Leo kupitia magazeti nimekutana na habari isemayo walipa kodi waongezewe kodi kwenye laini za simu, kama alivyopendekeza mheshimiwa asiyelipa kodi kwenye mshahara wake. Mheshimiwa huyu ni mmiliki wa mabasi ya Shabbiby wa Gairo Morogoro japo anatambulika zaidi Dodoma huenda kutokana na Gairo kuwa kwenye mpaka na Dodoma.
Huyu anatuona sisi matajiri kwa sababu tunalipa nauli kupanda mabasi yake bila kulalamikia bei! Ili ajue kuwa hali zetu kiuchumi ni kususia mabasi yake.
100%Wazo zuri, ila kwa uzombie wetu hilo halitekelezeki.
Acha ujinga wako.. wewe gari lako litakubeba mie wap??? Niambieeee kosa lake kitaalamu niniLeo kupitia magazeti nimekutana na habari isemayo walipa kodi waongezewe kodi kwenye laini za simu, kama alivyopendekeza mheshimiwa asiyelipa kodi kwenye mshahara wake. Mheshimiwa huyu ni mmiliki wa mabasi ya Shabbiby wa Gairo Morogoro japo anatambulika zaidi Dodoma huenda kutokana na Gairo kuwa kwenye mpaka na Dodoma.
Huyu anatuona sisi matajiri kwa sababu tunalipa nauli kupanda mabasi yake bila kulalamikia bei! Ili ajue kuwa hali zetu kiuchumi ni kususia mabasi yake.
Kama una basi lako weka Barabarani tupande kabla ya kususa la ShabibyLeo kupitia magazeti nimekutana na habari isemayo walipa kodi waongezewe kodi kwenye laini za simu, kama alivyopendekeza mheshimiwa asiyelipa kodi kwenye mshahara wake. Mheshimiwa huyu ni mmiliki wa mabasi ya Shabbiby wa Gairo Morogoro japo anatambulika zaidi Dodoma huenda kutokana na Gairo kuwa kwenye mpaka na Dodoma.
Huyu anatuona sisi matajiri kwa sababu tunalipa nauli kupanda mabasi yake bila kulalamikia bei! Ili ajue kuwa hali zetu kiuchumi ni kususia mabasi yake.
Hii akili ya kususa susa kama wadada wapinzani mjitafakari, yan niny mkipingwa ni kesiLeo kupitia magazeti nimekutana na habari isemayo walipa kodi waongezewe kodi kwenye laini za simu, kama alivyopendekeza mheshimiwa asiyelipa kodi kwenye mshahara wake. Mheshimiwa huyu ni mmiliki wa mabasi ya Shabbiby wa Gairo Morogoro japo anatambulika zaidi Dodoma huenda kutokana na Gairo kuwa kwenye mpaka na Dodoma.
Huyu anatuona sisi matajiri kwa sababu tunalipa nauli kupanda mabasi yake bila kulalamikia bei! Ili ajue kuwa hali zetu kiuchumi ni kususia mabasi yake.
Vitako vyako sasa vimenenepa unajiona umekua, kakojoe ukalale panyabuku wewe.Hii akili ya kususa susa kama wadada wapinzani mjitafakari, yan niny mkipingwa ni kesi
Nakuunga mkono,hawa jamaaa wanajilipa mishahara na maposho hayaelezeki tena bila kodi lakini wao ndio wanaozalisha makodi kila kukicha .Leo kupitia magazeti nimekutana na habari isemayo walipa kodi waongezewe kodi kwenye laini za simu, kama alivyopendekeza mheshimiwa asiyelipa kodi kwenye mshahara wake. Mheshimiwa huyu ni mmiliki wa mabasi ya Shabbiby wa Gairo Morogoro japo anatambulika zaidi Dodoma huenda kutokana na Gairo kuwa kwenye mpaka na Dodoma.
Huyu anatuona sisi matajiri kwa sababu tunalipa nauli kupanda mabasi yake bila kulalamikia bei! Ili ajue kuwa hali zetu kiuchumi ni kususia mabasi yake.
Nillitaka nikutongoze ila unaonekana ni boya utaniletea watoto mbumbumbu kabisaA
Acha ujinga wako.. wewe gari lako litakubeba mie wap??? Niambieeee kosa lake kitaalamu nini
Labda tusibiri Sgr ianze kaziLeo kupitia magazeti nimekutana na habari isemayo walipa kodi waongezewe kodi kwenye laini za simu, kama alivyopendekeza mheshimiwa asiyelipa kodi kwenye mshahara wake. Mheshimiwa huyu ni mmiliki wa mabasi ya Shabbiby wa Gairo Morogoro japo anatambulika zaidi Dodoma huenda kutokana na Gairo kuwa kwenye mpaka na Dodoma.
Huyu anatuona sisi matajiri kwa sababu tunalipa nauli kupanda mabasi yake bila kulalamikia bei! Ili ajue kuwa hali zetu kiuchumi ni kususia mabasi yake.
Ikijumuisha na zile wanazodaiwa na Bima ya AfyaNHIF tu imewashinda sasa wanatoa wapi kiherehere cha kutaka bima ya wote? Kama wanatak bima ya wote watumie pesa ambazo wanaziiba ambazo kila mwaka CAG anasema
Huna namna nyingine Mkuu ya Kutushauri?Leo kupitia magazeti nimekutana na habari isemayo walipa kodi waongezewe kodi kwenye laini za simu, kama alivyopendekeza mheshimiwa asiyelipa kodi kwenye mshahara wake. Mheshimiwa huyu ni mmiliki wa mabasi ya Shabbiby wa Gairo Morogoro japo anatambulika zaidi Dodoma huenda kutokana na Gairo kuwa kwenye mpaka na Dodoma.
Huyu anatuona sisi matajiri kwa sababu tunalipa nauli kupanda mabasi yake bila kulalamikia bei! Ili ajue kuwa hali zetu kiuchumi ni kususia mabasi yake.
Tofauti ni nini??Siku ukiweza kutofautisha kati ya Shabiby mtu na Shabiby Basi, ndo siku utaweza kuwa na akili.
Usidanganye watu wasiomfahamu Ahmed,nimeishi sana Gairo huyu jamaa akiwa msela flani licha ya kuwa Mbunge. Alikuwa na kundi la vijana ambao aliwafungulia salon enzi zile pale sokoni karibu na kwa Muha mmoja aliitwa Matias.Siku ukiweza kutofautisha kati ya Shabiby mtu na Shabiby Basi, ndo siku utaweza kuwa na akili.
Mkuu kuhusu kususia kupanda mabasi ya shabiby umebugi yaani TUSUSIE KUPANDA NDEGE ZA BARABARANI HALAFU TUPANDE NINI? Kapekue ushawishi mwingine lakini kwa mabasi ya shabiby hakuna mbadala wake jamaaLeo kupitia magazeti nimekutana na habari isemayo walipa kodi waongezewe kodi kwenye laini za simu, kama alivyopendekeza mheshimiwa asiyelipa kodi kwenye mshahara wake. Mheshimiwa huyu ni mmiliki wa mabasi ya Shabbiby wa Gairo Morogoro japo anatambulika zaidi Dodoma huenda kutokana na Gairo kuwa kwenye mpaka na Dodoma.
Huyu anatuona sisi matajiri kwa sababu tunalipa nauli kupanda mabasi yake bila kulalamikia bei! Ili ajue kuwa hali zetu kiuchumi ni kususia mabasi yake.