Watanzania waandamana katika Ubalozi wa Tanzania Nchini Marekani
Mbona Wachovu sana sura zao

Maisha yamewapiga si warudi tu Tanzania
Gharama ya peni 1 iliyotumika pale ni sawa na milo yako 15, kitendo cha kwenda pale amepoteza kama tsh laki 3, lile jiji wee aacha tu,
 
Kwa lugha iliyotumika kwenye mabango Diaspora walilenga hadhara na media ya Washington DC au Samia, utawala wake na Watanzania wa Nachingwea ?
 
Acha kupandikiza woga, arudi bongo kuna lipi la maana?

wewe mbona uko bongo wakati hakuna la maana.

Ndugu yangu Tindo tuipende nchi yetu na tuipiganie hata kama kuna mambo sio rafiki, lakini ndio Taifa letu lazima tulipende na kuonyesha fahari kuzaliwa hapa..
 
Issue sio kudai katiba mpya bali Je hao wanaodai katiba mpya wanayaishi yaliyopo kwenye katiba ya zamani na wako tayari kuyaishi wanayoyataka kwenye katiba mpya..

Je hao tunaodai Katiba mpya kuna siku tuliandamana kudai vipengele muhimu vilivyoko kwenye katiba ya zamani vyenye manufaa ya moja kwa moja kwa raia vifanyiwe kazi?...

Tunaodai katiba mpya na kuandamana huko na kule, kuna siku tuliandamana kudai wahujumu uchumi washughulikiwe kwa mujibu wa katiba hii iliyochoka ambayo inakataza uhujumu uchumi, tulishawahi kuandamana kudai elimu bure na usawa kwenye elimu kwa watu wetu, tulishawahi kuandamana kudai huduma bora za afya kila mahala?....
 
Walioko USA wanaandamana kudai katiba mpya kama hitaji la Watanzania, Je wanajua kuwa Watanzania huku wanalalamika maisha magumu? kwanini hawaandamani huko USA kwa mabango wakimwambia Mama maisha magumu kwa Ndugu zetu tafuta namna ya kulegeza Kamba?..
 
SIPINGI UWEPO WA KATIBA MPYA....BALI NAAMINI SIO WAKATI WAKE SASA..

KWASASA TUJIKITE KWENYE UTEKELEZAJI WA KWELI WA HII ILIYOPO KIFUNGU KWA KIFUNGU NA BAADA YA KUITEKELEZA KWA ZAIDI YA 80% tunaweza sasa kudeal na haya mengine..
 
SIPINGI UWEPO WA KATIBA MPYA....BALI NAAMINI SIO WAKATI WAKE SASA..

KWASASA TUJIKITE KWENYE UTEKELEZAJI WA KWELI WA HII ILIYOPO KIFUNGU KWA KIFUNGU NA BAADA YA KUITEKELEZA KWA ZAIDI YA 80% tunaweza sasa kudeal na haya mengine..
Wakati wa Katiba mpya ni lini? Hii ya Sasa haitekelezeki.maana imejengwa juuu ya utashi na uwezo wa mtu mmoja.
 
wewe mbona uko bongo wakati hakuna la maana.

Ndugu yangu Tindo tuipende nchi yetu na tuipiganie hata kama kuna mambo sio rafiki, lakini ndio Taifa letu lazima tulipende na kuonyesha fahari kuzaliwa hapa..
Kuipenda nchi haimaanishi uipende serikali.
 
Vitisho vya namna hii vinakaribia mwisho wake.

Msidhani mtaendelea kuwatisha watu milele...
Usihangaike na hawa chawa...si ajabu wakawa ni policcm wanalainisha mazingira ya kubaka demokrasia haswa kwenye watu kudai mambo ya msingi.

Katiba mpya, tume huru ya uchaguzi pamoja na uhuru wa kufanya siasa ni haki ya mtanzania yoyote.
Hakika Siku zao zinahesabika.
 
wewe mbona uko bongo wakati hakuna la maana.

Ndugu yangu Tindo tuipende nchi yetu na tuipiganie hata kama kuna mambo sio rafiki, lakini ndio Taifa letu lazima tulipende na kuonyesha fahari kuzaliwa hapa..
Ruhusuni wenyewe mawazo mbadala wayatoe, hapo ndio mtajua madhaifu yenu
 
Nilimwambia mama, sio kila kitu cha jpm ni cha kukipotezea. Ukatili kwa hawa wanaojiita 'wapinzani' ni jambo muhimu sana na lazima ,kiongozi mkuu wa nchi hii...
Bado nafasi ipo nenda kazikwe karibu cc zitto,😀😀😀
Kila kitu oooh fanya km JPM kwani Rais Samia hana style yake ya uongozi??? Km mnampenda Sana huyo mtu wenu hebu fateni kaushauri ka zitto😀😀😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom