Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Roho mbaya za wagalatia sasa Gaza kupewa maji na Watanzania wewe unaumia lini imeletwa humu? Weka lnk.Hii si ilishaletwa humu tayari au marudio ya taarifa ya habari?
Misaada ya kuwapo onba onba huwa haisadii kitu.. tulishawaambia mwanzo.. waambieni waachie mateka vita iishe
Imeisha hiyoWanaukumbi.
Watanzania waingia Gaza na misaada wakigawa chakula pamoja na maji ya kunywa kwa raia wa Palestina.
Kuzaliwa kijijini ndiyo unadhani unakuwa Mtanzania nyie mmezaliwa mipakani wengi mna roho mbaya mnaanimi ukiwa mweusi ndiyo Mtanzania😂 ukichunguzwa sana wewe unaweza kuwa mrundi. Uchumi wa Tanzania umeshikwa na Wahindi na Waaraabu walizaliwa Tanzania tena wazee wao wamepigania uhuru na. Nyerere kawadhulumu mali zao nyingi wakati babu yako anachunga Nguruwe.Wahindi wa Tanzania wamewakumbuka ndugu zetu wa Gaza 🐼
Hata wewe kuzaliwa Msoga Kijijini hakukufanyi Usiwe bakwata ukaanza kula Kiti Moto 😂😂😂Kuzaliwa kijijini ndiyo unadhani unakuwa Mtanzania nyie mmezaliwa mipaka mnaanimi ukiwa mweusi ndiyo Mtanzania😂 ukuchunguzwa sana wewe unaweza kuwa mrundi.
Mungu awabariki kwa msaada huu mkubwa,waongezewe walipopachota,amen.Roho mbaya za wagalatia sasa Gaza kupewa maji na Watanzania wewe unaumia lini imeletwa humu? Weka lnk.
Nyie ndiyo mpo mjini mnajitapa kijiji kwenu wazee wenu bado wanakunya kwenye mashimo.
Baadhi ya walokole wajinga sana halafu waongo hili tukio limetokea tarehe 29/10/2024 wewe punguani unasema ya siku nyingi😂 angalia wameweka na tarehe mbele ya gari.
Tumekwisha kumbe magaidi tuko nao humuhumu nchini kwetu!! Tusubiri tu Wajiripue. Halafu waambie waambie magaidi wenzao warudishe miili ya Watanzania wenzetuWanaukumbi.
Watanzania waingia Gaza na misaada wakigawa chakula pamoja na maji ya kunywa kwa raia wa Palestina.
Kuzaliwa kijijini ndiyo unadhani unakuwa Mtanzania nyie mmezaliwa mipakani wengi mna roho mbaya mnaanimi ukiwa mweusi ndiyo Mtanzania😂 ukichunguzwa sana wewe unaweza kuwa mrundi. Uchumi wa Tanzania umeshikwa na Wahindi na Waaraabu walizaliwa Tanzania tena wazee wao wamepigania uhuru na. Nyerere kawadhulumu mali zao nyingi wakati babu yako anachunga Nguruwe.
Hivi sisi watanzani kwanini tunang'ang'ana na kiingereza? Eti Help fromWanaukumbi.
Watanzania waingia Gaza na misaada wakigawa chakula pamoja na maji ya kunywa kwa raia wa Palestina.
Ilitakiwa iweje?Hivi sisi watanzani kwanini tunang'ang'ana na kiingereza? Eti Help from