Watanzania Wakesha Makanisani Wakibubujikwa Machozi Kumuombea Heri Rais Samia

Kenge wahed.
 
uhakika wa Tanzania ya umoja, amani na utulivu wa wananchi ni Comrade Dr. Samia Suluhu Hassan, mwenyekiti wa CCM Taifa, na Rais wa Jamuhuri Ya Muungano wa Tanzania.

Asanti wananchi kwa maombi kwa Mungu juu ya kiongozi huyu na kipenzi cha waTanzania Dr.Samia Suluhu Hassan.

well done 👍
 
Acha fix, mbona wengine tumekesha bar tunakula vyombo.
 
Daaahh ngoja nisikoment mie...
Nasikitika kwann nimeongeza vews kwenye huu uzi ....
 
Wewe ni maskini

Maskini wa kufikria mpaka kipato
 
Kilio na manung'uniko ya wengi ni dua, ole aongezaye tozo kuwakomoa wananchi, dua haitamuacha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…