Watanzania tususe kupanda mabasi ya Shabbiby wa Gairo

Watanzania tususe kupanda mabasi ya Shabbiby wa Gairo

Leo kupitia magazeti nimekutana na habari isemayo walipa kodi waongezewe kodi kwenye laini za simu, kama alivyopendekeza mheshimiwa asiyelipa kodi kwenye mshahara wake. Mheshimiwa huyu ni mmiliki wa mabasi ya Shabbiby wa Gairo Morogoro japo anatambulika zaidi Dodoma huenda kutokana na Gairo kuwa kwenye mpaka na Dodoma.
Huyu anatuona sisi matajiri kwa sababu tunalipa nauli kupanda mabasi yake bila kulalamikia bei! Ili ajue kuwa hali zetu kiuchumi ni kususia mabasi yake.

Wazo zuri, ila kwa uzombie wetu hilo halitekelezeki.
 
A
Leo kupitia magazeti nimekutana na habari isemayo walipa kodi waongezewe kodi kwenye laini za simu, kama alivyopendekeza mheshimiwa asiyelipa kodi kwenye mshahara wake. Mheshimiwa huyu ni mmiliki wa mabasi ya Shabbiby wa Gairo Morogoro japo anatambulika zaidi Dodoma huenda kutokana na Gairo kuwa kwenye mpaka na Dodoma.
Huyu anatuona sisi matajiri kwa sababu tunalipa nauli kupanda mabasi yake bila kulalamikia bei! Ili ajue kuwa hali zetu kiuchumi ni kususia mabasi yake.
Acha ujinga wako.. wewe gari lako litakubeba mie wap??? Niambieeee kosa lake kitaalamu nini
 
Leo kupitia magazeti nimekutana na habari isemayo walipa kodi waongezewe kodi kwenye laini za simu, kama alivyopendekeza mheshimiwa asiyelipa kodi kwenye mshahara wake. Mheshimiwa huyu ni mmiliki wa mabasi ya Shabbiby wa Gairo Morogoro japo anatambulika zaidi Dodoma huenda kutokana na Gairo kuwa kwenye mpaka na Dodoma.
Huyu anatuona sisi matajiri kwa sababu tunalipa nauli kupanda mabasi yake bila kulalamikia bei! Ili ajue kuwa hali zetu kiuchumi ni kususia mabasi yake.
Kama una basi lako weka Barabarani tupande kabla ya kususa la Shabiby
 
Leo kupitia magazeti nimekutana na habari isemayo walipa kodi waongezewe kodi kwenye laini za simu, kama alivyopendekeza mheshimiwa asiyelipa kodi kwenye mshahara wake. Mheshimiwa huyu ni mmiliki wa mabasi ya Shabbiby wa Gairo Morogoro japo anatambulika zaidi Dodoma huenda kutokana na Gairo kuwa kwenye mpaka na Dodoma.
Huyu anatuona sisi matajiri kwa sababu tunalipa nauli kupanda mabasi yake bila kulalamikia bei! Ili ajue kuwa hali zetu kiuchumi ni kususia mabasi yake.
Hii akili ya kususa susa kama wadada wapinzani mjitafakari, yan niny mkipingwa ni kesi
 
Leo kupitia magazeti nimekutana na habari isemayo walipa kodi waongezewe kodi kwenye laini za simu, kama alivyopendekeza mheshimiwa asiyelipa kodi kwenye mshahara wake. Mheshimiwa huyu ni mmiliki wa mabasi ya Shabbiby wa Gairo Morogoro japo anatambulika zaidi Dodoma huenda kutokana na Gairo kuwa kwenye mpaka na Dodoma.
Huyu anatuona sisi matajiri kwa sababu tunalipa nauli kupanda mabasi yake bila kulalamikia bei! Ili ajue kuwa hali zetu kiuchumi ni kususia mabasi yake.
Nakuunga mkono,hawa jamaaa wanajilipa mishahara na maposho hayaelezeki tena bila kodi lakini wao ndio wanaozalisha makodi kila kukicha .
 
Leo kupitia magazeti nimekutana na habari isemayo walipa kodi waongezewe kodi kwenye laini za simu, kama alivyopendekeza mheshimiwa asiyelipa kodi kwenye mshahara wake. Mheshimiwa huyu ni mmiliki wa mabasi ya Shabbiby wa Gairo Morogoro japo anatambulika zaidi Dodoma huenda kutokana na Gairo kuwa kwenye mpaka na Dodoma.
Huyu anatuona sisi matajiri kwa sababu tunalipa nauli kupanda mabasi yake bila kulalamikia bei! Ili ajue kuwa hali zetu kiuchumi ni kususia mabasi yake.
Labda tusibiri Sgr ianze kazi
 
Leo kupitia magazeti nimekutana na habari isemayo walipa kodi waongezewe kodi kwenye laini za simu, kama alivyopendekeza mheshimiwa asiyelipa kodi kwenye mshahara wake. Mheshimiwa huyu ni mmiliki wa mabasi ya Shabbiby wa Gairo Morogoro japo anatambulika zaidi Dodoma huenda kutokana na Gairo kuwa kwenye mpaka na Dodoma.
Huyu anatuona sisi matajiri kwa sababu tunalipa nauli kupanda mabasi yake bila kulalamikia bei! Ili ajue kuwa hali zetu kiuchumi ni kususia mabasi yake.
Huna namna nyingine Mkuu ya Kutushauri?
Kwahiyo Mtu akitoa maoni yake tayar tususie bishara zake?
Njia ya Dom kumsusia Shabiby
Ni sawa kususia bidhaa Za Azam ,utaishije?
 
CCM ni ile ile ohh ni ile ile 🤣🤣🤣🤣
 
U
Siku ukiweza kutofautisha kati ya Shabiby mtu na Shabiby Basi, ndo siku utaweza kuwa na akili.
Usidanganye watu wasiomfahamu Ahmed,nimeishi sana Gairo huyu jamaa akiwa msela flani licha ya kuwa Mbunge. Alikuwa na kundi la vijana ambao aliwafungulia salon enzi zile pale sokoni karibu na kwa Muha mmoja aliitwa Matias.

Hizo gari ni zake,yeye na kaka yake ambaye huyu kaka yake alikuwaga na bus moja nimelisahau jina lilikuwa likifanya safari za DODOMA -ARUSHA ila lilikuwaga bovubovu vilevile km yalivyokuwa haya Dodoma -Dar unayakuta ma 3 njiani yameharibika.
 
Hivi hawana route ya DAR _MORO???
Maana hizi abood zimekua gari za Mbagala kkoo siku hizi
Ac za kupimiwa
Na bus zao wanasimamisha abiria kama mwendo kasi ya kimara

🙃🙃🙃 siungi mkono kuongezewa kodi kwenye line za simu watatuua jamani
 
Leo kupitia magazeti nimekutana na habari isemayo walipa kodi waongezewe kodi kwenye laini za simu, kama alivyopendekeza mheshimiwa asiyelipa kodi kwenye mshahara wake. Mheshimiwa huyu ni mmiliki wa mabasi ya Shabbiby wa Gairo Morogoro japo anatambulika zaidi Dodoma huenda kutokana na Gairo kuwa kwenye mpaka na Dodoma.
Huyu anatuona sisi matajiri kwa sababu tunalipa nauli kupanda mabasi yake bila kulalamikia bei! Ili ajue kuwa hali zetu kiuchumi ni kususia mabasi yake.
Mkuu kuhusu kususia kupanda mabasi ya shabiby umebugi yaani TUSUSIE KUPANDA NDEGE ZA BARABARANI HALAFU TUPANDE NINI? Kapekue ushawishi mwingine lakini kwa mabasi ya shabiby hakuna mbadala wake jamaa
 
Back
Top Bottom