Watanzania wana bidii ya maombi sana, bila dhana ya Mungu watakosa maana ya maisha kabisa

Watanzania wana bidii ya maombi sana, bila dhana ya Mungu watakosa maana ya maisha kabisa

Katika mkasa wa jengo la Kariakoo kuanguka nimewasikia watu wengi wanaotegemea watu kutolewa au ambao waliangukiwa na jengo wakiomba na kushukuru Mungu, Allah au Yesu katika mkasa huo mkasa. Kila posti niliyosoma mtandaoni, kila clip au maongezi ya kila mtu aliyefukuliwa huwezi kuyakosa haya maneno(Maombi, Mungu, Allah, Ya Rabbi, Alhamdulillah na Yesu)

Hakika Watanzania dini imewakaa, ni viumbe wa kidini, bila dini na mungu sidhani kama wana tumaini lolote au muelekeo wowote wa maisha.
Hamna kitu mkuuu. Hayo ni maneno tu yamewakaa mdomoni ila ki uhalisua ni watu wa hovyo wasioendana na hizo dini. Mimi mpaka sasa sijakutana na kijana anaeiishi dini.Wewe unamjua.
Mi mwenyewe ukinipigia tu simu ntakwambia asalam aleikum ila mwaka wa 5 sijahgusa msikitini.
 
Hao wote wanadawa na kombe wamezifunga viunoni kuita wateja. Usisumbuke na watu wanaotaja taja dini.
Wengine huwa tunachapa mkwaju huku wakiita yesu na maria hasa mademu wa kichaga.
 
Pia kifo hakikwepwi kwa maombi.
Lakini bado sio sababu ya kuwafanya watu wasiombe.
Na hii mlionayo ni wrong mindset. Prayers and religion are for making the relationship with your creator be in a good order. That is the primary reason.
 
Who cares kama ni nadra au hata yupo mmoja au wawili..., Sababu Imani ni Imani kwahio anayeamini hizi zilizokuja na Merikebu na anayeamini hizo za mababu zetu wote ni Imani tu... Na kama nilivyosema sababu hizi ni confidence booster hata ukiamini Chale au Hirizi uliyovaa vyote vitakusaidi kwa kukupa Confidence kuamini kwamba kuna Super Power inakusaidia (Sasa tukitaka tuangalie authenticity ya hizo imani..., that's a different ball game)
Mkuu, mimi nilitaka ufafanuzi tu juu ya mizimu ya mababu na hasa imani za asili.......na kama unavyosema imani ni confidence booster.....Kwa nini Waafrika wamezipoteza kwa ukubwa kiasi hicho.......Na huwa najiuliza kadri ya miaka inavyokwenda zitakuwa ni hadithi tu! Na siono hata dalili ya imani za kuletwa na marikebu kupoteza mvuto na na kupotea.....
 
Na ninyi mnaotumia kingereza kwenye post zenu humu mkome, wajinga.
Bado mnaonesha Ni jinsi gani mlivyo mazwazwa. Mnatumia lugha za kigeni ili tujue mmesoma au! Hiyo Ni lugha tu. Bahati mbaya sana ukishakuwa msomi mzuri Tanzania alafu na ukajua hako kakiingereza chako inakuwa ndio ngao yakutambia wajinga mkasahau kwamba kwa wenye lugha yao unaonekana fala mzuri tu kutokana na rafudhi 😃 huna tofauti na mzenji kwa rafudhi ya kiswahili hapa tz, watu watakuenjoy tu, mwenyewe unajiona umemaliza kila kitu.
Wasomi wetu Ni kwaajili ya nchi yetu.
Unaongea kitu gani wewe
 
Unaongea kitu gani wewe
Ndiyo namaanisha coz watz wapo bize kuponda dini za kigeni wakasahau wameshakuwa wahanga na vilema wa lugha za kigeni maneno mawili matatu kingereza hawaeleweki, Ni ujanja au ushamba huo.
Tutajua Kama Ni msomi au unaakili nyingi kutokana na hoja na sio kingereza.
 
Ndiyo namaanisha coz watz wapo bize kuponda dini za kigeni wakasahau wameshakuwa wahanga na vilema wa lugha za kigeni maneno mawili matatu kingereza hawaeleweki, Ni ujanja au ushamba huo.
Tutajua Kama Ni msomi au unaakili nyingi kutokana na hoja na sio kingereza.
Kwani wapi mtu kaongea kingereza akasema kutokana na hilo yeye ana akili nyingi?🤔
 
Kwani wapi mtu kaongea kingereza akasema kutokana na hilo yeye ana akili nyingi?🤔
Kwa hiyo wanakuwa wanamaanisha Nini? Kwaupande wangu naona Ni hivyo hata huku mtaani hasa walevi Sasa sijui wa jf pia Ni walevi!
 
Kwa hiyo wanakuwa wanamaanisha Nini? Kwaupande wangu naona Ni hivyo hata huku mtaani hasa walevi Sasa sijui wa jf pia Ni walevi!
Kwa hyo watu wakiongea kingereza wewe huwa unachukia kabisa ?
 
Kwa hyo watu wakiongea kingereza wewe huwa unachukia kabisa ?
Moja ya vitu ambavyo sivipendi Ni kingereza na sababu za kutoipenda lugha hii zipo lukuki ambazo kimsingi zinaleta athari kubwa kwetu kuliko faida zake.
 
Hahahaa Kuna shombo moja huwa inakera, unakuta mtu kutoka usukumani au bukoba alafu anajikuta kwenye lafudhi ya kizaramo! Hahaha! Alafu ipo shombo nyingine unakuta kijana wa kitanzania anajikuta kwenye lafudhi ya kimarekani duh!
Kwa hyo watu wakiongea kingereza wewe huwa unachukia kabisa ?
 
Hahahaa Kuna shombo moja huwa inakera, unakuta mtu kutoka usukumani au bukoba alafu anajikuta kwenye lafudhi ya kizaramo! Hahaha! Alafu ipo shombo nyingine unakuta kijana wa kitanzania anajikuta kwenye lafudhi ya kimarekani duh!
Una matumizi mabaya ya chuki yaani una ufujaji wa chuki😂😂
 
Zile zama za upumbavu wa mwafrika wa kulishwa dini na waarabu na wazungu ili wapore mali zinaelekea mwisho, miaka 50 ijayo huu uchafu utakuwa ushafutika kabisa duniani na imebaki historia.

Vijana na watoto wa kisasa wanahoji na kutaka majibu sio babu na baba zetu waliopokea tu, unaambiwa we pigana tu na risasi ikipigwa we sema maji itayeyuka unafuata na mawe yako ya manati, na wengine wanapewa shanga wanalipa kwa almasi na dhahabu, nani wa kisasa atakubali upumbavu huu?

Eti ukifa na imani utapewa mabikra 70 yani walijua waafrika tunapenda kula na kulalana tu so wakisema kule mbele kuna kulalana tu bila kufanya kazi na kupewa wanawake wengi miafrika itafurahia tu kama mazuzu na kufuata, na sadly ikawa. Wakasahau kusema na wanawake wao watapewa nini? Yahakuwa hadithi tu muda si mrefu watoto washatambua wazazi wao walikua na wanaendelea kuwa viazi tu kila siku.
 
Mungu yupo ndugu Hilo halina ubishi, haushangai hata taifa la wajanja zaidi marekani wanamuamini Mungu wewe ni Nani upinge,in God we trust

KWa hiyo kwa wamarekani hakujawahi kuwa na wajinga na wapumbavu? Marekani ya 1776 sio ya sasa
 
Mkuu, mimi nilitaka ufafanuzi tu juu ya mizimu ya mababu na hasa imani za asili.......na kama unavyosema imani ni confidence booster.....Kwa nini Waafrika wamezipoteza kwa ukubwa kiasi hicho.......Na huwa najiuliza kadri ya miaka inavyokwenda zitakuwa ni hadithi tu! Na siono hata dalili ya imani za kuletwa na marikebu kupoteza mvuto na na kupotea.....
Kupata confidence / kuamini kwamba ulichopewa kinafanya kazi lazima ukiamini kwanza (Ndio maana wakati wa Vita vya dunia kulikuwa hakuna pain killers za kutosha, watu wakawa wanapewa punje za sukari na kudanganywa ni pain killer na zilifanya kazi) sababu hawakujua na waliamini..., Sasa wangekuwa wanapewa kijiko cha sukari kutoka kwenye mfuko ulioandikwa sugar, zisingefanya kazi...

Imani zetu za zamani ziliuliwa kutokana na hawa waliokuja na imani zao kuwarubuni waliokuwepo kwamba ni za kipumbavu, kishenzi na kipagani (hadi wakaja na vitabu vinavyosupport maneno yao na hadhithi kebe kebe in support) Kwahio zikakosa mvuto na kuaminiwa....
 
Back
Top Bottom