Watanzania wanaosoma Urusi huwa wanachezewa akili na Warusi?

Watanzania wanaosoma Urusi huwa wanachezewa akili na Warusi?

Nilikutana na mitambo dizaini hii. Pande za Mwanza Nyegezi alikuwepo mwalimu Ngilangwa pombe ile mbaya. Usafi nil.

Pande za Mazengo Complex alikuwapo mwl Mona Mkali wa biology Dodoma. Sasa huyu ilikuwa hatari zaidi. Wakati wa kipindi tunakwenda kumbeba toka vilinge vya gongo. Tunamweka ubaoni halafu anaanza kufundisha yuko chakari. Mara aanze kutiririka kirusi, yaani ni hatari tu. Alikuwa na uchizi fulani hivi.
 
Mimi ninayo mifano miwili tu. Nahisi lipo tatizo kubwa ambalo limefungiwa macho. Hao wawili waliondoka hapa wakiwa vizuri tu. Wamerudi wote wakiwa punguani.

Mi namfahamu Dr 1 hivi amefanya kazi na baba angu mkoa 1hivi, aliugua kichaa kabisa.
 
we humuoni Lukuvi mana nae alienda huko miaka ya 1970s kwa course ya wiki moja kuchukua certificate ya political science...............VODKA inahusika hapa

haha.. ila hapa kuna ukweli flani.
 
Kuna watu wametangulia kuchangia wametoa point za msingi sn(I appriciate them),,,me nasoma med hapa hapa urusi,,situmii pombe wala sigara,kanisan najua ni lazma nikamsifu na kumtukuza Mungu sbb natambua umhim wa Mungu ktk maisha yng,,Urusi ya Leo kila kitu ni uhuru wako cha msingi usivunje sheria za nchi,,,,pombe na sigara,baridi kali na kujiachia sn na watoto wa kirusi unasahau kilichokuleta na kusahau ulikotoka hv vina play great role kuharib mind ya mtu hakika kabsa,kingne ni ulimbukeni wa cc watanzania kupalamia vitu tu hata usivyovijua ilimradi uonekane na ww tu(mtu kaja hatumii pombe wala sigara ndan ya mwez tu anaanza kutumia,usharobaro mwingi matokeo Yake ndo hayo wanayoyasema watu),,Hapa Russia pombe na sigara bei Yake ni nafuu sn so mtu ana opt kununua pombe wakat mwingne kuliko chakula japo si wote lakn,,,,Russia inataka umpe Mungu nafas ya kwanza ktk maisha yako,,hutatikiswa kamwe na chochote
 
Hongereni wakuu mliosoma Urusi na kujaribu kuelezea sababu zinazowafanya watu wachizike ....na ID zenu pia zimenifurahisha
 
Kuna watu wametangulia kuchangia wametoa point za msingi sn(I appriciate them),,,me nasoma med hapa hapa urusi,,situmii pombe wala sigara,kanisan najua ni lazma nikamsifu na kumtukuza Mungu sbb natambua umhim wa Mungu ktk maisha yng,,Urusi ya Leo kila kitu ni uhuru wako cha msingi usivunje sheria za nchi,,,,pombe na sigara,baridi kali na kujiachia sn na watoto wa kirusi unasahau kilichokuleta na kusahau ulikotoka hv vina play great role kuharib mind ya mtu hakika kabsa,kingne ni ulimbukeni wa cc watanzania kupalamia vitu tu hata usivyovijua ilimradi uonekane na ww tu(mtu kaja hatumii pombe wala sigara ndan ya mwez tu anaanza kutumia,usharobaro mwingi matokeo Yake ndo hayo wanayoyasema watu),,Hapa Russia pombe na sigara bei Yake ni nafuu sn so mtu ana opt kununua pombe wakat mwingne kuliko chakula japo si wote lakn,,,,Russia inataka umpe Mungu nafas ya kwanza ktk maisha yako,,hutatikiswa kamwe na chochote

Nitafutie pen pal jike wa kirusi mkuu.
 
Nimehamasika kwenda Urusi kusoma kutokana na comments za wadau.

Ngoja nifuatilie mambo ya scholarship.
 
mbona makongoro na mwigulu walienda hukona wamerudi poa? ika mako nasikia chapombe sana
 
Maisha ya urusi ni magumu sana na wengi wao wakienda huko wanaendekeza pombe matokea yake ndio hayo. Ujerani huwezi kulinganisha life lake na la urusi, urusi mwanafunzi kulala na njaa ni kitu cha kawaida. Na pombe nchini urusi ni bei rahisi sana kuliko hata maji kwa hio wengi wanashindwa kununua chakula wananunua pombe..
Prove me wrong.. Hata mimi nimehadithiwaa

Umesema ukweli ila hatulali na njaa bei ya chakula ni ya kawaida.
Ukienda supermarket ukanunua vyakula vya nafaka vya huku kwetu ukajipikia utakula mfno tambi makaroni unga wa mahindi viazi vitamu na mchele pia mapaja ya kuku bei rahisi sana
 
Dah ...hii ni kweli kabisa hata mimi kuna watu 3 nawafahamu...wamerudi na hali mbaya sana ..mmoja kati ya hawa ni kichaa...alikua anapanga mawe pale kwenye junction ya morogoro road na bibi titi, ana phd.

Sio ukweli ila kuna kaukweli fulani.

Kupata stress za maisha ni rahisi sana na kudata huko.
Mbona mie nimerudi ila nipo poa pia kuna marafiki zangu ni lecturers vyuo mbalimbali hapa bongo wapo vizuri sema ni walevi mie pombe sinywi .
Kule baridi sana wanadai ukinywa pombe mwili unapata joto.
Watt wa sekondari kuvuta fegi kawaida.
Wa miaka kama 13 wanavuta.
 
Ata mi nlikua najiuliza mana baba yake mdogo rafki angu alienda kusoma engineering karudi yuko ka chizi kabisa asee

Urusi kuchanganyikiwa ni kawaida life lina stress sana.sema vijana wanaitumia kama daraja la kwenda usa west europe na Scandinavian countries. Ukiwa kule kupata viza ni fasta sana pia usafiri bei ni rahisi kwa ndege
 
inashangaza sn.pia naishangaa s/kali ytu,kwa kua inapoteza pesa nyingi kuwasomesha watu wke
rkn mwosho wa cku hasara.aifanyi uchunguzi,aijiuri kwa nn hyu karudo yko so!ni ttzo kwakweli.roho inauma kupoteza maichinia,maprofesa nk.

Mkifika kule mnafungiwa wageni wote hamchanganyikani na raia wengine kuna jengo maalumu la wageni zen mnafanyiwa vipimo na kupigwa sindano za chanjo mfano kuna moja nilidungwa mgongoni ivi.

Mnapimwa nyama ndani ya pua mdomo kifua xray mnapigwa na huku bongo huwa tumepima na umeenda amref zen pale russian cultural ili mdada wa kirusi akutafsirie majibu kwa kirusi upewe viza ubalozini kwao
 
Ni kweli hata my auncle naye alisoma huko Urusi mambo ya Engeneering miaka ya 70 kaja zake TZ kafanya kazi miaka kadhaa pale wizara ya Ardhi ila akafukuzwa kwa redundancy shauri ya pombe na anasa zake.
Mwaka 83 mara tu baada ya kufukuzwa kazi alichanganyikiwa na siku hz yupo kama ZEZETA.

Umeona serikali yenyewe ndo imemroga bana.
Kuna lecturer fulani pale udsm CoET kupiga lecture lazima azimue kwanza ndo anashusha vitu unamuelewa
 
Back
Top Bottom