Fund man
JF-Expert Member
- Feb 24, 2021
- 3,629
- 4,831
Ilikuwepo sana hii🤣🤣🤣🤣Hata kula madem mtungo/mande imepungua sana. Zamani ilikuwa kawaida na wala demu hashangai kuliwa na mtu na rafiki zake kadhaa bila maridhiano na issue inaishia hapo hapo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilikuwepo sana hii🤣🤣🤣🤣Hata kula madem mtungo/mande imepungua sana. Zamani ilikuwa kawaida na wala demu hashangai kuliwa na mtu na rafiki zake kadhaa bila maridhiano na issue inaishia hapo hapo.
Unaishi wapi wewe?Uelekeo ni mzuri katika ustaarabu wa kuweza kuyasuluhisha mambo bila kupigana kama ilivyozoeleka zamani.
Ni kupevuka kwa akili na kupenda amani kumefanya tuweze kutumia midomo bila silaha, ngumi, mateke, vibao, n.k.
Nakumbuka hapo zamani kulikuwa na mambo ya ubabe wa kishamba sana, kigezo cha kupimana kilikuwa kwenye nguvu zaidi kuliko hoja na sababu
Makanyagio.katavi sehemu gani kuna huo ugomvi
makanyagio, nsemulwa, majengo, misunkumilo,tulieni, kotazi, kwalakwacha, kababaye, tanganyika square, rungwa, shanwe, kigamboni, ama wapi
Hicho kizazi kinachoishia walikua wababe kwenye kitu Gani?Kizazi cha wababe kinaishia,
Au nakosea 😂😂😂😂Bangi 😂
"Ukiwa unanguvu na ubabe unaweza kutumia hizo nguvu kujipatia riziki Kama kuwa bondia au kulinda RAIA."Tafsiri ya nguvu na ubabe sio katika kugombana wala kupigana ngumu
Ukiwa unanguvu na ubabe unaweza kutumia hizo nguvu kujipatia riziki Kama kuwa bondia au kulinda RAIA.
Binafsi nikiona MTU anagombana huwa namshusha viwango Sana.
Kenny rogers - coward of the country
😁duh pole Sana"Ukiwa unanguvu na ubabe unaweza kutumia hizo nguvu kujipatia riziki Kama kuwa bondia au kulinda RAIA."
Wanatukaba sana huku buguruni. Sasa hivi sio kutumia nguvu tuu wanatumia mpaka akili.
Katika kila kundi la wakabaji 4 basi jua
2 ni wakala an unapigwa hardware na software.. totally
Sana mkuu... Tunakutana na mengi mnoooo 😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌😁duh pole Sana
Buguruni wahuni wengi Sana .
Sio kustaarabika ni vizazi vile vimekuwa phased out na utu uzima pia. Ukitazama watoto wa 80's wengi ndio walikuwa na mapigo hayo wakarithisha kwa wale wa 90's ila kwa sasa hawa kundi la kwanza wako 40's wengi wame settle na familia baadhi still wanapambana na maisha. Hawa wa 90's nao wako on their 30's utu uzima umeanza kuwaingia nao wako focused na maisha zaidi.Uelekeo ni mzuri katika ustaarabu wa kuweza kuyasuluhisha mambo bila kupigana kama ilivyozoeleka zamani.
Ni kupevuka kwa akili na kupenda amani kumefanya tuweze kutumia midomo bila silaha, ngumi, mateke, vibao, n.k.
Nakumbuka hapo zamani kulikuwa na mambo ya ubabe wa kishamba sana, kigezo cha kupimana kilikuwa kwenye nguvu zaidi kuliko hoja na sababu
Self defence.Hicho kizazi kinachoishia walikua wababe kwenye kitu Gani?
Kwahio mmezipanga mtu mbike au sio😂? Vipi ulimchapa au kakugaragaza. Kiufupi dharau ndio chanzo cha nakoz konzWe unasema nini leo ninepigana hata sikuamini
Unajua kuna watu wana dharau sana
Yaan nimegundua 7bu kuu ya watu kupigana ni dharau sasa leo nikasema Unyonge basi Uostadhi nauweka pembeni
Zikapigwa tu kuna ugomvi mwingine AUTOMATICALLY unashindwa kuuepuka 7bu ile hali ya dharau inafika kiwango cha juu kabisa unashindwa kuvumilia
Ujakutana na dharau na kauli chafu za kifedhuli.Tafsiri ya nguvu na ubabe sio katika kugombana wala kupigana ngumu
Ukiwa unanguvu na ubabe unaweza kutumia hizo nguvu kujipatia riziki Kama kuwa bondia au kulinda RAIA.
Binafsi nikiona MTU anagombana huwa namshusha viwango Sana.
Kenny rogers - coward of the country
Dunia ya leo watu wakipigana inabidi waachwe mpaka waachane wenyewe hakuna kuamuliaUelekeo ni mzuri katika ustaarabu wa kuweza kuyasuluhisha mambo bila kupigana kama ilivyozoeleka zamani.
Ni kupevuka kwa akili na kupenda amani kumefanya tuweze kutumia midomo bila silaha, ngumi, mateke, vibao, n.k.
Nakumbuka hapo zamani kulikuwa na mambo ya ubabe wa kishamba sana, kigezo cha kupimana kilikuwa kwenye nguvu zaidi kuliko hoja na sababu
Hujapita tandale,bado bro, umaskini upo pale pale, maugomvi yapo sanaUelekeo ni mzuri katika ustaarabu wa kuweza kuyasuluhisha mambo bila kupigana kama ilivyozoeleka zamani.
Ni kupevuka kwa akili na kupenda amani kumefanya tuweze kutumia midomo bila silaha, ngumi, mateke, vibao, n.k.
Nakumbuka hapo zamani kulikuwa na mambo ya ubabe wa kishamba sana, kigezo cha kupimana kilikuwa kwenye nguvu zaidi kuliko hoja na sababu