/public/58d/a0f/987/58da0f9877ad3735577342.pdf
Mtwara:
Kiwanda cha Saruji cha Dangote
View attachment 738283
Tanga:
View attachment 738284
Bado bomba la mafuta kiutoka Hoima kwenda tanga
Nimekupatia mifano michache. Kila mkoa Tanzania kuna big investment
Soma hapa chini upate mchanganuo
Foreign investment in Tanzania - Santandertrade.com
Huwezi ukachungulia tundu la choo utegemee kupata harufu ya manukato. Huyo anatoa uozo, kichwa chake ni empty.
We are aware on what is going on in this world. Wakenya mnajiendea endea tu, Mara Mozambique, mara zambia. We are watching you...
You're just a negative government hater. Your choice of words leaves you naked.Lakini bado unaishi 'dunia' nyingine, tofauti na ninayoishi.
Kweli kabisa. Ndiyo maana nakuona upo delusional. Kutofautiana mitazamo hakuna shida. Ila mtu akiwa delusional, kama mlivyo pro-Magufuli na pro-CCM government, basi ni tatizo. Huu ni mtazamo wangu tu.
Dude, if you don't see them PROBLEMS (and not challenges as you say), then you are proving my above point.
Bruv, CCM has RULED this country since Uhuru. And for 56+ years, I have seen nothing but absolute poverty, miseries, crooks and corrupt politicians ripping off our country. Now, we are even in the worst case, under this maniac of a president. But, some people like you, see this cuckoo as messiah!!!
But, hey, if you are rolling with them crook CCM politicians, you can definitely see A LOT OF OPPORTUNITIES. As bunch of you are just OPPORTUNISTS. Riding with any of the CCM crooks when they are in power. Way to go bruv.
Dangote aliionya serikali ya Magufuli kwenye mipango yake mibovu ya uwekezaji,what ever is your story,..
Bad investment policy,unstable political tensions in Tanzania has failed the foreign companies to invest in the country..May in the beginning the foreign companies has an intention to invent in Tanzania,but not anymore,mark my word..
Muweka uzi kaweka zaidi ya "FDI" tano ambazo zimewekeza Kenya,wewe umekuja na mfano wa kiwanda kimoja cha saruji cha Dangote ambacho hakifanyika kazi vizuri kinavyotakiwa...halafu unataka kuniambia kuwa Tanzania iko vizuri katika uwezekezaji wa kampuni kutoka nje(FDI)..
Unajikuna unajikesha,unainama unainuka....😀
Nimekueleza wewe ni empty kichwani.Mkuu mimi kweli ni mjinga lakini badi naona nakusikia,katika hizo link yako hizo zote "proposal" tu,kama unajua maana "proposal",kiwanda kinachofanya kazi ni kimoja tu cha Dangote nacho kina matatizo ya uendeshaji..mara gesi hivi mara gesi vile
Link yako ya pili hivyo sio viwanda vya " foreign direct Investment's",sasa Bakharesa nae kawa katika mkumbo wa "FDI"...mbona unaanza kunitiia wasi wasi mkuu😀
In Jeff Koinange's Tone.Its smoking my friend!