Watanzania wanaishi Nchi ya Uchumi wa Kati?

Uchumi wa kati bila udikiteta ndiyo hunoga, kuwa na uchumi wa kati huku ukikandamiza demokrasia lazima ushuke kurudi kwenye uchumi wa chini tena, bila demokrasia hakuna maendeleo yatadumu
 
Nini kazi ya upinzani? Kazi ya upinzani ni kupinga mapungufu kukosoa Serikali iliyopo madaktari , kazi ya upinzani siyo kufagilia maigizo ya CCM.
 
 
Ulitaka tufanyeje maana per capita income ndiyo inayotumiwa kupima hizo nchi sasa ulitaka waseme siyo. Hata hizo nchi zilizoendelea nazo hupima hivyo hivyo.
 
Tatizo la Upinzani wa nchi hii huwa hakubali lolote kwao kila Kitu ni kukosoa tu!!

Zitto Kabwe ndio ulibaki mpinzani Pekee niliekukubali Sana Ila nilikuona mtu ambae huna jema siku ya kuvunjwa Bunge la TZ kwà mwaka 2015-2020, Ile siku unahojiwa ukadai et Rais wa awamu ya 3 na 4 walihutubia Bunge Mara 3 Hadi 4 ndani ya mhula mmoja Sasa amekuja Rais awamu ya 5 kahutubia Mara mbili tu na ukasisitiza et hiyo ni ishara kuwa mihimili hiyo miwili haina mahusiano mazuri kwà awamu hii, wakati hapo kabla niwewe ndio ulikuwa unatuaibisha kuwa Bunge halina maamuzi linatekeleza Yale yote yanayoamuliwa na Rais Mara Mhimili wa bunge upo chini ya Rais Sasa Mimi nikawa nahoji hivi Kama hiyo mihimili miwili haina mahusiano mazuri yaan haisikilizani iweje leo Sasa Rais aingilie majukumu ya Bunge na Bunge hilohilo unalolalamikia halina mahusiano mazuri na Rais litii maagizo Toka kwà Rais!!

Kimsingi hata hapo tulipofikia sio HABA tushukuru kwà hiki kidogo tulichonacho!!!
 
Nchi haina maendeleo na pato kwa mwananchi wa chini bado linahesabika kwenye Nchi masikini sana Duniani, misaada itakatwa kwani Tanzania imeonekaa ipo kwenye uchumi wa kati haihitaji msaada
Ukiwa akili ya kutegemea misaada kila kukichaa hutakaa uendelee..jitahidi sana kuishi kwa kujitegemea utasonga mbele zaid..achana na akili za kimaskini..kuishi kwa kutegemea mifuko ya watu..tegemea mfuko wako mkuu..
 
Zityo ni mpotoshaji, jalitakii mema taifa, anatumia karama yake vibaya, Hana tofauti na akina tiputipu.

Uzuri sikuhizi kuna order, amuulize lisi. Alipotosha akapewa dozi

Mtu mmoja akaathirika Kwa manufaa ya taifa
Halijaanza leo. Yesu alitundikwa msalabani baada ya farisayo maarufu kusema mtu mmoja lazima afe Kwa ajiri ya ukombozi wa taifa


Mawazo binafsi nikiwa nimetumia kileo.
 
Acha ngonjera mkuu..jibu hoja za mhe.zitto..hv nyie watu wa ccm mkoje??
 
Only Great Thinkers 'll understand this article.

Praising team a.k.a utopolo 'll never understand this since their frontal lobes are shrunk and sunk.
 
Amepotosha wapi?? Mbona unatuletea mipasho
 
Mm naamin tupo kweny Uchum w Kati sabab naona Wana JF n weng xn ckuiz hii n kumaanisha w2 wengi wna Milik xim janja na wana hela za Kununua MBs xo k2 ni kati qwel
 
Mkuu pole sana!
 
Hawa ni wachumia tumbo Rais Magufuli ameziba rushwa na ufisadi waliozoea kuiba ndio maana wanapiga kelele
 
Hujaeleweka hata kidogo, nchi nying xinahagaika kufikia hatua hii sijuw we w ni nani upinge hatua nzur kama hii
Ameelezea na kufafanua vizuri tu hata mtoto wa shule ya msingi anaelewa.
Wewe utakua umejaza mavi kichwani badala ya ubongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…