bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Leo kupitia magazeti nimekutana na habari isemayo walipa kodi waongezewe kodi kwenye laini za simu, kama alivyopendekeza mheshimiwa asiyelipa kodi kwenye mshahara wake. Mheshimiwa huyu ni mmiliki wa mabasi ya Shabbiby wa Gairo Morogoro japo anatambulika zaidi Dodoma huenda kutokana na Gairo kuwa kwenye mpaka na Dodoma.
Huyu anatuona sisi matajiri kwa sababu tunalipa nauli kupanda mabasi yake bila kulalamikia bei! Ili ajue kuwa hali zetu kiuchumi ni kususia mabasi yake.
Mimi ninamuunga mkono Shabiby.Leo kupitia magazeti nimekutana na habari isemayo walipa kodi waongezewe kodi kwenye laini za simu, kama alivyopendekeza mheshimiwa asiyelipa kodi kwenye mshahara wake. Mheshimiwa huyu ni mmiliki wa mabasi ya Shabbiby wa Gairo Morogoro japo anatambulika zaidi Dodoma huenda kutokana na Gairo kuwa kwenye mpaka na Dodoma.
Huyu anatuona sisi matajiri kwa sababu tunalipa nauli kupanda mabasi yake bila kulalamikia bei! Ili ajue kuwa hali zetu kiuchumi ni kususia mabasi yake.
Na bwana TOZO og mwigulu je, maana inasemekana na yeye ana mabasi?Leo kupitia magazeti nimekutana na habari isemayo walipa kodi waongezewe kodi kwenye laini za simu, kama alivyopendekeza mheshimiwa asiyelipa kodi kwenye mshahara wake. Mheshimiwa huyu ni mmiliki wa mabasi ya Shabbiby wa Gairo Morogoro japo anatambulika zaidi Dodoma huenda kutokana na Gairo kuwa kwenye mpaka na Dodoma.
Huyu anatuona sisi matajiri kwa sababu tunalipa nauli kupanda mabasi yake bila kulalamikia bei! Ili ajue kuwa hali zetu kiuchumi ni kususia mabasi yake.
Nimedanganya nini?U
Usidanganye watu wasiomfahamu Ahmed,nimeishi sana Gairo huyu jamaa akiwa msela flani licha ya kuwa Mbunge. Alikuwa na kundi la vijana ambao aliwafungulia salon enzi zile pale sokoni karibu na kwa Muha mmoja aliitwa Matias.
Hizo gari ni zake,yeye na kaka yake ambaye huyu kaka yake alikuwaga na bus moja nimelisahau jina lilikuwa likifanya safari za DODOMA -ARUSHA ila lilikuwaga bovubovu vilevile km yalivyokuwa haya Dodoma -Dar unayakuta ma 3 njiani yameharibika.
Mkuu nchi za kiafrika tuliwasusia makaburu wa africa kusini enzi za Makuburu, je tulikuwa wadada ama mishangazi?Hii akili ya kususa susa kama wadada wapinzani mjitafakari, yan niny mkipingwa ni kesi
Maccm ndiyo msusie maana wapinzani walisha wapa tahadhali mapema kuwa kuwachagua ccm ni janga kubwa lkn mkatuona kuwa ni wachumia tumboLeo kupitia magazeti nimekutana na habari isemayo walipa kodi waongezewe kodi kwenye laini za simu, kama alivyopendekeza mheshimiwa asiyelipa kodi kwenye mshahara wake. Mheshimiwa huyu ni mmiliki wa mabasi ya Shabbiby wa Gairo Morogoro japo anatambulika zaidi Dodoma huenda kutokana na Gairo kuwa kwenye mpaka na Dodoma.
Huyu anatuona sisi matajiri kwa sababu tunalipa nauli kupanda mabasi yake bila kulalamikia bei! Ili ajue kuwa hali zetu kiuchumi ni kususia mabasi yake.
Wana ccm waliowengi ni mafukala kulingana na takwimu za TwawezaShabiby Line ndio usafiri pendwa na salama kabisa katika hiyo barabara ya Morogoro , hivyo tafuta njia nyingine ya kumchukia Shabiby sio mabasi yake.
Hiyo ndiyo shida ya Wana CCM yaani mnajifanya kujua wakati mnazidi kuumizwaMleta uzi una akili kama za Lema... ukisusia mabasi ya Shabiby utapanda fisi?
Habari za kibaigwa pale NazaretiMi nafanya biashara Dar to Dom sipandi tena>
Wewe mwenyewe huna akiliSiku ukiweza kutofautisha kati ya Shabiby mtu na Shabiby Basi, ndo siku utaweza kuwa na akili.
Wewe hukulijua hilo?Naona najadiliana na akili ndogo, asante kwaheri sikujibu tena.
Sema CHAGADOMO msuseLeo kupitia magazeti nimekutana na habari isemayo walipa kodi waongezewe kodi kwenye laini za simu, kama alivyopendekeza mheshimiwa asiyelipa kodi kwenye mshahara wake. Mheshimiwa huyu ni mmiliki wa mabasi ya Shabbiby wa Gairo Morogoro japo anatambulika zaidi Dodoma huenda kutokana na Gairo kuwa kwenye mpaka na Dodoma.
Huyu anatuona sisi matajiri kwa sababu tunalipa nauli kupanda mabasi yake bila kulalamikia bei! Ili ajue kuwa hali zetu kiuchumi ni kususia mabasi yake.
Kimpumu mbaya sana kwa afya ya akiliNaona zuri ni kumnyima kura hili la usafiri itakua ngumu kidogo!
Kubishana na huyo zumbukuku ni kupoteza muda wako na calorie zako bureNaona unachochea mfarakano tushindwe kuwanyoosha wabunge wanaotuona sisi matajiri kuliko wao.
Hao ndiyo majambazi wa kupora haki za wananchi kwenye sanduku la maamuzi ya nani awe mtawalaHawa wa CCM hawategemei kura kama alivyosema mmoja wa wateule jana kwenye kumshukuru mwenyekiti wao.
Punguza bangiWazo zuri iwe vyote vitatu line,bus na kura!
Kwi kwi kwi kwi kwi kwi eti sina uzoefu wakati wewe ndiye kibaka mkuuKidogo hapo sina uzoefu na uchaguzi wa nchi hii!