Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
Hata na Mimi nawajua wengi waloenda urusi hurudi machize
Ni wanywa pombe ila sio kuwa machizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata na Mimi nawajua wengi waloenda urusi hurudi machize
It comes down to expectation. In Tanzania people expect somebody with a college diploma to behave in a certain way. Now if one compares graduates from local universities or graduates from western institutions of learning to those from Russia or Eastern Europe, the individual could conclude that it is very easier to find twisted minds from Russian graduates than from local or western institutions. Many Tanzanians hold this opinion which might not be true statistically, but it's a narrative that exaggerates the stereotype.
Now instead of defending Russians universities by enumerating your own success, it will help if you explain why some individuals have lost their ways after returning back from Russia or Eastern Europe. Let me start by giving my opinions.
- During the cold war, Russia and other Eastern Europe accepted students from third world countries for political reasons and they made sure these students finish their studies and return to their countries to propagate communism. Some of these students didn't meet minimum requirements for university studies in any fields. What do you expect, if you give student a diploma he doesn't deserve?
- Some students weren't prepare mentally to live in Russia and to compound the matter, the Tanzanian government or many African governments didn't support their students properly. Once a student was shipped to Russia, he was expected to stay there uninterrupted until the end of his study (some studies took six or seven years to finish). That was tough for many students. Many who complain about Russian graduates see their parents, friends, relatives everyday. But they forget that those who went to Russia had to isolate themselves from their family for more than six years.
- When students returned back from their studies, there was no support to integrate these students. As a matter of fact a person with bachelor degree from UDSM or British system of education was regarded superior compared to one with Masters from a Russian University. This frustrated some people.
Duuh basi inategemea mana mm nina bro wangu kasoma mpk master Russia yupo vizuri na anakula shavu now vilevile kuna classmate wangu kamaliza degree now yupo USA army anakula bata
Well said brother, i regret to study in Russia. 7 yrs
Yupo pale akiba jamaa civil anaijua vibaya mno
Hongera sana
Tatizo ulevi na umalaya. Nchi hiyo baridi kali sana
Mkuu una uhakika na maneno yako kuwa serikali haisomeshi watu nje ya nchi?
Kuna watu wametangulia kuchangia wametoa point za msingi sn(I appriciate them),,,me nasoma med hapa hapa urusi,,situmii pombe wala sigara,kanisan najua ni lazma nikamsifu na kumtukuza Mungu sbb natambua umhim wa Mungu ktk maisha yng,,Urusi ya Leo kila kitu ni uhuru wako cha msingi usivunje sheria za nchi,,,,pombe na sigara,baridi kali na kujiachia sn na watoto wa kirusi unasahau kilichokuleta na kusahau ulikotoka hv vina play great role kuharib mind ya mtu hakika kabsa,kingne ni ulimbukeni wa cc watanzania kupalamia vitu tu hata usivyovijua ilimradi uonekane na ww tu(mtu kaja hatumii pombe wala sigara ndan ya mwez tu anaanza kutumia,usharobaro mwingi matokeo Yake ndo hayo wanayoyasema watu),,Hapa Russia pombe na sigara bei Yake ni nafuu sn so mtu ana opt kununua pombe wakat mwingne kuliko chakula japo si wote lakn,,,,Russia inataka umpe Mungu nafas ya kwanza ktk maisha yako,,hutatikiswa kamwe na chochote
Nimehamasika kwenda Urusi kusoma kutokana na comments za wadau.
Ngoja nifuatilie mambo ya scholarship.
Huyo mhadhiri anafundisha upande wa diploma.
Pia huwa kuna madaktari wanalewa ndo wanaishika vizuri mikasi tayari kwa upasuaji
Ya pazdravayu haroshowo zchizn.
Kagda Vwi virunusi damoi.
Ya zdesi
Nazungumzia watanzania waliosoma Urusi kwakuwa ni hao ambao ninawafahamu vizuri pengine na wa nchi nyingine wapo hivyo pia lakini sifahamu.
Kikubwa ni kwamba wasomi wengi waliosoma nchini Urusi wakirudi na wakarudi nchini wengi wao huwa wanakuwa hawana akili nzuri, nimefatilia hilo kwa kipindi kirefu sana.
Nina baba yangu mdogo alisoma Urusi kwa kipindi cha kipindi cha miaka saba aliporudi nchini amekuwa mlevi wa kupindukia haeleweki kabisa mambo anayoyafanya wakati alipokuwa akiondoka alishakuwa daktari mzuri tu.
Mwingine ni mjomba wa rafiki yangu wa karibu, yeye siku ambayo mjomba wake anafika airport walimshangaa kwakuwa jinsi walivyomkuta hawakutegemea kabisa alikuwa kama chizi chizi tu na muda huu ninapoandika thread hii mjomba wa rafiki yangu huyu ni kichaa kabisa.
Ni wengi sana ninaowafahamu walienda kusoma Urusi wakiwa na akili nzuri tu na waliporudi wamerudi wakiwa hawana akili timamu kabisa yaani wanakuwa hawaeleweki eleweki kabisa.
Nikawa nafikiria pengine wakifika nchi za watu wanaiga sana tabia ya kunywa pombe kwakuwa wenzetu wa Urusi wanakunywa sana pombe hivyo pombe hizo zinawaathiri nikagundua kuwa sikweli kwakuwa hata Ujerumani ni wanywaji wazuri sana wa pombe lakini watanzania wanaosoma huko hawapo kama ndugu zetu (wengi) walisoma Urusi.
Je? Warusi huwa wanachezea akili za Watanzania? hili tatizo lipo kwa watanzania tu?
inashangaza sn.pia naishangaa s/kali ytu,kwa kua inapoteza pesa nyingi kuwasomesha watu wke
rkn mwosho wa cku hasara.aifanyi uchunguzi,aijiuri kwa nn hyu karudo yko so!ni ttzo kwakweli.roho inauma kupoteza maichinia,maprofesa nk.
Mimi Nafikiria ni Tatizo la Mtu mwenyewe na Sio warusi. Mimi nawaelewa wengi waliosoma na Hivi sasa wanamafanikio ya kutosha nakutajiaa.
1. Kuna Daktari wa Wanawake yuko Mnazi mmoja Zanzibar anaitwa Dr. Juma ambaye hata Muhimbili wanamtumia yeye wiki mara mo anakwenda Muhimbili.
2. Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Zanzibar vile vile Kasoma Urusi Jina Dr. Garu
3. Dr. Talib Ali yeye kamaliza Urusi, kafanya kazi Muhimbili miaka miwili, baadaye kaenda Amerika kasoma na hivi sasa kaanzisha Detal clinik ya kwake mwenyewe karibu na washington nenda inaitwa AVATAR Dental clinic
Na wengi ninawaelewa
4. Mimi mwenyewe nimesoma Urusi, Baadaye nimefanya kazi Tanzania miaka 5, na Hivi sas niko Ujarumani na nafanya kazi kwenye Consulting Company kwa miaka 10 hivi sasa kama Structural Engineer
Tatizo liko kwo wenyewe
Pia huwa wengi wao wanahasiwa..
Ndio Nyie mnaozungumziwa na Mtoa mada.... Machizi...
Mfano uliotoa ni chizi peke yake anayeweza toa mfano usioendana na akili timamu... IQ Ndogo mno... utakuwa Umesomea Urusi wewe kama sikosei...