Hivi nchi inapinduliwa na watu ambao ugumu tunaoouona ni kutokusikia Mama akisema kuhusu huo mkataba umekuaje kuaje😂😂.. are we serious.
Kwa Utanzania wangu na umri wangu. Hmma mpuuzi yoyote anayeweza , mwenye sababu za kutosheleza , Mwenye ushawishi hata mwenye Uwezo, wa kupindua serikali iliyopo madarakani kwa sababu za kipuuzi kama tunazojadili sikuhizi.
Amoung many people hamna yyte anayeelewa chochote kuhusu hiko kinachozungumwa kuhusu mikataba wengi ni maneno tu ya mitandaoni au magazetini.
Tufanyeni vitu vya maana aisee. Maisha yanatuhitaji, Familia, Sehemu za ibada, Marafiki, starehe. Zinatuhitaji sana Ndugu zangu. Huu upuuzi tunaouintertain hauna mbele wala nyuma. Na HATUWEZI FANYA LOLOTE maana hamna chochote cha maana. Hamna cha bandari wala nini sijui kuuzwa. Tushtuke.
Jambo la Mwisho, hizi kauli sijui watanganyka hamna aliyehusika hata kugoma sijui au kuvunjwa miguu, sijui kamtetee Huyu kamtetee yule, tunaowaponza ni wajinga wachache, wanaoongea wapo zao wanacomment humu na kuwasha vpn tu. Nyie hamiendi kugoma vituoni huko kuwaokoa hao wakina slaa.
Nani Humu anayesema tupo nao pamoja maraa oooh tunaenda kugoma mktaba, Nani amewahi kunyanyua miguu yake kwenda kufanya maandamano popote pale?
Anyenipinga anyooshe kidole.