Au s/gang wako nyuma yake?View attachment 2717577
Huyu Mzee kajipiga pini mwenyewe hizi kauli
Kwakweli sijui kwanini alikuwa akiripoka mambo ya uhaini yeye angejikita kwenye mikataba ya bandariAu s/gang wako nyuma yake?
Kwahiyo huu ndiyo ushahidi utakaotumika kuwatia hatiani waliokamatwa??View attachment 2717577
Huyu Mzee kajipiga pini mwenyewe hizi kauli
All in all serekali haipinduliwi kirahisi kiasi hicho sometimes ni maneno tu yakuleta attention huyo hata MMJ getini kafika? Hao wataumiza vichwa wasiolewa.View attachment 2717577
Huyu Mzee kajipiga pini mwenyewe hizi kauli
Hio video inaweza kutumika kama ushahidi kama itabainika kuwa ni ya kweliKwahiyo huu ndiyo ushahidi utakaotumika kuwatia hatiani waliokamatwa??
Kupendekeza Serikali ipinduliwe kwenye vyombo vya habari kama sio kosa basi hii nchi inahitaji sheria mpya.All in all serekali haipinduliwi kirahisi kiasi hicho sometimes ni maneno tu yakuleta attention huyo hata MMJ getini kafika? Hao wataumiza vichwa wasiolewa.
Wananchi ndio wenye nchi wanauwezo wakuipindua serekali na kuiweka serekali wanayoitaka kwa maandamano ndicho alimanisha yuko sawa.Kwakweli sijui kwanini alikuwa akiripoka mambo ya uhaini yeye angejikita kwenye mikataba ya bandari
Mwacheni mzee akabebe mtondoo kautafuta mwenyewe.
Sioni kesi yoyote kwa Mdude na Mwambukusi.
Sahihi kabisa mkubwa na ndiyo maana kwa huyo mimi sijashtuka lolote, kuna watu wangeibuka na hiyo kauli na ninaowafahamu vyema wenye ushawishi katika taasisi pekee iliyolengwa unaweza shituka siyo hao. Mapinduzi sijui kayachukulia vipi labda yule mzee? Mmh acha tukae kimyaKupendekeza Serikali ipinduliwe kwenye vyombo vya habari kama sio kosa basi hii nchi inahitaji sheria mpya.
Tufanye siasa ila sio kupendekeza Mapinduzi ya kijeshi
Ngoja sasa akaelezee vizuri ni wananchi gani haoWananchi ndio wenye nchi wanauwezo wakupindua serekali na kuweka serekali ndicho alimanisha yuko sawa.