Ccm kuna wakati akili zinawarudia mkipatwa na dhahama, hivi wale magaidi waliotumwa na jpm na selikali ya ccm kumunua lisu wako wapi?Shujaa kwa vipi?
Mtu ambaye pamoja na kusoma kwake dini lakini ameshindwa kuwa na nguvu ya kustahamili mambo!
Bora kuwa Pagan!
Shujaa kwa vipi?
Mtu ambae amejifupisha maisha yake na kuacha historia mbaya itakayokuwa inakumbukwa kwa vizazi na vizazi!
Shujaa kwa vipi ambaye badala ya kufanyika baraka kwenye jamii amekuwa kinyume chake ?
Shujaa kwa vipi?
Na sio sahihi kwa Police kuchukua bunduki na kuua raia asiye na hatia kama walivomwua Akwilina. Mbaya zaidi ile mipolisi ya hovyo hovyo ikaonekana haina hatia wakati wameua mchana kweupe.Japo yawezekana kuna mambo yanaweza kukidhi lakini siyo sahihi kuchukua bunduki na kuua police.
Kama alidhurumiwa kwa nini hakuenda kulipoti police?
Yani wanasiasa wa upinzani mnachanganya RAIA kabisa.mnamtetea anayejichulia sheria mkononi na kwenda kuua watu? You can not be serious?
Mie nawalaumu wazazi wa wabunge, walituzalia watoto walioleta tozoNa sio sahihi kwa Police kuchukua bunduki na kuua raia asiye na hatia kama walivomwua Akwilina. Mbaya zaidi ile mipolisi ya hovyo hovyo ikaonekana haina hatia wakati wameua mchana kweupe.
Nawasihi wazazi wasituzalie mipolisi ya hovyo hovyo kama hiyo inayoona ufahari kuua mpaka mtoto wa kike!
Kabla sijachangia naomba kujua una Tanzania au nje ya TanzaniaJapo yawezekana kuna mambo yanaweza kukidhi lakini siyo sahihi kuchukua bunduki na kuua police.
Kama alidhurumiwa kwa nini hakuenda kulipoti police?
Yani wanasiasa wa upinzani mnachanganya RAIA kabisa.mnamtetea anayejichulia sheria mkononi na kwenda kuua watu? You can not be serious?
Yule hakuwa mpinzani labda anatetewa na wanachama wenzie . Au sasa kila Jambo negative ni la wapinzani ?!Japo yawezekana kuna mambo yanaweza kukidhi lakini siyo sahihi kuchukua bunduki na kuua police.
Kama alidhurumiwa kwa nini hakuenda kulipoti police?
Yani wanasiasa wa upinzani mnachanganya RAIA kabisa.mnamtetea anayejichulia sheria mkononi na kwenda kuua watu? You can not be serious?
Mbuzi wa Mwinyiheri na Majani ya MwinyiheriJapo yawezekana kuna mambo yanaweza kukidhi lakini siyo sahihi kuchukua bunduki na kuua police.
Kama alidhurumiwa kwa nini hakuenda kulipoti police?
Yani wanasiasa wa upinzani mnachanganya RAIA kabisa.mnamtetea anayejichulia sheria mkononi na kwenda kuua watu? You can not be serious?
Punguza K Vant basi[emoji23][emoji23][emoji23]bora hata kulewa mwenyewe sijaelewa nilichoandika nasoma sasa hivi nimecheka kweli kweli sijui nikiandika utopolo gani
Ukiwa mtenda mabaya kila unalotenda unahisi unaonewa na ukiwa na raho mbaya kweli watakuogopa. Mmesahau mapema hivi.Japo yawezekana kuna mambo yanaweza kukidhi lakini siyo sahihi kuchukua bunduki na kuua police.
Kama alidhurumiwa kwa nini hakuenda kulipoti police?
Yani wanasiasa wa upinzani mnachanganya RAIA kabisa.mnamtetea anayejichulia sheria mkononi na kwenda kuua watu? You can not be serious?
Alipotupiwa bomu la machozi ni kama alijisalimisha, labda kwakua alishaua POlice wenzao basi ilikua ni revenge.Jinsi Alivyokuwa Anaukamata 'mjegeja' ....! Polisi Wasingefanya Vile angeweza kuleta Maafa zaidi. Pongezi kwao polisi
Hi ni Jamhuri ya JF, wanaishi na muono na sheria zao. Walishindwa uwanja wa siasa na Uchaguzi, huu ndio uwanja wao wa kupumua na kutoa machungu moyoni . Kichapo cha Magufuli na kiwewe chake bado mninginio wake haujaisha. Jitahidi uwazowee tuu.Japo yawezekana kuna mambo yanaweza kukidhi lakini siyo sahihi kuchukua bunduki na kuua police.
Kama alidhurumiwa kwa nini hakuenda kulipoti police?
Yani wanasiasa wa upinzani mnachanganya RAIA kabisa.mnamtetea anayejichulia sheria mkononi na kwenda kuua watu? You can not be serious?
Hivi wewe mtoa bandiko unafikiria kwa kutumia kiungo gani[emoji34][emoji34]Japo yawezekana kuna mambo yanaweza kukidhi lakini siyo sahihi kuchukua bunduki na kuua police.
Kama alidhurumiwa kwa nini hakuenda kulipoti police?
Yani wanasiasa wa upinzani mnachanganya RAIA kabisa.mnamtetea anayejichulia sheria mkononi na kwenda kuua watu? You can not be serious?
najua mkuu ila mtu kama croo ni kimba kimba sanaaa....Ila wapo wenye moyo, mie kuna kaka yangu walitaka kumuweka ndani kisa gari yake imegonga. Yule askari alieamrishwa na mkubwa wake amuweke ndani kaka yangu, aligoma kupokea maagizo ya mkubwa wake na akasema ni bora aache kazi lakini hawezi kumuweka ndani maana haoni makosa yake.
Japo yawezekana kuna mambo yanaweza kukidhi lakini siyo sahihi kuchukua bunduki na kuua police.
Kama alidhurumiwa kwa nini hakuenda kulipoti police?
Yani wanasiasa wa upinzani mnachanganya RAIA kabisa.mnamtetea anayejichulia sheria mkononi na kwenda kuua watu? You can not be serious?
Poleni CCM Kwa Kumpoteza Mwanachama wenu HamzaJapo yawezekana kuna mambo yanaweza kukidhi lakini siyo sahihi kuchukua bunduki na kuua police.
Kama alidhurumiwa kwa nini hakuenda kulipoti police?
Yani wanasiasa wa upinzani mnachanganya RAIA kabisa.mnamtetea anayejichulia sheria mkononi na kwenda kuua watu? You can not be serious?
Kijani wamepagawaBavicha wamevurugwa!