Victor wa happy
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 11,660
- 11,654
asante Mungu maana BABA yangu hakurudi na hali hiyo
yule msanii wa bongofleva Gk ni.nduguyo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
asante Mungu maana BABA yangu hakurudi na hali hiyo
hapana mkuu si ndugu yangu kabisayule msanii wa bongofleva Gk ni.nduguyo?
Privyet papushka & devushka
Hata Dubai malaya wakubwa ni warusi
Aisee kuna ukweli juu ya hili. Mimi namfahamu mzee mmoja kaka yao na akina Joyce Mhavile (yule wa ITV) nae alisoma huko Russia ni chapombe balaa na ni kama kadata hivi. Tumepotezana miaka mingi sana sijui kama yupo hai ila ni mzee maarufu sana alizoea kutembelea Kinondoni na Mtoni kwa Azizi anajulikana kama Mzee Mhavile.
Inabidi nimcheki classmate wangu naye yupo huko Urusi mwaka wa9 sasa kazamia. Ntaongea na nduguze juu ya hili make nae nasikia siku hizi ni mzee wa mvinyo sana wakati wazazi wake wanamtegemea.
Yawezekana na Kiranga ni zao la huko...! Natania, yeye alisoma kitabu kimoja hivi ndicho kilichombadilisha...siyo Urusi.
Wengi wao wakitoka huko huwa hawaamini kabisa uwepo wa MUNGU halafu wanakuwa watu wa MITUNGI balaa yaani muda wote wapo nduki.
Kati ya serikali ambayo haisomeshi wananchi wake nje ya kwanza ni Tanzania, usiisingizie kabisa, watu wote unaoona wanasoma scholarship nje jua wanalipiwa either na vyuo au serikali ya nchi hiyo waliopo ila sio serikali ya Tanzania, na Tanzania inabidi ianze kusomesha wataalam nje, its a very good thing nashangaa kwa nini uko against nacho
Pia huwa wengi wao wanahasiwa..
Jamaa yangu wa karibu mbona yuko fresh mpaka leo alichukua udaktari na leo hii ni doctor mkuu wa wa hospitali ya mkoa.
Hii si kweli...inategemea na msimamo wako
Sikubaliani na wewe kabisa, ulevi ni tabia ya Mtu, Mifano mizuri niliyonayo kwa baadhi ya watu waliosoma Urusi na baadae kunifundisha pale Dar tech ni pamoja na Dr Mahenge, Mwalimu Malifedha, Nzumbi ambae kwa sasa ni admission officer wa DIT pia kuna daktari mmoja alikuwa bingwa wa magonjwa ya kina mama pamoja na kutoa mimba wanafunzi wa secondary Uyui, RIP docta Kobero
Lukuvi sio VODKA, yule jamaa tatizo ni IQ, ni kama ya panzi vile!
Pia huwa wengi wao wanahasiwa..