Watanzania wanasambaza maji kutoka Tanzania mpaka Gaza.

Watanzania wanasambaza maji kutoka Tanzania mpaka Gaza.

Inapendeza lakini wawe makini lisije likawakuta la kuwakuta huko.

Vita siyo rafiki mpaka watu wamefikia kugawiwa maji kwenye ma-bowser tena kwa kuhesabiwa siyo jambo la masihara

Mpaka wameenda gaza kusaidia ujue wamejiandaa kwa lolote, litalokua liwe, kufa kupo wala haiepukiki, na wakifa wamekufa mashaahid. Allah awajaalie kheri nyingi kwa kujitolea
 
Nasubiri wazayuni weusi waje waseme hao ni waarabu na sio watanzania, akili za watu wengine bwana wakishaona mtu mweupe tu wanajua si mtanzania, mpaka awe mweusi 😄

Mwenyezi Mungu awabariki sana watanzania wenzetu, na wengine waliojitolea kuwasaidi
 
Tumekwisha kumbe magaidi tuko nao humuhumu nchini kwetu!! Tusubiri tu Wajiripue. Halafu waambie waambie magaidi wenzao warudishe miili ya Watanzania wenzetu

Watanzania gani? Waliokua wakisapoti mazayuni kuuwa ndugu zetu waislamu sio! Yeyote anaesapoti magaidi wa kizayuni atakipata cha moto
 
Kuzaliwa kijijini ndiyo unadhani unakuwa Mtanzania nyie mmezaliwa mipakani wengi mna roho mbaya mnaanimi ukiwa mweusi ndiyo Mtanzania😂 ukichunguzwa sana wewe unaweza kuwa mrundi. Uchumi wa Tanzania umeshikwa na Wahindi na Waaraabu walizaliwa Tanzania tena wazee wao wamepigania uhuru na. Nyerere kawadhulumu mali zao nyingi wakati babu yako anachunga Nguruwe.
🖕🖕🖕hawa waliyo pewa mali zatanganyika wakaziuwa eti wamepgania uhuru 🤣🤣🤣aiseee tunasafar ndefu kufka
 
Kuzaliwa kijijini ndiyo unadhani unakuwa Mtanzania nyie mmezaliwa mipakani wengi mna roho mbaya mnaanimi ukiwa mweusi ndiyo Mtanzania😂 ukichunguzwa sana wewe unaweza kuwa mrundi. Uchumi wa Tanzania umeshikwa na Wahindi na Waaraabu walizaliwa Tanzania tena wazee wao wamepigania uhuru na. Nyerere kawadhulumu mali zao nyingi wakati babu yako anachunga Nguruwe.

Wakiona tu mtu mweupe utasikia huyo sio mtanzania ni mwarabu/mhindi 🤣 wakati ni mzaliwa luhumbo, maganzo n.k 🤣, hawa watu bwana! Utafikiri ni wao tu wana haki
 
Wakiona tu mtu mweupe utasikia huyo sio mtanzania ni mwarabu/mhindi 🤣 wakati ni mzaliwa luhumbo, maganzo n.k 🤣, hawa watu bwana! Utafikiri ni wao tu wana haki
Mapuanguani hao halafu hao hoa utakuwa wana mshabikia Obama😂
 
Roho mbaya za wagalatia sasa Gaza kupewa maji na Watanzania wewe unaumia lini imeletwa humu? Weka lnk.

Nyie ndiyo mpo mjini mnajitapa kijiji kwenu wazee wenu bado wanakunya kwenye mashimo.

Baadhi ya walokole wajinga sana halafu waongo hili tukio limetokea tarehe 29/10/2024 wewe punguani unasema ya siku nyingi😂 angalia wameweka na tarehe mbele ya gari.
Si ungeunganisha tu thread hadi uanzishe uzi mpya? Maji machafu ya kuoga ndio msaada? Si mnalia kila siku kuwa marekani hafai na misaada yake sio kitu..

Waambieni hao waarabu wachafu tunamtaka mtanzania mwenzetu Joshua Mollel wameficha maiti yake msikitini laantul

 
Nasubiri wazayuni weusi waje waseme hao ni waarabu na sio watanzania, akili za watu wengine bwana wakishaona mtu mweupe tu wanajua si mtanzania, mpaka awe mweusi 😄

Mwenyezi Mungu awabariki sana watanzania wenzetu, na wengine waliojitolea kuwasaidi
Hao wameenda kutafta tikiti ya kwenda kula bikra 72 kwa mudi kama sinwar
 
Wanaukumbi.

Watanzania waingia Gaza na misaada wakigawa chakula pamoja na maji ya kunywa kwa raia wa Palestina.

View attachment 3142390


Tatizo lako wewe huna akili, umekuwa kilaza mkubwa sana, umeshindwa kutofautisha kati ya Palestine people na magaidi ya Hamas, yaani wewe hujui hata nukta kuwa Israel haina shida na watu wa Palestine, ila Magaidi wa Hamas wanawatumia hao raia wa Palestine wasio na hatia kujificha na kufanya ugaidi..!!

Sbb IQ yako ni zero, unschooled, hopeless kabisa hujui who is Palestine citizen and who is terrorist Hamas, hao wananchi wa Palestine wanateseka sbb ya magaidi Hamas, alafu wewe nyoko sana
 
Sijamsikia rais wa Palestina akiongea, au Gaza sio sehemu ya Palestina?
 
Back
Top Bottom