Watanzania wanafiki sana. Tazama sasa wamewatelekeza Mwabukusi na Dkt. Slaa

Watanzania wanafiki sana. Tazama sasa wamewatelekeza Mwabukusi na Dkt. Slaa

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Wakati Mwabukusi na Dr. Slaa wakijiapiza kusimama kidete kulinda mali za Tanganyika, watu wengi sana waliwaunga mkono na kuwashabikia.

Lakini tangu walipotiwa nguvuni hakuna hata mtanganyika mmoja aliyeonesha nia ama aliyetoa tamko kali kupinga ukamataji huo. Yaani kundi lote lile la watanganyika lililokuwa likiwashabikia hakuna hata mmoja aliye tayari kufa kwa ajili yao?

Nilitegemea watu kadhaa wangekuwa washaleta kash-kashi polisi na kuvunjwa miguu kwa mabomu.

Watanzania ni wanafiki sana.
 
All in all serekali haipinduliwi kirahisi kiasi hicho sometimes ni maneno tu yakuleta attention huyo hata MMJ getini kafika? Hao wataumiza vichwa wasiolewa.
Kupendekeza Serikali ipinduliwe kwenye vyombo vya habari kama sio kosa basi hii nchi inahitaji sheria mpya.

Tufanye siasa ila sio kupendekeza Mapinduzi ya kijeshi
 
Kwakweli sijui kwanini alikuwa akiripoka mambo ya uhaini yeye angejikita kwenye mikataba ya bandari

Mwacheni mzee akabebe mtondoo kautafuta mwenyewe.

Sioni kesi yoyote kwa Mdude na Mwambukusi.
Wananchi ndio wenye nchi wanauwezo wakuipindua serekali na kuiweka serekali wanayoitaka kwa maandamano ndicho alimanisha yuko sawa.
 
Kupendekeza Serikali ipinduliwe kwenye vyombo vya habari kama sio kosa basi hii nchi inahitaji sheria mpya.

Tufanye siasa ila sio kupendekeza Mapinduzi ya kijeshi
Sahihi kabisa mkubwa na ndiyo maana kwa huyo mimi sijashtuka lolote, kuna watu wangeibuka na hiyo kauli na ninaowafahamu vyema wenye ushawishi katika taasisi pekee iliyolengwa unaweza shituka siyo hao. Mapinduzi sijui kayachukulia vipi labda yule mzee? Mmh acha tukae kimya
 
Wala usidhani kuwa wametelekezwa, tutawachangia fedha za kutosha na kesi hizo za michongo zitabuma!
Mkamatane basi na Prof.Anne Tibaijuka ambaye amashaanika uko Duniani "uzuzu" wa Mama yenu kwenye mikataba ya Bandari.
 
Back
Top Bottom