Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
- Thread starter
- #21
Hawa wa CCM hawategemei kura kama alivyosema mmoja wa wateule jana kwenye kumshukuru mwenyekiti wao.Naona zuri ni kumnyima kura hili la usafiri itakua ngumu kidogo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa wa CCM hawategemei kura kama alivyosema mmoja wa wateule jana kwenye kumshukuru mwenyekiti wao.Naona zuri ni kumnyima kura hili la usafiri itakua ngumu kidogo!
Vyote viwwil mkuu adi tufike uchaguz akili imkae sawa tuanze na kususia mabasi yaoNaona zuri ni kumnyima kura hili la usafiri itakua ngumu kidogo!
Wazo zuri iwe vyote vitatu line,bus na kura!Vyote viwwil mkuu adi tufike uchaguz akili imkae sawa tuanze na kususia mabasi yao
Kidogo hapo sina uzoefu na uchaguzi wa nchi hii!Hawa wa CCM hawategemei kura kama alivyosema mmoja wa wateule jana kwenye kumshukuru mwenyekiti wao.
Naona zuri ni kumnyima kura hili la usafiri itakua ngumu kidogo!
ni ungwana zaidi,Mleta hoja maana yake kuonyesha hisia zake kuwa wazo la mheshimiwa mbunge halina mashiko wala mantiki na halitekelezeki.
Tajiri hunyooshwa kwa Nguvu za rohoni siyo hiyo ya kupanda Mabasi 😂😂😂Naona unachochea mfarakano tushindwe kuwanyoosha wabunge wanaotuona sisi matajiri kuliko wao.
Mkuu iv huoni kama NHIF serikali imewashinda? Au ndo yaleyale unaanzisha unashndwa unaanza kusema nabinafsisha cna uwezoni ungwana zaidi,
akapendekeza mbadala wa hoja ya mbunge kuliko kupambana out of target 🐒
haitasaidia hata kidogo..
zama Kuklax Klan karne hii jamani
Watanzania hatuna umoja ndiyo shida yetuLeo kupitia magazeti nimekutana na habari isemayo walipa kodi waongezewe kodi kwenye laini za simu, kama alivyopendekeza mheshimiwa asiyelipa kodi kwenye mshahara wake. Mheshimiwa huyu ni mmiliki wa mabasi ya Shabbiby wa Gairo Morogoro japo anatambulika zaidi Dodoma huenda kutokana na Gairo kuwa kwenye mpaka na Dodoma.
Huyu anatuona sisi matajiri kwa sababu tunalipa nauli kupanda mabasi yake bila kulalamikia bei! Ili ajue kuwa hali zetu kiuchumi ni kususia mabasi yake.
Hapa ndo CCM wanatumia udhaifu wa kuona wananch ni matajir kuliko waoWatanzania hatuna umoja ndiyo shida yetu
Ni hatari snHapa ndo CCM wanatumia udhaifu wa kuona wananch ni matajir kuliko wao
Tungekua na ushirikiano tunasusia biashara ya awa shabiby ingeleta tija mawazo ya wabunge yangekua ni kumtetea mwanch dhid ya serkali sio kuitetea serkal dhid ya mwananchWatanzania hatuna umoja ndiyo shida yetu
Hatari na aibu snTungekua na ushirikiano tunasusia biashara ya awa shabiby ingeleta tija mawazo ya wabunge yangekua ni kumtetea mwanch dhid ya serkali sio kuitetea serkal dhid ya mwananch
Mkuu iv huoni kama NHIF serikali imewashinda? Au ndo yaleyale unaanzisha unashndwa unaanza kusema nabinafsisha cna uwezo
ni dosari na kasoro za kawaida tu, zinarekebishika, zinasahihishika tuvute subra....Mkuu iv huoni kama NHIF serikali imewashinda? Au ndo yaleyale unaanzisha unashndwa unaanza kusema nabinafsisha cna uwezo