Watanzania tunazidi kustarabika. Siku hizi ni ngumu sana kukuta watu wakipigana kama zamani, Tujipe hongera

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Uelekeo ni mzuri katika ustaarabu wa kuweza kuyasuluhisha mambo bila kupigana kama ilivyozoeleka zamani.

Ni kupevuka kwa akili na kupenda amani kumefanya tuweze kutumia midomo bila silaha, ngumi, mateke, vibao, n.k.

Nakumbuka hapo zamani kulikuwa na mambo ya ubabe wa kishamba sana, kigezo cha kupimana kilikuwa kwenye nguvu zaidi kuliko hoja na sababu
 
Upo sahihi, yale maubabe ya viwanjani hata mitaani hayapo tena
 
We unasema nini leo ninepigana hata sikuamini

Unajua kuna watu wana dharau sana

Yaan nimegundua 7bu kuu ya watu kupigana ni dharau sasa leo nikasema Unyonge basi Uostadhi nauweka pembeni

Zikapigwa tu kuna ugomvi mwingine AUTOMATICALLY unashindwa kuuepuka 7bu ile hali ya dharau inafika kiwango cha juu kabisa unashindwa kuvumilia
 
Sio kwamba watu wamestaarabika. Bali kile kizazi kilichopigania uhuru kinaishia. vijana siku hizi wamekuwa waoga wa kuumia, legelege na mayaimayai. Unakuta mtoto wa kiume hawezi hata kurusha ngumi kujitetea, acha tu ile kujua jinsi ya kurusha ngumi kisawasawa ikatoa meno ya mtu.

Low testosterone ni tatizo kwa watoto wa kiume wa sasa, ukichangia mavyakula ya ajabuajabu wanayokula na malezi ya mabovu ya kidigitali na single mothers. That's why humu kumejaa mafala ya upinde yenye matatizo ya akili siku hizi, sehemu ambayo ilikuwa kwa ajili ya watu wenye akili na critical thinkers.

Jamii imejaa vijana weak, utakuta humu wengine wanachat na mashetani ya upinde kama dada zao. Wewe unategemea vipi mtu anayetaniana na kusociolize na fala ajue kupigana?

Jamii haijastaarabika wala kuwa civilized bali kizazi kilichopigania uhuru na vita ya kagera kinaishia.
 
Ukiona unaumizwa na dharau kiasi cha kupigana ili kutafuta heshima jua kabisa evolution yako haijakamilika!! Una kiwango cha chini sana cha emotional intelligence na kujitambua!!!
 
1)Polisi wakifikishwa watoe 50,000 kila mmoja

2)Boda Wengine kwenye vikundi vyao mkipigana kuna Sheria kulipishwa mpaka 20,000.
 
Hata kula madem mtungo/mande imepungua sana. Zamani ilikuwa kawaida na wala demu hashangai kuliwa na mtu na rafiki zake kadhaa bila maridhiano na issue inaishia hapo hapo.
 
Hata kula madem mtungo/mande imepungua sana. Zamani ilikuwa kawaida na wala demu hashangai kuliwa na mtu na rafiki zake kadhaa bila maridhiano na issue inaishia hapo hapo.
 
ugomvi wa vijana wa siku hizi wanapigania Instagram na twitter tu,

Kijana anavaa suruali chini ya makalio atapigana vipi sasa? Kizazi cha wababe kinaishia,kimekuja kizazi cha walamba lips na kupakaa poda,

Hakuna cha ustaarabu bali vijana wamakua weak sana,ingekua ni ustaarabu wasingekua wanaporomosheana matusi kwenye social media au kuombana connection za mambo ya kipumbavu.
 
Ni uimara wa sheria ndio umefanya watu wasipigane, ukimpiga mtu utajikuta uko polisi na utafikishwa mahakamani kushitakiwa kwa kosa la kushambulia na utapewa adhabu ya faini au kifungo gerezani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…