Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inapendeza lakini wawe makini lisije likawakuta la kuwakuta huko.
Vita siyo rafiki mpaka watu wamefikia kugawiwa maji kwenye ma-bowser tena kwa kuhesabiwa siyo jambo la masihara
Tumekwisha kumbe magaidi tuko nao humuhumu nchini kwetu!! Tusubiri tu Wajiripue. Halafu waambie waambie magaidi wenzao warudishe miili ya Watanzania wenzetu
🖕🖕🖕hawa waliyo pewa mali zatanganyika wakaziuwa eti wamepgania uhuru 🤣🤣🤣aiseee tunasafar ndefu kufkaKuzaliwa kijijini ndiyo unadhani unakuwa Mtanzania nyie mmezaliwa mipakani wengi mna roho mbaya mnaanimi ukiwa mweusi ndiyo Mtanzania😂 ukichunguzwa sana wewe unaweza kuwa mrundi. Uchumi wa Tanzania umeshikwa na Wahindi na Waaraabu walizaliwa Tanzania tena wazee wao wamepigania uhuru na. Nyerere kawadhulumu mali zao nyingi wakati babu yako anachunga Nguruwe.
Kwa usahihi zaidi ilitakiwa iwe "humanitarian aid from..."Ilitakiwa iweje?
Kazi nzur ila bado hapo Sudan.Wanaukumbi.
Watanzania waingia Gaza na misaada wakigawa chakula pamoja na maji ya kunywa kwa raia wa Palestina.
View attachment 3142390
Kuzaliwa kijijini ndiyo unadhani unakuwa Mtanzania nyie mmezaliwa mipakani wengi mna roho mbaya mnaanimi ukiwa mweusi ndiyo Mtanzania😂 ukichunguzwa sana wewe unaweza kuwa mrundi. Uchumi wa Tanzania umeshikwa na Wahindi na Waaraabu walizaliwa Tanzania tena wazee wao wamepigania uhuru na. Nyerere kawadhulumu mali zao nyingi wakati babu yako anachunga Nguruwe.
Nianze tena umewaacha waafrika wenzio hapo wanakalia moto umeenda kuwasaidia hao jamaa walioenda kuungana na Idd amin kutupiga bure kabisa.Sudan unaweza kuanzisha hata wewe siyo mbaya.
Si ungeunganisha tu thread hadi uanzishe uzi mpya? Maji machafu ya kuoga ndio msaada? Si mnalia kila siku kuwa marekani hafai na misaada yake sio kitu..Roho mbaya za wagalatia sasa Gaza kupewa maji na Watanzania wewe unaumia lini imeletwa humu? Weka lnk.
Nyie ndiyo mpo mjini mnajitapa kijiji kwenu wazee wenu bado wanakunya kwenye mashimo.
Baadhi ya walokole wajinga sana halafu waongo hili tukio limetokea tarehe 29/10/2024 wewe punguani unasema ya siku nyingi😂 angalia wameweka na tarehe mbele ya gari.
Wamejiandaa kwenda kutafuna bikra zao 72 na tiketi anayo myahudiMpaka wameenda gaza kusaidia ujue wamejiandaa kwa lolote, litalokua liwe, kufa kupo wala haiepukiki, na wakifa wamekufa mashaahid. Allah awajaalie kheri nyingi kwa kujitolea
Hao wameenda kutafta tikiti ya kwenda kula bikra 72 kwa mudi kama sinwarNasubiri wazayuni weusi waje waseme hao ni waarabu na sio watanzania, akili za watu wengine bwana wakishaona mtu mweupe tu wanajua si mtanzania, mpaka awe mweusi 😄
Mwenyezi Mungu awabariki sana watanzania wenzetu, na wengine waliojitolea kuwasaidi
Wanaukumbi.
Watanzania waingia Gaza na misaada wakigawa chakula pamoja na maji ya kunywa kwa raia wa Palestina.
View attachment 3142390
Wangeandika kiarabu kitupuIlitakiwa iweje?
UFuaji wa pesa unatokea huku tunasubiri magorofa hapo dar na vikampuni uchwara vya kubeba makaa ya mawe, mafuta transit, na kopaWanaukumbi.
Watanzania waingia Gaza na misaada wakigawa chakula pamoja na maji ya kunywa kwa raia wa Palestina.
View attachment 3142390