Watanzania wanasambaza maji kutoka Tanzania mpaka Gaza.

Watanzania wanasambaza maji kutoka Tanzania mpaka Gaza.

Hii si ilishaletwa humu tayari au marudio ya taarifa ya habari?
Misaada ya kuwapo onba onba huwa haisadii kitu.. tulishawaambia mwanzo.. waambieni waachie mateka vita iishe
Roho mbaya za wagalatia sasa Gaza kupewa maji na Watanzania wewe unaumia lini imeletwa humu? Weka lnk.

Nyie ndiyo mpo mjini mnajitapa kijiji kwenu wazee wenu bado wanakunya kwenye mashimo.

Baadhi ya walokole wajinga sana halafu waongo hili tukio limetokea tarehe 29/10/2024 wewe punguani unasema ya siku nyingi😂 angalia wameweka na tarehe mbele ya gari.
 

Attachments

  • IMG_0286.jpeg
    IMG_0286.jpeg
    488.8 KB · Views: 3
Wahindi wa Tanzania wamewakumbuka ndugu zetu wa Gaza 🐼
Kuzaliwa kijijini ndiyo unadhani unakuwa Mtanzania nyie mmezaliwa mipakani wengi mna roho mbaya mnaanimi ukiwa mweusi ndiyo Mtanzania😂 ukichunguzwa sana wewe unaweza kuwa mrundi. Uchumi wa Tanzania umeshikwa na Wahindi na Waaraabu walizaliwa Tanzania tena wazee wao wamepigania uhuru na. Nyerere kawadhulumu mali zao nyingi wakati babu yako anachunga Nguruwe.
 
Dah! Ila hii vita wanaoumia ni wananchi wa kawaida kabisa ambao hawana makosa. Yaani naangalia hii video nasikitika sana aisee.. Ifike pahala kama dunia imekaa kimya na kushindwa kusaidia gaza basi wakubali tu kishindwa waachie mateka na vita iishe. This is Sad, Tatizo wanaweza achia mateka na bado kichapo kikaendelea , hapo ndio shida ilipo,
 
Ukiona jambo zuli watu wamepost basi lzm kuna kenge ataaleta udini mada itoke ktk isani za watanzania iwe sasa Dini ndio kazi ya MLALEO sijui atumwa au ndio akili yake inavyomtuma chuki ni ugonjwa mlaleo jaribu kuipambania nafsi yko unafuga chuki jua unafuga ugonjwa seem akuna udini usiweke Dini waTanzania wamejitolea kusaidia maji akuna udini pale. Nanyinyi andae kaji mpeleke gaza au kwa wazayuni lkn aipendizi kuchafua nyuzi za wenzio kwakuuingia udini pasi na sababu. Kama chuki imedhidi nenda kasaisie upande mmoja chaguo lako. Ujakatazwa njia zipo za kwenda.
 
Roho mbaya za wagalatia sasa Gaza kupewa maji na Watanzania wewe unaumia lini imeletwa humu? Weka lnk.

Nyie ndiyo mpo mjini mnajitapa kijiji kwenu wazee wenu bado wanakunya kwenye mashimo.

Baadhi ya walokole wajinga sana halafu waongo hili tukio limetokea tarehe 29/10/2024 wewe punguani unasema ya siku nyingi😂 angalia wameweka na tarehe mbele ya gari.
Mungu awabariki kwa msaada huu mkubwa,waongezewe walipopachota,amen.
 
Kuzaliwa kijijini ndiyo unadhani unakuwa Mtanzania nyie mmezaliwa mipakani wengi mna roho mbaya mnaanimi ukiwa mweusi ndiyo Mtanzania😂 ukichunguzwa sana wewe unaweza kuwa mrundi. Uchumi wa Tanzania umeshikwa na Wahindi na Waaraabu walizaliwa Tanzania tena wazee wao wamepigania uhuru na. Nyerere kawadhulumu mali zao nyingi wakati babu yako anachunga Nguruwe.

View: https://x.com/CherylWroteIt/status/1853015687213527302
 
Back
Top Bottom