Watanzania tuwe makini 2025. Tujifunze jambo kwa Wamarekani kukataa kuongozwa na mwanamke licha ya uwezo wake

Watanzania tuwe makini 2025. Tujifunze jambo kwa Wamarekani kukataa kuongozwa na mwanamke licha ya uwezo wake

We umezaliwa na mbaba? Jinga huna hata haya kutuletea huu upupu? Magreth Thatcher(Iron Lady) ni mwanaume? Unamfahamu Angel Merkel? Aliongoza Ujerumani km Chancellor kwa muda mrefu kuliko mwanaume yeyote. Na Hellen Johson Sirleaf mwafrika mwenzako naye umemsahau. We ni empty set kichwani
Mkuu, punguza fikra potofu. Usipende kutukana kwenye mambo ya msingi. Kwenye hoja yangu, Sina mahala nimeweka matusi.
 
Sasa kwataarifa yako, kuna nchi moja huko nimeisahau jina... mwanamke ndio kiongozi alafu wanaume ni wasaidizi wake...😂
Wameamua tu kupingana na nature,, ungeniambia hiyo nchi ni ipi ingependeza sana 🙂
 
Back
Top Bottom