Watanzania tunazidi kustarabika. Siku hizi ni ngumu sana kukuta watu wakipigana kama zamani, Tujipe hongera

Watanzania tunazidi kustarabika. Siku hizi ni ngumu sana kukuta watu wakipigana kama zamani, Tujipe hongera

Wanaopigana ovyo ni maskini..bora kupigana na umaskini kuliko na binadamu mwenzako ni umaskini wa hali.ya juu.

NB: kama ni mhalifu amekuja kwako, mpige bastola ya kichwa. Baaas.
 
Uelekeo ni mzuri katika ustaarabu wa kuweza kuyasuluhisha mambo bila kupigana kama ilivyozoeleka zamani.

Ni kupevuka kwa akili na kupenda amani kumefanya tuweze kutumia midomo bila silaha, ngumi, mateke, vibao, n.k.

Nakumbuka hapo zamani kulikuwa na mambo ya ubabe wa kishamba sana, kigezo cha kupimana kilikuwa kwenye nguvu zaidi kuliko hoja na sababu
Unaishi wapi wewe?
 
Tafsiri ya nguvu na ubabe sio katika kugombana wala kupigana ngumu

Ukiwa unanguvu na ubabe unaweza kutumia hizo nguvu kujipatia riziki Kama kuwa bondia au kulinda RAIA.

Binafsi nikiona MTU anagombana huwa namshusha viwango Sana.

Kenny rogers - coward of the country
 
Tafsiri ya nguvu na ubabe sio katika kugombana wala kupigana ngumu

Ukiwa unanguvu na ubabe unaweza kutumia hizo nguvu kujipatia riziki Kama kuwa bondia au kulinda RAIA.

Binafsi nikiona MTU anagombana huwa namshusha viwango Sana.

Kenny rogers - coward of the country
"Ukiwa unanguvu na ubabe unaweza kutumia hizo nguvu kujipatia riziki Kama kuwa bondia au kulinda RAIA."

Wanatukaba sana huku buguruni. Sasa hivi sio kutumia nguvu tuu wanatumia mpaka akili.
Katika kila kundi la wakabaji 4 basi jua
2 ni wakala an unapigwa hardware na software.. totally
 
"Ukiwa unanguvu na ubabe unaweza kutumia hizo nguvu kujipatia riziki Kama kuwa bondia au kulinda RAIA."

Wanatukaba sana huku buguruni. Sasa hivi sio kutumia nguvu tuu wanatumia mpaka akili.
Katika kila kundi la wakabaji 4 basi jua
2 ni wakala an unapigwa hardware na software.. totally
😁duh pole Sana

Buguruni wahuni wengi Sana .
 
Uelekeo ni mzuri katika ustaarabu wa kuweza kuyasuluhisha mambo bila kupigana kama ilivyozoeleka zamani.

Ni kupevuka kwa akili na kupenda amani kumefanya tuweze kutumia midomo bila silaha, ngumi, mateke, vibao, n.k.

Nakumbuka hapo zamani kulikuwa na mambo ya ubabe wa kishamba sana, kigezo cha kupimana kilikuwa kwenye nguvu zaidi kuliko hoja na sababu
Sio kustaarabika ni vizazi vile vimekuwa phased out na utu uzima pia. Ukitazama watoto wa 80's wengi ndio walikuwa na mapigo hayo wakarithisha kwa wale wa 90's ila kwa sasa hawa kundi la kwanza wako 40's wengi wame settle na familia baadhi still wanapambana na maisha. Hawa wa 90's nao wako on their 30's utu uzima umeanza kuwaingia nao wako focused na maisha zaidi.

Vizazi vya hayo makundi ndio akina junia ambao wengi wanazaliwa na kukulia kwenye comfort zone. Shule na school bus kila kitu wanajitegemea hawagombei uji wala sambusa sasa ugomvi utatokea wapi? Wachache ndio wako Kayumba schools ila pia hawana mambo ya crews yale shule wanaanza wakiwa wadogo sana na wanamaliza mapema sana.
 
We unasema nini leo ninepigana hata sikuamini

Unajua kuna watu wana dharau sana

Yaan nimegundua 7bu kuu ya watu kupigana ni dharau sasa leo nikasema Unyonge basi Uostadhi nauweka pembeni

Zikapigwa tu kuna ugomvi mwingine AUTOMATICALLY unashindwa kuuepuka 7bu ile hali ya dharau inafika kiwango cha juu kabisa unashindwa kuvumilia
Kwahio mmezipanga mtu mbike au sio😂? Vipi ulimchapa au kakugaragaza. Kiufupi dharau ndio chanzo cha nakoz konz
 
Tafsiri ya nguvu na ubabe sio katika kugombana wala kupigana ngumu

Ukiwa unanguvu na ubabe unaweza kutumia hizo nguvu kujipatia riziki Kama kuwa bondia au kulinda RAIA.

Binafsi nikiona MTU anagombana huwa namshusha viwango Sana.

Kenny rogers - coward of the country
Ujakutana na dharau na kauli chafu za kifedhuli.
 
Sasa hivi ukirusha ngumi tu tiyari umewapatia polisi ulaji.
 
Uelekeo ni mzuri katika ustaarabu wa kuweza kuyasuluhisha mambo bila kupigana kama ilivyozoeleka zamani.

Ni kupevuka kwa akili na kupenda amani kumefanya tuweze kutumia midomo bila silaha, ngumi, mateke, vibao, n.k.

Nakumbuka hapo zamani kulikuwa na mambo ya ubabe wa kishamba sana, kigezo cha kupimana kilikuwa kwenye nguvu zaidi kuliko hoja na sababu
Dunia ya leo watu wakipigana inabidi waachwe mpaka waachane wenyewe hakuna kuamulia
 
Uelekeo ni mzuri katika ustaarabu wa kuweza kuyasuluhisha mambo bila kupigana kama ilivyozoeleka zamani.

Ni kupevuka kwa akili na kupenda amani kumefanya tuweze kutumia midomo bila silaha, ngumi, mateke, vibao, n.k.

Nakumbuka hapo zamani kulikuwa na mambo ya ubabe wa kishamba sana, kigezo cha kupimana kilikuwa kwenye nguvu zaidi kuliko hoja na sababu
Hujapita tandale,bado bro, umaskini upo pale pale, maugomvi yapo sana
 
Back
Top Bottom