Bungurere
JF-Expert Member
- Jan 24, 2023
- 232
- 292
Nimpongeze balozi wa Tz nchini IsraelWanaukumbi.
Watanzania waingia Gaza na misaada wakigawa chakula pamoja na maji ya kunywa kwa raia wa Palestina.
View attachment 3142390
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimpongeze balozi wa Tz nchini IsraelWanaukumbi.
Watanzania waingia Gaza na misaada wakigawa chakula pamoja na maji ya kunywa kwa raia wa Palestina.
View attachment 3142390
Muislam mwenzenu huyo alimchinja mtu pale UK kama vile ana katakata nyama kwenye Bucha. Halafu akiimba Allahu AkbaruWanaukumbi.
Watanzania waingia Gaza na misaada wakigawa chakula pamoja na maji ya kunywa kwa raia wa Palestina.
View attachment 3142390
Ni waarabu kokoNasubiri wazayuni weusi waje waseme hao ni waarabu na sio watanzania, akili za watu wengine bwana wakishaona mtu mweupe tu wanajua si mtanzania, mpaka awe mweusi 😄
Mwenyezi Mungu awabariki sana watanzania wenzetu, na wengine waliojitolea kuwasaidi
Kwani kuachia mateka kuna ugumu gani?Roho mbaya za wagalatia sasa Gaza kupewa maji na Watanzania wewe unaumia lini imeletwa humu? Weka lnk.
Nyie ndiyo mpo mjini mnajitapa kijiji kwenu wazee wenu bado wanakunya kwenye mashimo.
Baadhi ya walokole wajinga sana halafu waongo hili tukio limetokea tarehe 29/10/2024 wewe punguani unasema ya siku nyingi😂 angalia wameweka na tarehe mbele ya gari.
Wanaenda kwanza kuwasaidia vijukuu wa mtume!Kwanini wasiende 🇸🇩 Sudan kwa Weusi wenzao?!
Au Darfur ambako Janjaweed Arab Militias wanafanya Genocide dhidi ya Watu weusi.
Au waende DRC
Mswahili wa Kisarawe anakuwa Brainwashed mpaka anajione yeye ni Kijakazi.Wanaenda kwanza kuwasaidia vijukuu wa mtume!
Weusi wenzetu wasubiri..
Huyu jamaa atakua ni mrundiKuzaliwa kijijini ndiyo unadhani unakuwa Mtanzania nyie mmezaliwa mipakani wengi mna roho mbaya mnaanimi ukiwa mweusi ndiyo Mtanzania😂 ukichunguzwa sana wewe unaweza kuwa mrundi. Uchumi wa Tanzania umeshikwa na Wahindi na Waaraabu walizaliwa Tanzania tena wazee wao wamepigania uhuru na. Nyerere kawadhulumu mali zao nyingi wakati babu yako anachunga Nguruwe.
Kwa hio ule mpango wewe?Imeisha hiyo
Nguruwe hachungwi mbuzi katoliki weweanachunga Nguruwe
Ni waarabu koko
Wamejiandaa kwenda kutafuna bikra zao 72 na tiketi anayo myahudi
Usiwe punguani wewe nyie wajinga wajinga ndiyo mnawapa utajiri kina Mwambosa, yaani watu wanakaliwa ardhi yao kwa mabavu unawaita magaidi ndiyo maana unaona hata UN na mataifa ya Ulaya yanaojilewa wanajua kuwa Hamas wanapambana na magaidi ya Israel ni mashoga peke yao ndiyo wanasema Hamas ni Magaidi.Tumekwisha kumbe magaidi tuko nao humuhumu nchini kwetu!! Tusubiri tu Wajiripue. Halafu waambie waambie magaidi wenzao warudishe miili ya Watanzania wenzetu
Hao wapakistan waliopeleka msaada huko Gaza siyo Watanzania ni walowezi wa Kipakistan walioko Tanzania.Wanaukumbi.
Watanzania waingia Gaza na misaada wakigawa chakula pamoja na maji ya kunywa kwa raia wa Palestina.
View attachment 3142390
wanatafuta pa kupigia hao, wachangieni ili wapate za kujengea nyumba na biashara. hamuwajui wabongo ninyi. ndoana hiyo.Wanaukumbi.
Watanzania waingia Gaza na misaada wakigawa chakula pamoja na maji ya kunywa kwa raia wa Palestina.
View attachment 3142390