Watanzania waandamana katika Ubalozi wa Tanzania Nchini Marekani
wewe mbona uko bongo wakati hakuna la maana.

Ndugu yangu Tindo tuipende nchi yetu na tuipiganie hata kama kuna mambo sio rafiki, lakini ndio Taifa letu lazima tulipende na kuonyesha fahari kuzaliwa hapa..

Nimemwambia huyo anayeweka vitisho vya kijinga. Mimi niko hapa sio kwakuwa ni pa maana, bali niko kwakuwa ni nyumbani. Lakini hakuna uwezekano eti niende US halafu unitishie kuwa siku nikirudi utanikomoa kwa kudai haki yangu, ni kipi hasa nitakuwa napoteza kwa kutokurudi hapa Tanzania v/s US?
 
Nilimwambia mama, sio kila kitu cha jpm ni cha kukipotezea. Ukatili kwa hawa wanaojiita 'wapinzani' ni jambo muhimu sana na lazima ,kiongozi mkuu wa nchi hii, au ya kiafrika yoyote, lazima uwe na ukatili fulani; tofauti na hapo tegemea kina lema, lissu na mbowe kukuchezea kama hivi.

Na bado, wataleta hizi drama zao kila leo na kila siku utaona zinakaribia zaidi na mwishowe utawakuta mpaka nyumbani kwako kabisa ukiwa mapumzikoni.

Hawa ni kuwakagame tu hata hukohuko, shenzi zao!! Ukiwa na hawa jamaa hautofanya shughuli yoyote ya kimaendeleo na mwishowe warship kukunanga na kukutukana. Na kama ukiyafsnya maendeleo huku unawachekea hawa basi hayatoonekana maendeleo hayo na badala yake yataonekana mabaya tu dumb daima!!!

MAMA HUJIFUNZI KWA KIKWETE?!!!!!!!!! Aliwaheshimu na kuwajali kupita kiasi walimlipa nini zaidi ya matusi na kejeli za kudhalilisha kabisa zinazomuandama hadi leo?!!!!!! Mwamba jpm alijua akiwachekea hawa hatofanya na halitoonekana lolote jema lake, AKAWAFINYIA MBALI huko na akajipatia nafasi ya kufanya mambo yake kwa uhuru na mwishowe nchi yote ikaimba jina lake........mpaka ya kikwete yakawa yake na kikwete amebaki mweupeeee km aliyepita na kulala tu pale ikulu.

MAMA UNATAKA YAKUKUTE HAYA YA KIKWETE?!!!! Si mazuri kwa hadhi ya uraisi......TWANGILIA MBALI wapuuzi hao km alivyofanya jpm. Kuongoza hakuhitaji huruma za dini kwa sababu kuna mishetani imejazana kukuharibia.....TWANGILIA MBALI HAOOOOO!!!
NAHUNGA MKONO HOJA YAKO KWA ASILIMIA ZOTE KIONGOZI
 
Marekani katiba yao iko vizuri sasa mbona hao waandamaji wamechoka sana kuanzia sura hiyo katiba ya Marekani haiwapi maisha maisha mazuri?
 
Baadhi ya Watanzania wamejitokeza nje ya Ubalozi wa Tanzania Nchini #Marekani na kufanya maandamano wakiwasilisha madai mbalimbali.

Baadhi ya madai yao waliyoandika kwenye mabango yao ni Mabadiliko ya Katiba, kuachiwa huru kwa Wakili Peter Madeleka pamoja na kufukuzwa Bungeni Wabunge 19 wanaodaiwa kuwa Bungeni kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).

tupo hapa tunawa zoom ...tutaelewana
 
Baadhi ya Watanzania wamejitokeza nje ya Ubalozi wa Tanzania Nchini #Marekani na kufanya maandamano wakiwasilisha madai mbalimbali.

Baadhi ya madai yao waliyoandika kwenye mabango yao ni Mabadiliko ya Katiba, kuachiwa huru kwa Wakili Peter Madeleka pamoja na kufukuzwa Bungeni Wabunge 19 wanaodaiwa kuwa Bungeni kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).

ITIFAKI ya Rais imefanya aibu kumficha Rais asionane na waandamanaji,kwani alipaswa kuwasikiliza na kuwaita ktk mkutano bila kuangalia sura. Kumpitisha Rais mlango wa nyuma ni aibu ktk dhana ya kujenga demokrasi.Kumkimbiza Rais kuonana na waandamanaji ni kudhihaki uwezo wa Rais https://t.co/aJ8D0qLgeZ
 
Mwamba jpm alijua akiwachekea hawa hatofanya na halitoonekana lolote jema lake, AKAWAFINYIA MBALI huko na akajipatia nafasi ya kufanya mambo yake kwa uhuru na mwishowe nchi yote ikaimba jina lake........
Eti aliwafinyia mbali?? Yukwapi sasa?? Amekufa ameiacha Chadema unadhani Mama naye anataka kuongeza maadui maisha yake yawe mafupi kma JPM??

Kilio Cha mamaye Ben saa8 na Kabendera vilitosha kuondoa uhai wa yule dikteta. Damu ya mtu sio nyepesi kma unavyotype hapo ukiwa kitandani hta mjusi tu hujawahi ua!!
 
Back
Top Bottom