Watanzania wanafiki sana. Tazama sasa wamewatelekeza Mwabukusi na Dkt. Slaa

Watanzania wanafiki sana. Tazama sasa wamewatelekeza Mwabukusi na Dkt. Slaa

kauli za uchochezi na kujenga chuki, Rwanda walianzaga hivi hivi na kanisa ilihusika kupandika chuki mwishowe wakaingia kwenye mauaji ya kimbari. Neno huumba, kumbuka kila kitu kiliumbwa kwa neno ikiwa pamoja na dunia yenyewe.
Katika hilo sikupingi kabisa mkuu.
 
Wakati Mwabukusi na Dr. Slaa wakijiapiza kusimama kidete kulinda mali za Tanganyika, watu wengi sana waliwaunga mkono na kuwashabikia.

Lakini tangu walipotiwa nguvuni hakuna hata mtanganyika mmoja aliyeonesha nia ama aliyetoa tamko kali kupinga ukamataji huo. Yaani kundi lote lile la watanganyika lililokuwa likiwashabikia hakuna hata mmoja aliye tayari kufa kwa ajili yao?

Nilitegemea watu kadhaa wangekuwa washaleta kash-kashi polisi na kuvunjwa miguu kwa mabomu.

Watanzania ni wanafiki sana.

Kuwategemea watanzania kuamka kama mvua ni jambo la kushangaza sana.

Kumbe wewe umo kwenye kundi la watanzania wanafiki hao?

Vyama vya siasa kuwaongoza watu kwenye hayo viko wapi?

Wako wapi kina Odinga na azimio la Umoja?

Mtawalaumu sana watanzania ...
 
Wakati Mwabukusi na Dr. Slaa wakijiapiza kusimama kidete kulinda mali za Tanganyika, watu wengi sana waliwaunga mkono na kuwashabikia.

Lakini tangu walipotiwa nguvuni hakuna hata mtanganyika mmoja aliyeonesha nia ama aliyetoa tamko kali kupinga ukamataji huo. Yaani kundi lote lile la watanganyika lililokuwa likiwashabikia hakuna hata mmoja aliye tayari kufa kwa ajili yao?

Nilitegemea watu kadhaa wangekuwa washaleta kash-kashi polisi na kuvunjwa miguu kwa mabomu.

Watanzania ni wanafiki sana.
siyo wanafiki wana akili bro huwezi mtetea mtu aliyekurupuka tu kijinga kuanza kutukana mamlaka hiyo nguvu anaipata wapi? wacha wavune walichoikipanda hakuna wakuwa tetea nani akavunjwe miguu barabarani kisa haomburula?
 
Hao watatoka wala hakuna kesi hapo ni uonevu wa kijinga tu
ila hawatarudia uropokaji wa kijinga, mtu mzima lazima ujiheshimu, tumia njia za kistaarbu kufikisha ujumbe utaeleweka. Watu wazima lazima tuwe mfano wa vijana. Sasa babu km Slaa kauli zile ni za mtu wa kaliba yake kweli? Hivi hata watoto wake wanamwelewa kweli? Hata Nelson Mandela hakuwa vile
 
hao wanataka wenyewe nania aliwaambia watoke hadharani kutoa maneno ya kasshfa??wahaini hao wacha waonje joto ya jiwe kwanza wakitoka wamejifunza
 
Wakati Mwabukusi na Dr. Slaa wakijiapiza kusimama kidete kulinda mali za Tanganyika, watu wengi sana waliwaunga mkono na kuwashabikia.

Lakini tangu walipotiwa nguvuni hakuna hata mtanganyika mmoja aliyeonesha nia ama aliyetoa tamko kali kupinga ukamataji huo. Yaani kundi lote lile la watanganyika lililokuwa likiwashabikia hakuna hata mmoja aliye tayari kufa kwa ajili yao?

Nilitegemea watu kadhaa wangekuwa washaleta kash-kashi polisi na kuvunjwa miguu kwa mabomu.

Watanzania ni wanafiki sana.
Ufanye upuuzi mwenyewe harafu uje kutegemea walete kashkash? Watanzania hawana ujinga huo

View: https://twitter.com/CloudsMediaLive/status/1691136022455660550?t=IYMzLKoApLIBEsb-vgmk2Q&s=19
 
Mpuuzi sana huyu Slaa ulipewa ubalozi ulikuwa kimya umepigwa chini unatafiuta mtaji wa siasa wa kuingia nao kwenye uchaguzi unamtisha Rais inatakaje.
 
Malipo ya kuwapigania watu weusi ni kifo.

Watu weusi "Africans" sio wa kuwatetea wala kuwapigania haki zao.

Ni kuwa acha wateseke hadi wafe kabisa.

Ukikuta Mtu mweusi na Nyoka wanapigwa muokoe Nyoka [emoji216].

Uafrika hasa utanzania ni laana.



Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Malipo ya kuwapigania watu weusi ni kifo.

Watu weusi "Africans" sio wa kuwatetea wala kuwapigania haki zao.

Ni kuwa acha wateseke hadi wafe kabisa.

Ukikuta Mtu mweusi na Nyoka wanapigwa muokoe Nyoka [emoji216].

Uafrika hasa utanzania ni laana.



Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
kama ni laana hamia burundi tyuache na nchi yetu tule mema ya nchi
 
Wakati Mwabukusi na Dr. Slaa wakijiapiza kusimama kidete kulinda mali za Tanganyika, watu wengi sana waliwaunga mkono na kuwashabikia.

Lakini tangu walipotiwa nguvuni hakuna hata mtanganyika mmoja aliyeonesha nia ama aliyetoa tamko kali kupinga ukamataji huo. Yaani kundi lote lile la watanganyika lililokuwa likiwashabikia hakuna hata mmoja aliye tayari kufa kwa ajili yao?

Nilitegemea watu kadhaa wangekuwa washaleta kash-kashi polisi na kuvunjwa miguu kwa mabomu.

Watanzania ni wanafiki sana.
Hakuna wananchi waliowaunga mkono.Ndio ujuwe kuwa hawa ni wavunjifu wa amani.Hata Mwalimu Nyerere,hakuwaonea aibu wavunjifu wa amani
1.Kuna wagonjwa
2.Wazee
3.Wanawake
4.Watoto
5.Wajawazito
Kukiingia vurugu wote hawa watateseka.
 
kama ni laana hamia burundi tyuache na nchi yetu tule mema ya nchi
Mema ya nchi unayajua wewe?

Ninyi kazi yenu kula Rushwa na Kodi za wananchi wanyonge halafu mnasema mema ya nchi.

Damn Fool.

Watu kama wewe mnadhihirisha ujinga na laana mliyo nayo.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Mema ya nchi unayajua wewe?

Ninyi kazi yenu kula Rushwa na Kodi za wananchi wanyonge halafu mnasema mema ya nchi.

Damn Fool.

Watu kama wewe mnadhihirisha ujinga na laana mliyo nayo.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
yaani kama unateseka ni wewe pekeyako watu tunakula mema ya nchi bro kwa uhuru zaidi nani alikuambia kujiingiza kwenye huo ujinga nwenu nenda kawakomboe wenzako walioenda front wewe si unabweka amukiwa nyuma ya keyboard?
 
Hakuna wananchi waliowaunga mkono.Ndio ujuwe kuwa hawa ni wavunjifu wa amani.Hata Mwalimu Nyerere,hakuwaonea aibu wavunjifu wa amani
1.Kuna wagonjwa
2.Wazee
3.Wanawake
4.Watoto
5.Wajawazito
Kukiingia vurugu wote hawa watateseka.
kwakweli yaani
 
Wakati Mwabukusi na Dr. Slaa wakijiapiza kusimama kidete kulinda mali za Tanganyika, watu wengi sana waliwaunga mkono na kuwashabikia.

Lakini tangu walipotiwa nguvuni hakuna hata mtanganyika mmoja aliyeonesha nia ama aliyetoa tamko kali kupinga ukamataji huo. Yaani kundi lote lile la watanganyika lililokuwa likiwashabikia hakuna hata mmoja aliye tayari kufa kwa ajili yao?

Nilitegemea watu kadhaa wangekuwa washaleta kash-kashi polisi na kuvunjwa miguu kwa mabomu.

Watanzania ni wanafiki sana.
Huna jinsia wala uraia wa kueleweka.
 
Kajala na harmonise sakata lao vp limeishia wapi..
Mondi kamjibu nini alik8ba aise
Wapi kuna show ya amapiano na singeli twende
Wasafi festivo lini inakuja dar

Ova
 
Kajala na harmonise sakata lao vp limeishia wapi..
Mondi kamjibu nini alik8ba aise
Wapi kuna show ya amapiano na singeli twende
Wasafi festivo lini inakuja dar

Ova
safi sana hayo mengine tuwaachie wavimba vichwa
 
Back
Top Bottom