Squidward
JF-Expert Member
- Jul 21, 2014
- 7,828
- 9,546
Kwamba wamemsagia kunguniHatatamani tena kwenda nchi za watu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba wamemsagia kunguniHatatamani tena kwenda nchi za watu.
Ahaaa, kwani hana ndugu?
wewe mbona uko bongo wakati hakuna la maana.
Ndugu yangu Tindo tuipende nchi yetu na tuipiganie hata kama kuna mambo sio rafiki, lakini ndio Taifa letu lazima tulipende na kuonyesha fahari kuzaliwa hapa..
Nchini maandamano yameruhusiwa? Wapo kwenye mchakato wa namna gani bora ya kufanya siasa nchini!waandamanaji 18 US wanadai katiba wakati mamilioni ya watanzania waishio Tanzania wametulia wanajenga nchi.
NAHUNGA MKONO HOJA YAKO KWA ASILIMIA ZOTE KIONGOZINilimwambia mama, sio kila kitu cha jpm ni cha kukipotezea. Ukatili kwa hawa wanaojiita 'wapinzani' ni jambo muhimu sana na lazima ,kiongozi mkuu wa nchi hii, au ya kiafrika yoyote, lazima uwe na ukatili fulani; tofauti na hapo tegemea kina lema, lissu na mbowe kukuchezea kama hivi.
Na bado, wataleta hizi drama zao kila leo na kila siku utaona zinakaribia zaidi na mwishowe utawakuta mpaka nyumbani kwako kabisa ukiwa mapumzikoni.
Hawa ni kuwakagame tu hata hukohuko, shenzi zao!! Ukiwa na hawa jamaa hautofanya shughuli yoyote ya kimaendeleo na mwishowe warship kukunanga na kukutukana. Na kama ukiyafsnya maendeleo huku unawachekea hawa basi hayatoonekana maendeleo hayo na badala yake yataonekana mabaya tu dumb daima!!!
MAMA HUJIFUNZI KWA KIKWETE?!!!!!!!!! Aliwaheshimu na kuwajali kupita kiasi walimlipa nini zaidi ya matusi na kejeli za kudhalilisha kabisa zinazomuandama hadi leo?!!!!!! Mwamba jpm alijua akiwachekea hawa hatofanya na halitoonekana lolote jema lake, AKAWAFINYIA MBALI huko na akajipatia nafasi ya kufanya mambo yake kwa uhuru na mwishowe nchi yote ikaimba jina lake........mpaka ya kikwete yakawa yake na kikwete amebaki mweupeeee km aliyepita na kulala tu pale ikulu.
MAMA UNATAKA YAKUKUTE HAYA YA KIKWETE?!!!! Si mazuri kwa hadhi ya uraisi......TWANGILIA MBALI wapuuzi hao km alivyofanya jpm. Kuongoza hakuhitaji huruma za dini kwa sababu kuna mishetani imejazana kukuharibia.....TWANGILIA MBALI HAOOOOO!!!
tupo hapa tunawa zoom ...tutaelewanaBaadhi ya Watanzania wamejitokeza nje ya Ubalozi wa Tanzania Nchini #Marekani na kufanya maandamano wakiwasilisha madai mbalimbali.
Baadhi ya madai yao waliyoandika kwenye mabango yao ni Mabadiliko ya Katiba, kuachiwa huru kwa Wakili Peter Madeleka pamoja na kufukuzwa Bungeni Wabunge 19 wanaodaiwa kuwa Bungeni kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
ITIFAKI ya Rais imefanya aibu kumficha Rais asionane na waandamanaji,kwani alipaswa kuwasikiliza na kuwaita ktk mkutano bila kuangalia sura. Kumpitisha Rais mlango wa nyuma ni aibu ktk dhana ya kujenga demokrasi.Kumkimbiza Rais kuonana na waandamanaji ni kudhihaki uwezo wa Rais https://t.co/aJ8D0qLgeZBaadhi ya Watanzania wamejitokeza nje ya Ubalozi wa Tanzania Nchini #Marekani na kufanya maandamano wakiwasilisha madai mbalimbali.
Baadhi ya madai yao waliyoandika kwenye mabango yao ni Mabadiliko ya Katiba, kuachiwa huru kwa Wakili Peter Madeleka pamoja na kufukuzwa Bungeni Wabunge 19 wanaodaiwa kuwa Bungeni kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
Jamaa hawataki kitu kinaitwa katiba mpya
Akijikologa huko ugenini kutaka kuleta u king kong kwenye king dom za watu tutamsahau mapema sanaIngekuwa huku tayari ameita FFU
Kule ni duniani hawezi kufanya chochoteAkijikologa huko ugenini kutaka kuleta u king kong kwenye king dom za watu tutamsahau mapema sana
Ameandika historia mbaya snRaisi mzima anakimbia maandishi,hii ni aibu ugenini
Wanakuwaga wanyonge yani unaeza mtuma maji ya kunywa akayaleta akiwa amepiga na magoti kabisaKule ni duniani hawezi kufanya chochote
Jitokeze na wewe sura yako tukuone! Unatia huruma sana!Mbona Wachovu sana sura zao
Maisha yamewapiga si warudi tu Tanzania
Eti aliwafinyia mbali?? Yukwapi sasa?? Amekufa ameiacha Chadema unadhani Mama naye anataka kuongeza maadui maisha yake yawe mafupi kma JPM??Mwamba jpm alijua akiwachekea hawa hatofanya na halitoonekana lolote jema lake, AKAWAFINYIA MBALI huko na akajipatia nafasi ya kufanya mambo yake kwa uhuru na mwishowe nchi yote ikaimba jina lake........
Hata kudai uhuru walianza watu 10 tu Leo hii unachekelea tu uhuru.waandamanaji 18 US wanadai katiba wakati mamilioni ya watanzania waishio Tanzania wametulia wanajenga nchi.