Watanzania tususe kupanda mabasi ya Shabbiby wa Gairo

Watanzania tususe kupanda mabasi ya Shabbiby wa Gairo

Simu zenyewe mnatumia kutongozea na kutazamia ngono wazo la mbunge ni zuri usipoumwa wewe ndugu yako ataumwa.
Achen negativity wabongo,wangapi wanakufa kwa kukosa matibabu kisa mia Tano.
 
Dodoma usipopanda shabibu upande bus gani sasa.
Kama abood ni morogoro.
Superfeo Songea njombe
 
Leo kupitia magazeti nimekutana na habari isemayo walipa kodi waongezewe kodi kwenye laini za simu, kama alivyopendekeza mheshimiwa asiyelipa kodi kwenye mshahara wake. Mheshimiwa huyu ni mmiliki wa mabasi ya Shabbiby wa Gairo Morogoro japo anatambulika zaidi Dodoma huenda kutokana na Gairo kuwa kwenye mpaka na Dodoma.
Huyu anatuona sisi matajiri kwa sababu tunalipa nauli kupanda mabasi yake bila kulalamikia bei! Ili ajue kuwa hali zetu kiuchumi ni kususia mabasi yake.

Wewe unaonekana Una chuki binafsi!
Na Nitawashiwi watu wasikuunge mkono…
labda ufanye Yafuatayo
1.Ueleze njia mbadala alizozisema Shabiby ambazo nadhani ni zaidi ya Moja ili kutunisha Mfuko wa Bima ya Afya.
Nadhani alisema Pia Wabunge wakatwe kiasi Fulani!
Wewe unataka Wazazi wetu Babu zetu wakose Huduma!
Unapopinga Jambo weka na Mbadala mawazo yako ni nini?
 
Leo kupitia magazeti nimekutana na habari isemayo walipa kodi waongezewe kodi kwenye laini za simu, kama alivyopendekeza mheshimiwa asiyelipa kodi kwenye mshahara wake. Mheshimiwa huyu ni mmiliki wa mabasi ya Shabbiby wa Gairo Morogoro japo anatambulika zaidi Dodoma huenda kutokana na Gairo kuwa kwenye mpaka na Dodoma.
Huyu anatuona sisi matajiri kwa sababu tunalipa nauli kupanda mabasi yake bila kulalamikia bei! Ili ajue kuwa hali zetu kiuchumi ni kususia mabasi yake.
Mimi ninamuunga mkono Shabiby.
Ukiangalia vitu vya kipuuzi vinavyomeza MB zetu kwenye Mitandao, ninaamini tukilipia Bima ya Afya kwa Watanzania wenzetu, tutakuwa tumefanya jambo la maana.
Mitandaoni, zaidi ya Asilimia 90 ya yaliyomo, ni upuuzi mtupu.
 
Leo kupitia magazeti nimekutana na habari isemayo walipa kodi waongezewe kodi kwenye laini za simu, kama alivyopendekeza mheshimiwa asiyelipa kodi kwenye mshahara wake. Mheshimiwa huyu ni mmiliki wa mabasi ya Shabbiby wa Gairo Morogoro japo anatambulika zaidi Dodoma huenda kutokana na Gairo kuwa kwenye mpaka na Dodoma.
Huyu anatuona sisi matajiri kwa sababu tunalipa nauli kupanda mabasi yake bila kulalamikia bei! Ili ajue kuwa hali zetu kiuchumi ni kususia mabasi yake.
Na bwana TOZO og mwigulu je, maana inasemekana na yeye ana mabasi?
 
U

Usidanganye watu wasiomfahamu Ahmed,nimeishi sana Gairo huyu jamaa akiwa msela flani licha ya kuwa Mbunge. Alikuwa na kundi la vijana ambao aliwafungulia salon enzi zile pale sokoni karibu na kwa Muha mmoja aliitwa Matias.

Hizo gari ni zake,yeye na kaka yake ambaye huyu kaka yake alikuwaga na bus moja nimelisahau jina lilikuwa likifanya safari za DODOMA -ARUSHA ila lilikuwaga bovubovu vilevile km yalivyokuwa haya Dodoma -Dar unayakuta ma 3 njiani yameharibika.
Nimedanganya nini?
 
Hii akili ya kususa susa kama wadada wapinzani mjitafakari, yan niny mkipingwa ni kesi
Mkuu nchi za kiafrika tuliwasusia makaburu wa africa kusini enzi za Makuburu, je tulikuwa wadada ama mishangazi?
 
Leo kupitia magazeti nimekutana na habari isemayo walipa kodi waongezewe kodi kwenye laini za simu, kama alivyopendekeza mheshimiwa asiyelipa kodi kwenye mshahara wake. Mheshimiwa huyu ni mmiliki wa mabasi ya Shabbiby wa Gairo Morogoro japo anatambulika zaidi Dodoma huenda kutokana na Gairo kuwa kwenye mpaka na Dodoma.
Huyu anatuona sisi matajiri kwa sababu tunalipa nauli kupanda mabasi yake bila kulalamikia bei! Ili ajue kuwa hali zetu kiuchumi ni kususia mabasi yake.
Maccm ndiyo msusie maana wapinzani walisha wapa tahadhali mapema kuwa kuwachagua ccm ni janga kubwa lkn mkatuona kuwa ni wachumia tumbo
 
Shabiby Line ndio usafiri pendwa na salama kabisa katika hiyo barabara ya Morogoro , hivyo tafuta njia nyingine ya kumchukia Shabiby sio mabasi yake.
Wana ccm waliowengi ni mafukala kulingana na takwimu za Twaweza
 
Leo kupitia magazeti nimekutana na habari isemayo walipa kodi waongezewe kodi kwenye laini za simu, kama alivyopendekeza mheshimiwa asiyelipa kodi kwenye mshahara wake. Mheshimiwa huyu ni mmiliki wa mabasi ya Shabbiby wa Gairo Morogoro japo anatambulika zaidi Dodoma huenda kutokana na Gairo kuwa kwenye mpaka na Dodoma.
Huyu anatuona sisi matajiri kwa sababu tunalipa nauli kupanda mabasi yake bila kulalamikia bei! Ili ajue kuwa hali zetu kiuchumi ni kususia mabasi yake.
Sema CHAGADOMO msuse
 
Hawa wa CCM hawategemei kura kama alivyosema mmoja wa wateule jana kwenye kumshukuru mwenyekiti wao.
Hao ndiyo majambazi wa kupora haki za wananchi kwenye sanduku la maamuzi ya nani awe mtawala
 
Back
Top Bottom