mwengeso
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 9,227
- 6,670
Tafsiri ya kauli: Serikali kupinduliwa inaweza pia kuwa na maana ya kuondolewa madarakani kwa njia ya kidemokrasia ama kwa kura au kwa Ibara ya 46A ya Katiba ya JMT (1977).All in all serekali haipinduliwi kirahisi kiasi hicho sometimes ni maneno tu yakuleta attention huyo hata MMJ getini kafika? Hao wataumiza vichwa wasiolewa.