Watanzania waandamana katika Ubalozi wa Tanzania Nchini Marekani
Kama wangekuwa wanajua maana ya kutafuta mambo mazuri ya kitaifa basi wasingekimbilia huko nje kwa watu weupe waliohangaika kwa mamia ya miaka kujenga kwao.
Badala yake kama wangekuwa wanajua maana ya kujenga taifa basi na wao wangebaki hapahapa nyumbani wajenge taifa lao, au wewe ushawahi kumuona mmarekani ameandamana u.s. embassy tanzania?

Wanachofanya hapo ni kazi bure na kuigiza tu, waje waandamane pale ikulu wakidai katiba mpya. then hapo tutajua wapo serious.
Unataka kulazimisha watu mahali pa kutafuta maisha?
 
Unataka kulazimisha watu mahali pa kutafuta maisha?
Mimi sijaongelea mahali pa kutafuta maisha hayo umesema wewe sasa hivi.
Bali ulikuwa unaongelea kuhusu kutafuta mambo mazuri ya kitaifa.

Sasa nakuuliza ulishawahi kuona mmarekani ameandamana u.s embassy Tanzania akipigania equality Marekani?
Americans wamejenga taifa lao wakiwa ndani ya taifa lao but this is a moot.
 
Baadhi ya Watanzania wamejitokeza nje ya Ubalozi wa Tanzania Nchini #Marekani na kufanya maandamano wakiwasilisha madai mbalimbali.

Baadhi ya madai yao waliyoandika kwenye mabango yao ni Mabadiliko ya Katiba, kuachiwa huru kwa Wakili Peter Madeleka pamoja na kufukuzwa Bungeni Wabunge 19 wanaodaiwa kuwa Bungeni kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).

Embu tuyalete maandamano hayo hapa nyumbani sasa yatakuwa na nguvu zaidi.
 
MACCM WAJINGA SANA!!!! Mnaweweseka nini?
Kwa wenzetu maandamano ni suala la kawaida tu. Hapa mnakuwa hamna raha kwa hao mnaosema sijui watu 20, sijui Wakongo etc.
ENIWEI - MESSAGE HAS BEEN SENT - LOUD AND CLEAR.
🤣🤣🤣

Biden na serikali yake wako busy na "Putin".....

Endeleeni kutwanga maji kwenye kinu🤣🤣
E65OMZ3WEAkIWlV.jpg
 
Baadhi ya Watanzania wamejitokeza nje ya Ubalozi wa Tanzania Nchini #Marekani na kufanya maandamano wakiwasilisha madai mbalimbali.

Baadhi ya madai yao waliyoandika kwenye mabango yao ni Mabadiliko ya Katiba, kuachiwa huru kwa Wakili Peter Madeleka pamoja na kufukuzwa Bungeni Wabunge 19 wanaodaiwa kuwa Bungeni kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).

Hao ni mamluki tu hawana issue wala impact yoyote kwa Tanzania. Ni vibaka tu hao!
 
Nilimwambia mama, sio kila kitu cha jpm ni cha kukipotezea. Ukatili kwa hawa wanaojiita 'wapinzani' ni jambo muhimu sana na lazima ,kiongozi mkuu wa nchi hii, au ya kiafrika yoyote, lazima uwe na ukatili fulani; tofauti na hapo tegemea kina lema, lissu na mbowe kukuchezea kama hivi. Na bado, wataleta hizi drama zao kila leo na kila siku utaona zinakaribia zaidi na mwishowe utawakuta mpaka nyumbani kwako kabisa ukiwa mapumzikoni.

Hawa ni kuwakagame tu hata hukohuko, shenzi zao!! Ukiwa na hawa jamaa hautofanya shughuli yoyote ya kimaendeleo na mwishowe warship kukunanga na kukutukana. Na kama ukiyafsnya maendeleo huku unawachekea hawa basi hayatoonekana maendeleo hayo na badala yake yataonekana mabaya tu dumb daima!!!

MAMA HUJIFUNZI KWA KIKWETE?!!!!!!!!! Aliwaheshimu na kuwajali kupita kiasi walimlipa nini zaidi ya matusi na kejeli za kudhalilisha kabisa zinazomuandama hadi leo?!!!!!! Mwamba jpm alijua akiwachekea hawa hatofanya na halitoonekana lolote jema lake, AKAWAFINYIA MBALI huko na akajipatia nafasi ya kufanya mambo yake kwa uhuru na mwishowe nchi yote ikaimba jina lake........mpaka ya kikwete yakawa yake na kikwete amebaki mweupeeee km aliyepita na kulala tu pale ikulu.

MAMA UNATAKA YAKUKUTE HAYA YA KIKWETE?!!!! Si mazuri kwa hadhi ya uraisi......TWANGILIA MBALI wapuuzi hao km alivyofanya jpm. Kuongoza hakuhitaji huruma za dini kwa sababu kuna mishetani imejazana kukuharibia.....TWANGILIA MBALI HAOOOOO!!!
Kweli tupu
 
Baadhi ya walioko katika maandamano wanafahamika....

Ni vijana wa wenye nazo,maisha bora na wenye pesa waliolelewa Masaki ,Kichanga Chui ,Mikocheni maeneo ya Regency na mitaa ya Ursino,Ada Estate ,Upanga....

Hivi kweli hawa ndio WANAWASEMEA watanzania wote hata wa kule Nyanguge ,Kwimba ,Sakura ,Kibinda ,Mkwaja ,Bweni ,Mwera ,Kipumbwi ,Pembeabwe,Ipinda ,Matema ,Tanganyika Masagati ,Mlimba na Mkoka Nachingwea?!!!!

Yaani watanzania hao nao wanahitaji katiba mpya ?!!![emoji15][emoji1787][emoji1787]

#Siempre JMT[emoji120]
#Katiba Iliyopo Inatosha [emoji106]
[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
 
Baadhi ya walioko katika maandamano wanafahamika....

Ni vijana wa wenye nazo,maisha bora na wenye pesa waliolelewa Masaki ,Kichanga Chui ,Mikocheni maeneo ya Regency na mitaa ya Ursino,Ada Estate ,Upanga....

Hivi kweli hawa ndio WANAWASEMEA watanzania wote hata wa kule Nyanguge ,Kwimba ,Sakura ,Kibinda ,Mkwaja ,Bweni ,Mwera ,Kipumbwi ,Pembeabwe,Ipinda ,Matema ,Tanganyika Masagati ,Mlimba na Mkoka Nachingwea?!!!!

Yaani watanzania hao nao wanahitaji katiba mpya ?!!![emoji15][emoji1787][emoji1787]

#Siempre JMT[emoji120]
#Katiba Iliyopo Inatosha [emoji106]
Mbona mnaogopa sana katiba mpya..?kwani shida nini hasa?

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nilivyosikia waandamanaji nikajua mitaa flani imefungwa huko US,kumbe wabwia unga kadhaa tu.
Na wewe akirudi beba bango andika anaupiga mwingi mjikusanye hapo jnia...its a free world kila mtu ana haki ya kusema kile ambacho anaona kinafaa kikubwa hajavunja sheria.

By the way watu wakihitaji katiba mpya mbona hua mnakasirika sana...shida nini?

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom