Watanzania wanaosoma Urusi huwa wanachezewa akili na Warusi?

Watanzania wanaosoma Urusi huwa wanachezewa akili na Warusi?

It comes down to expectation. In Tanzania people expect somebody with a college diploma to behave in a certain way. Now if one compares graduates from local universities or graduates from western institutions of learning to those from Russia or Eastern Europe, the individual could conclude that it is very easier to find twisted minds from Russian graduates than from local or western institutions. Many Tanzanians hold this opinion which might not be true statistically, but it's a narrative that exaggerates the stereotype.

Now instead of defending Russians universities by enumerating your own success, it will help if you explain why some individuals have lost their ways after returning back from Russia or Eastern Europe. Let me start by giving my opinions.


  1. During the cold war, Russia and other Eastern Europe accepted students from third world countries for political reasons and they made sure these students finish their studies and return to their countries to propagate communism. Some of these students didn't meet minimum requirements for university studies in any fields. What do you expect, if you give student a diploma he doesn't deserve?
  2. Some students weren't prepare mentally to live in Russia and to compound the matter, the Tanzanian government or many African governments didn't support their students properly. Once a student was shipped to Russia, he was expected to stay there uninterrupted until the end of his study (some studies took six or seven years to finish). That was tough for many students. Many who complain about Russian graduates see their parents, friends, relatives everyday. But they forget that those who went to Russia had to isolate themselves from their family for more than six years.
  3. When students returned back from their studies, there was no support to integrate these students. As a matter of fact a person with bachelor degree from UDSM or British system of education was regarded superior compared to one with Masters from a Russian University. This frustrated some people.

Kuna kaukweli ila hapo kuwa masters ya urusi anazidiwa na bachelor ya mwingereza .
Sio kweli ni upandikizi wa akili ya mwingereza kuwa elimu yake ipo juu ila sio ukweli
 
Duuh basi inategemea mana mm nina bro wangu kasoma mpk master Russia yupo vizuri na anakula shavu now vilevile kuna classmate wangu kamaliza degree now yupo USA army anakula bata

Huyo classmate wako aliyeko usa alisomea russia nampata mkuu si alizaa na mwanamke wa kirusi ana katoto ka kike.
 
Tatizo ulevi na umalaya. Nchi hiyo baridi kali sana

Ndo maisha ya huko.
Kama hauna demu lazima uwe mtu wa klub za usiku na pombe sana.

Baridi mpaka kuna heater zinatoa au kupuliza hewa ya joto mkuu.
Ulikuwa huko
 
Kuna watu wametangulia kuchangia wametoa point za msingi sn(I appriciate them),,,me nasoma med hapa hapa urusi,,situmii pombe wala sigara,kanisan najua ni lazma nikamsifu na kumtukuza Mungu sbb natambua umhim wa Mungu ktk maisha yng,,Urusi ya Leo kila kitu ni uhuru wako cha msingi usivunje sheria za nchi,,,,pombe na sigara,baridi kali na kujiachia sn na watoto wa kirusi unasahau kilichokuleta na kusahau ulikotoka hv vina play great role kuharib mind ya mtu hakika kabsa,kingne ni ulimbukeni wa cc watanzania kupalamia vitu tu hata usivyovijua ilimradi uonekane na ww tu(mtu kaja hatumii pombe wala sigara ndan ya mwez tu anaanza kutumia,usharobaro mwingi matokeo Yake ndo hayo wanayoyasema watu),,Hapa Russia pombe na sigara bei Yake ni nafuu sn so mtu ana opt kununua pombe wakat mwingne kuliko chakula japo si wote lakn,,,,Russia inataka umpe Mungu nafas ya kwanza ktk maisha yako,,hutatikiswa kamwe na chochote

Mkuu umesema ukweli.upo chuo gani urusi na upo mkoa upi namaanisha jiji la urusi.

Maskava au Saint Peter.

Upo RUDN
 
Nimehamasika kwenda Urusi kusoma kutokana na comments za wadau.

Ngoja nifuatilie mambo ya scholarship.

Kama unataka nitakusaidia kukuambia pa kuanzia uendepo ila nakuuliza unaenda urusi kufanya nn kutafuta elimu au kutembea tu kupiga misele uwaone wadada wa kirusi walivyo wachangamfu ktk nite clubs zao na waejoi au uitumie kama daraja la kwenda mbele zaidi kimaisha kama kuusaja uaraia wa usa Norway uk mana ndo ndoto nyingi za vijana wa kuafrica.
 
mda mwingine mtu ambaye ana elimu hupenda kufanya kitu ambacho wengine wanapinga iliali eti yy ni msomi kwaiyo anajua kila kitu
 
Nazungumzia watanzania waliosoma Urusi kwakuwa ni hao ambao ninawafahamu vizuri pengine na wa nchi nyingine wapo hivyo pia lakini sifahamu.

Kikubwa ni kwamba wasomi wengi waliosoma nchini Urusi wakirudi na wakarudi nchini wengi wao huwa wanakuwa hawana akili nzuri, nimefatilia hilo kwa kipindi kirefu sana.

Nina baba yangu mdogo alisoma Urusi kwa kipindi cha kipindi cha miaka saba aliporudi nchini amekuwa mlevi wa kupindukia haeleweki kabisa mambo anayoyafanya wakati alipokuwa akiondoka alishakuwa daktari mzuri tu.

Mwingine ni mjomba wa rafiki yangu wa karibu, yeye siku ambayo mjomba wake anafika airport walimshangaa kwakuwa jinsi walivyomkuta hawakutegemea kabisa alikuwa kama chizi chizi tu na muda huu ninapoandika thread hii mjomba wa rafiki yangu huyu ni kichaa kabisa.

Ni wengi sana ninaowafahamu walienda kusoma Urusi wakiwa na akili nzuri tu na waliporudi wamerudi wakiwa hawana akili timamu kabisa yaani wanakuwa hawaeleweki eleweki kabisa.

Nikawa nafikiria pengine wakifika nchi za watu wanaiga sana tabia ya kunywa pombe kwakuwa wenzetu wa Urusi wanakunywa sana pombe hivyo pombe hizo zinawaathiri nikagundua kuwa sikweli kwakuwa hata Ujerumani ni wanywaji wazuri sana wa pombe lakini watanzania wanaosoma huko hawapo kama ndugu zetu (wengi) walisoma Urusi.

Je? Warusi huwa wanachezea akili za Watanzania? hili tatizo lipo kwa watanzania tu?

wewe je vipi akili yako imechezewa hapa hapa bongo ama??
 
inashangaza sn.pia naishangaa s/kali ytu,kwa kua inapoteza pesa nyingi kuwasomesha watu wke
rkn mwosho wa cku hasara.aifanyi uchunguzi,aijiuri kwa nn hyu karudo yko so!ni ttzo kwakweli.roho inauma kupoteza maichinia,maprofesa nk.

sisi nao kila kitu tunailaum tu serikali jaman,,, sasa MAICHINIA wakiwa walevi nalo linakuaje tatizo la serikali?
 
Mimi Nafikiria ni Tatizo la Mtu mwenyewe na Sio warusi. Mimi nawaelewa wengi waliosoma na Hivi sasa wanamafanikio ya kutosha nakutajiaa.
1. Kuna Daktari wa Wanawake yuko Mnazi mmoja Zanzibar anaitwa Dr. Juma ambaye hata Muhimbili wanamtumia yeye wiki mara mo anakwenda Muhimbili.
2. Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Zanzibar vile vile Kasoma Urusi Jina Dr. Garu
3. Dr. Talib Ali yeye kamaliza Urusi, kafanya kazi Muhimbili miaka miwili, baadaye kaenda Amerika kasoma na hivi sasa kaanzisha Detal clinik ya kwake mwenyewe karibu na washington nenda inaitwa AVATAR Dental clinic
Na wengi ninawaelewa
4. Mimi mwenyewe nimesoma Urusi, Baadaye nimefanya kazi Tanzania miaka 5, na Hivi sas niko Ujarumani na nafanya kazi kwenye Consulting Company kwa miaka 10 hivi sasa kama Structural Engineer

Tatizo liko kwo wenyewe

mkuu hapo kwenye no. 3 hiyo sehem karibu na washington haina jina ama hilo ndo jina lake?
kuna hili pia ila ni nje ya mada; kuna mtu humu anawaita nyie eti ni maichinia yaan mimi nimechukia kwakweli je wewe haujachukia?
 
Wengi wanaathirika kwa Pombe kali ambayo huchochewa na baridi kalo pia hapa nchini tuna vijana wengi wanaathirika kwa Viroba na tunawaamini kutupakiza kwa bodaboda..
Si wengi kihivyo wanaoathirika coz wasomi wetu wengi sana wamepitia Urusi hasa kipindi tuna ujamaa haswa.
 
Ndio Nyie mnaozungumziwa na Mtoa mada.... Machizi...

Mfano uliotoa ni chizi peke yake anayeweza toa mfano usioendana na akili timamu... IQ Ndogo mno... utakuwa Umesomea Urusi wewe kama sikosei...

asomee urusi ipi acha kumpa sifa mgambo wa jiji uyo
 
Back
Top Bottom