Watanzania Wakesha Makanisani Wakibubujikwa Machozi Kumuombea Heri Rais Samia

Unawakilisha mbumbumbu wenzako waliobubujikwa na machozi 🚮
 
Hivi utaliowa kweli hizo posho za uchawa...? Bila kububujikwa.....huwezi kuandika makala zako za kichawa
 
Yaani watanzania waache kuombea mambo yao binafsi,wamuombee huyo mtu wako,watanzania hatuna upumbavu huo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…